Ndugu yangu Sugu 2025 tumia bajeti ya kile unachoweza kuhimili ukipoteza

Ndugu yangu Sugu 2025 tumia bajeti ya kile unachoweza kuhimili ukipoteza

Messenger RNA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1,411
Reaction score
3,712
Ndugu yangu sugu mwaka 2025 usipoteze pesa nyingi kwenye kampeni, maana uwezekano wa kupita ni finyu sana kutokana na maendeleo anayoyaleta Dr.Tulia.Mfano bara bara,vijana na akina mama kupewa mitaji n.k.Pona pona yako ni kuundwa kwa jimbo jipya la uchaguzi la uyole.Hakuna haja ya kukasirika ni maoni tu.
 
Ndugu yangu sugu mwaka 2025 usipoteze pesa nyingi kwenye kampeni, maana uwezekano wa kupita ni finyu sana kutokana na maendeleo anayoyaleta Dr.Tulia.Mfano bara bara,vijana na akina mama kupewa mitaji n.k.Pona pona yako ni kuundwa kwa jombo jipya la uchaguzi la uyole.Hakuna haja ya kukasirika ni maoni tu.
Maendeleo gani analeta tulia zaidi ya kutuma wawakilishi misibani na bahasha?. Kama kweli kuna ujenzi wa barabara wanayoisubiri kwa hamu wana Mbeya ni hiyo main road kuwa four way kuanzia igawa mpaka songwe. Pia barabara ya maloli itengewe barabara yake hata kuanzia inyara ipite nyuma utua mpaka itokee ifisi mbele kidogo ya mbalizi. Mbeya wamechoshwa na folen za kijinga pale mjini. Vinginevyo huo unaoita ujenzi wa tulia ni porojo tu.
 
Wananchi ndo wenye maamuzi.

JK alichaguliwa na wamama sababu tu Eti ni mweupe😃😃😃

Usishangae Betina akakataliwa Kwa sababu za kijinga ya kuwa ni MWEMBAMBA!!!

Maamuzi ya wananchi yaheshimiwe.
 
Ni kwa nini moja kwa moja umemtaja Sugu!!??
1.Kwasababu anayeshindana naye anafanya yanayoonekana tofauti na alipokuwapo yeye.
2.Nampa uhalisia asijetumia kiasi kikubwa cha pesa ambacho atajutia kwa kudanganywa na chawa.
Nb:Leo ni Mbeya muda ujao nitashauri jimbo lingine na ni ushauri tu ambao yeyoye angetoa kwa kuona/kusikia uhalisia uliopo.Asante.
 
Maendeleo gani analeta tulia zaidi ya kutuma wawakilishi misibani na bahasha?. Kama kweli kuna ujenzi wa barabara wanayoisubiri kwa hamu wana Mbeya ni hiyo main road kuwa four way kuanzia igawa mpaka songwe. Pia barabara ya maloli itengewe barabara yake hata kuanzia inyara ipite nyuma utua mpaka itokee ifisi mbele kidogo ya mbalizi. Mbeya wamechoshwa na folen za kijinga pale mjini. Vinginevyo huo unaoita ujenzi wa tulia ni porojo tu.
Mkuu nasikia kaanza na barabara za mitaa ni mwendo wa lami kila kona.
 
Wananchi ndo wenye maamuzi.

JK alichaguliwa na wamama sababu tu Eti ni mweupe😃😃😃

Usishangae Betina akakataliwa Kwa sababu za kijinga ya kuwa ni MWEMBAMBA!!!

Maamuzi ya wananchi yaheshimiwe.
Yetu macho,lakini Sugu asitumbukize pesa nyingi huko atakuja kumbuka huu uzi.Maana boda boda,akina mama na vijana wanapendelewa sana huko kwa mikopo rafiki, kitu ambacho ni kigumu sana waje kumsaliti.
 
Ndugu yangu sugu mwaka 2025 usipoteze pesa nyingi kwenye kampeni, maana uwezekano wa kupita ni finyu sana kutokana na maendeleo anayoyaleta Dr.Tulia.Mfano bara bara,vijana na akina mama kupewa mitaji n.k.Pona pona yako ni kuundwa kwa jimbo jipya la uchaguzi la uyole.Hakuna haja ya kukasirika ni maoni tu.
Tulia ameleta maendeleo gani mbeya?bure kabisa
 
Yetu macho,lakini Sugu asitumbukize pesa nyingi huko atakuja kumbuka huu uzi.Maana boda boda,akina mama na vijana wanapendelewa sana huko kwa mikopo rafiki, kitu ambacho ni kigumu sana waje kumsaliti.
Pesa unazomtuhumu Sugu kuziandaa Kwa uchaguzi ndo Pesa hizo hizo unazomsifia Betina kuwahonga boda na mamantilie Kwa mikopo nafuu!!!!

Usilolijua ni kuwa Betina hatakiwi na kundi la Walamba asali na Mgaso . Hao ndo wanampa nguvu suguu Ili wamwangushe Betina .

Kama uko karibu nae mwambie asigombee kuepusha aibu maana hatoshinda.
 
Wana Lumumba mnanishangaza sana mara CDM imekufa ,mara hawaonekani sasa wasiwasi wenu ni nini?,na mzee mmoja ametamka eti tuheshimu haki na sheria, wakati akijua kuwa uchaguzi wetu sio wa haki na kisheria, ccm iacheni tume ya uchaguzi iwe huru (iwe na watumishi wake kuanzia taifani hadi mtaani ),cops wafanye kazi kwa kiapo chao, then uchaguzi mkuu ufanyike tuone nani ataibuka kidedea
 
1.Kwasababu anayeshindana naye anafanya yanayoonekana tofauti na alipokuwapo yeye.
2.Nampa uhalisia asijetumia kiasi kikubwa cha pesa ambacho atajutia kwa kudanganywa na chawa.
Nb:Leo ni Mbeya muda ujao nitashauri jimbo lingine na ni ushauri tu ambao yeyoye angetoa kwa kuona/kusikia uhalisia uliopo.Asante.

Sugu amekwambia anagombea
 
Ndugu yangu sugu mwaka 2025 usipoteze pesa nyingi kwenye kampeni, maana uwezekano wa kupita ni finyu sana kutokana na maendeleo anayoyaleta Dr.Tulia.Mfano bara bara,vijana na akina mama kupewa mitaji n.k.Pona pona yako ni kuundwa kwa jimbo jipya la uchaguzi la uyole.Hakuna haja ya kukasirika ni maoni tu.

Tumia uhuru wa kutoa maoni vizuri.
 
Pesa unazomtuhumu Sugu kuziandaa Kwa uchaguzi ndo Pesa hizo hizo unazomsifia Betina kuwahonga boda na mamantilie Kwa mikopo nafuu!!!!

Usilolijua ni kuwa Betina hatakiwi na kundi la Walamba asali na Mgaso . Hao ndo wanampa nguvu suguu Ili wamwangushe Betina .

Kama uko karibu nae mwambie asigombee kuepusha aibu maana hatoshinda.
Mkuu,Dr.Tulia bado ana nguvu ya ushawishi, hivyo kupinduliwa na chama chake sio rahisi,tunza maneno yangu.
 
Back
Top Bottom