Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
- Thread starter
- #21
Hilo lipo wazi mkuu,Sugu hawezi acha kugombea.Sugu amekwambia anagombea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo lipo wazi mkuu,Sugu hawezi acha kugombea.Sugu amekwambia anagombea
Mkuu ni ushauri tu,maana watu wanataka maendeleo na Dr.Tulia nasikia ni mwendo wa kuwaletea maendedeleo tu,sasa ili chawa wasimdanye mheshimiwa Sugu,nampa ushauri,nimekosea wapi?Tumia uhuru wa kutoa maoni vizuri.
Ni ushauri tu ambao anaweza kuukubali au kubeza.Mbona umeshupalia, asitumie hela, asitumie hela! Hizo hela, ni za kwako?
Wewe kapuku huna uwezo wa kupangia watu mbunge wa Mbeya Mjini , Nakuhakikishia kwamba Sugu atashinda jimbo la Mbeya Mjini , wakati wa kuabudu majeneza umekwishaNdugu yangu sugu mwaka 2025 usipoteze pesa nyingi kwenye kampeni, maana uwezekano wa kupita ni finyu sana kutokana na maendeleo anayoyaleta Dr.Tulia.Mfano bara bara,vijana na akina mama kupewa mitaji n.k.Pona pona yako ni kuundwa kwa jimbo jipya la uchaguzi la uyole.Hakuna haja ya kukasirika ni maoni tu.
Mkuu messenger namba moja duniani alisalitiwa kwa vipande therathini vya dinari ije kwa huyu binadamu mdogo kabisa how..?Yetu macho,lakini Sugu asitumbukize pesa nyingi huko atakuja kumbuka huu uzi.Maana boda boda,akina mama na vijana wanapendelewa sana huko kwa mikopo rafiki, kitu ambacho ni kigumu sana waje kumsaliti.
Bara Bara gani iliyojengwa tangu 2020?Ndugu yangu sugu mwaka 2025 usipoteze pesa nyingi kwenye kampeni, maana uwezekano wa kupita ni finyu sana kutokana na maendeleo anayoyaleta Dr.Tulia.Mfano bara bara,vijana na akina mama kupewa mitaji n.k.Pona pona yako ni kuundwa kwa jimbo jipya la uchaguzi la uyole.Hakuna haja ya kukasirika ni maoni tu.
Mkuu kwa upendo wa mwenyezi Mungu mimi sio kapuku,tukirudi kwenye uzi ni kuwa ninyi chawa ni wa kuogopwa sana maana ndio mnadawanganya wenzenu kuwa watashinda ilhali uhalisia ni tofauti na wanaishia kufilisika.Wewe kapuku huna uwezo wa kupangia watu mbunge wa Mbeya Mjini , Nakuhakikishia kwamba Sugu atashinda jimbo la Mbeya Mjini , wakati wa kuabudu majeneza umekwisha
Ngoja tuone mkuu,lakini upepo unavuma kumpendelea Dr.Tulia.Mkuu messenger namba moja duniani alisalitiwa kwa vipande therathini vya dinari ije kwa huyu binadamu mdogo kabisa how..?
🐝🍯🍯🍯🍯🍯🍯🍯🍯🐝🐝🐝🐝🐝🐝🍯🍯🍯, hategemei kugombeaNdugu yangu sugu mwaka 2025 usipoteze pesa nyingi kwenye kampeni, maana uwezekano wa kupita ni finyu sana kutokana na maendeleo anayoyaleta Dr.Tulia.Mfano bara bara,vijana na akina mama kupewa mitaji n.k.Pona pona yako ni kuundwa kwa jimbo jipya la uchaguzi la uyole.Hakuna haja ya kukasirika ni maoni tu.
Mkuu nasikia ni barabara za mita na madaraja ya pembezoni+mikopo na misaada.Bara Bara gani iliyojengwa tangu 2020?
Haya matope yanawekwa barabara kuu ya tanzam ndio barabara imejengwa?
Mwambieni ukweli bibi kiroboto, siasa zikiwa fea mbeya hatoboi asubuhi na mapema
Tatizo ninini mkuu?Wanyakyusa siku wakiwa na akili Mbeya itaendelea, kama wewe ndio unawakilisha Wanyakyusa basi ku a tatizo mahali
Mkuu nasikia kaanza na barabara za mitaa ni mwendo wa lami kila kona.
WakunyumbaMitaa ipi nzovwe iyunga nk hadi iwambi ni vumbi tupu
Serikali ndo imeamua toa pesa sababu Ni mbunge wao kutoka chama chao Nani asie jua hata miongoni kwa kauli za mwenda aliwahi sema nipeni mtu flani ukimleta mwengne hata maji hapa hamtakaa muyaone1.Kwasababu anayeshindana naye anafanya yanayoonekana tofauti na alipokuwapo yeye.
2.Nampa uhalisia asijetumia kiasi kikubwa cha pesa ambacho atajutia kwa kudanganywa na chawa.
Nb:Leo ni Mbeya muda ujao nitashauri jimbo lingine na ni ushauri tu ambao yeyoye angetoa kwa kuona/kusikia uhalisia uliopo.Asante.
Mkuu,Dr.Tulia bado ana nguvu ya ushawishi, hivyo kupinduliwa na chama chake sio rahisi,tunza maneno yangu.
Hilo lipo wazi mkuu,Sugu hawezi acha kugombea.