Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

Anaitwa ABDUL OMARI KUONEWA ni mkazi wa RUANGWA mjini hapo mjini penyewe nasikia wamekamatwa kama vijana sita
Hicho kijiji kilikuwaga na sifa za watu wenye tabia kama hizo za kigaidi, waliomkamata watakuwa hawajamuonea
 
Hivi bro unadhani unawez ukanitish kwa jambo ambalo halin kichwa wala miguu nimeshakuambia kam kun usalam hum nko tayar kuwek hat details zangu ili nkamwone ndugu yangu na ikiwezekana kumtetea
Umesema mpo mama Mmoja, yet unavyosimulia unasema "mama yake " sio "mama".
Umeondoka mda mrefu Bush, yet mlikaa mkamuonya Kipindi cha Kibiti ( hili sio tukio la mda mrefu sana).
Kwa kawaida Video kama hizo za mauaji haziangaliwi hadharani, mlijuaje rafiki yake anazo.
Kinachokusumbua kipo wazi, Usiwaze kama hauhusiki hautotajwa.
Ila kama unahusika jiandae, watakujia.
 
1 kuhisi pasipo na ushahidi ni kosa,, kipi kimekuamunisha hao ni maafisa usalama? Kila binadam anasiri na maisha yake huwenda watu waliomkamata ni watu ambao wanafahamiana? Mambo ni mengi Kuna kudhurumiana,, Sasa ili upate majibu , kabla yakuja Ndani ya jarida hapa iliwapasa muende kutoa taarifa polisi
 
kuwa raia mwema vinginevyo usiwafundishe kazi watu wa ulinzi na usalama wa nchi yetu. Wao ndio wanajua namna ya kushughulika na wachenzi km hao. Wajue hii ni Tanzania siyo nchi ya majaribio
Una akili sana wewe; ubarikiwe sana
 
Kuna jamaa angu mwezi wa tano huu katoweka....hajulikani halipo
 
Brooo hivi gaidi serious auze maji kwenye mkokoteni sasa kuna maana gan ya kuwa gaidi
Kwanza poleni kwa changamoto hiyo kwa ndugu yenu kuchukuliwa .

Je taarifa ya yeye kuhusishwa na ugaidi mliijuaje?

Tatu uhalifu hauchagui kazi hata yule bwana mdogo aliyeshiriki ulipuzi wa ubalozi wa Marekani , Dar- es-salaam katika vipindi tofauti alikua mkaanga chips maarufu tu kule Ilala zikiitwa chips za mpemba na alikua na wateja nyomi kama wasemavyo watoto wa mjini.

So hapa bado nipo njia panda kuujua ukweli ni upi.
 
JAMANI EEEH KAMA UNAHISI HII NI CHAI NA HAUNA MSAADA WA KUTETEA NAOMBA N BORA UPITE TU MAANA UTAAMBULIA MATUSI YASIYO NA SABABU MIMI NIKIWA KAMA MMOJA WA WANAFAMILIA NIKO NASIKITIKA NA KITENDO HIKI SASA INAPOTOKEA HAYAWANI MMOJA ANAKUJA KUNISHUTUMU NA MIMI NI GAID SITOSITA KUTUMIA LUGHA NGUMU
 
Siwezi kukataa kam n gaid au sio japokuw nina uhakik 100% sio gaidi kutokana na matendo yake y kila siku. ila kitu cha muhimu ni taarifa kwa ndugu either tujue kama mzima au amekufa au hata kama ana hatia apelekwe mahakaman
 
Pole sana... mtu "akikimatwa" na watu wasiojitambulisha, ni vigumu sana kurudi hai!

Kwamba wamekuja kumchukua, kuna mambo kadhaa, wana taarifa kuwa anajihusisha ugaidi au ana uhusiano na watu wanaojihusisha na ugaidi au ni bahati mbaya a.k.a mistaken identity.
 
Hata kama watarud maiti kikubwa tunataka tujihakikishie mwili wa ndugu yetu
 
Mkuu umejuaje kama amekamatwa na watu wa usalama wa taifa?wewe na ndugu zako mmejuaje hizo tuhuma za kuwa amekamatwa kwa kuhusiwa kujishughulisha na ugaidi?
Wewe au huyo aliyekupa taarifa mmoja au wote ni muhusika kwenye hilo jambo la ugaidi
 
hiyo shughuli ya ndugu yako unayoijua ni undercover tu.Huyo anajihusisha na magaidi...na suni wanachukua vijana wengi kupeleka Kenya na mwisho Somalia kujiunga na Al shabab.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…