Ndugu yangu Sugu 2025 tumia bajeti ya kile unachoweza kuhimili ukipoteza

Ndugu yangu Sugu 2025 tumia bajeti ya kile unachoweza kuhimili ukipoteza

1.Kwasababu anayeshindana naye anafanya yanayoonekana tofauti na alipokuwapo yeye.
2.Nampa uhalisia asijetumia kiasi kikubwa cha pesa ambacho atajutia kwa kudanganywa na chawa.
Nb:Leo ni Mbeya muda ujao nitashauri jimbo lingine na ni ushauri tu ambao yeyoye angetoa kwa kuona/kusikia uhalisia uliopo.Asante.
Ushauri wenye tija hutolewa na mtu mwenye uzoefu na uelewa wa kutosha kwenye kitu anachoshauri.

Wewe umewahi kugombea ubunge mara ngapi? Jimbo gani? Umewahi kushinda mara ngapi? Uma uzoefu mkubwa kumzidi Sugu?
 
Upo Mbeya mkuu?,taarifa za kuaminika ni kuwa mikopo rafiki ambayo ni mitaji kwa vijana,akina mama ni nje nje,barabara ni mwendo wa lami kila kona,utake nini zaidi mkuu?.
Imawezekana upo ndotoni. Nimekuwepo Mbeya kwa muda wa miezi 3 ndani ya mwaka huu kwa nyakati 3 tofauti.

Hayo unayoyasema, labda kama kuna Mbeta nyingine, na siyo hii inayojulikana kwa kila mtu.
 
Wananchi ndo wenye maamuzi.

JK alichaguliwa na wamama sababu tu Eti ni mweupe😃😃😃

Usishangae Betina akakataliwa Kwa sababu za kijinga ya kuwa ni MWEMBAMBA!!!

Maamuzi ya wananchi yaheshimiwe.
1670843088243.png

wapo watakaomchagua kwa urembo wake pia.
 
Kwani amekuomba ushauri?

Sugu yupo Mbeya, jimbo ambalo alikuwa mwakilishi wake. Ina maana yeye haoni mpaka wewe umwambie? Amekuwa mbunge vipindi viwili, kipindi cha tatu, kama tujuavyo, dikteta aliamua kusiwe na uchaguzi, akagawa ubunge kama njugu. Hivi unaamini kwenye hayo masuala ya uchaguzi, wewe una uzoefu kumzidi Sugu?

Mwache Sugu afanye kadiri atakavyoamua.
Mkuu ni ngumu sana kujua kinachoendelea kama umezungukwa na chawa,sijamzuia Mh.Sugu kugombea lakini ajue ushawishi wake umepunguzwa vibaya na mwanadada huyu.
 
Mkuu ni ushauri tu,maana watu wanataka maendeleo na Dr.Tulia nasikia ni mwendo wa kuwaletea maendedeleo tu,sasa ili chawa wasimdanye mheshimiwa Sugu,nampa ushauri,nimekosea wapi?
Wewe unadhani kwa namna ulivyo chawa wewe, kila mtu huwa ni chawa?

Ninyi wenye akili kibaba ndiyo rahisi kutumiwa, na kuwa chawa. Sugu is mentally fit, atafanya kwa kadiri akili yake inavyomtuma, sidhani kama anahitaji ushauri kutoka kwa low brains.
 
Ushauri wenye tija hutolewa na mtu mwenye uzoefu na uelewa wa kutosha kwenye kitu anachoshauri.

Wewe umewahi kugombea ubunge mara ngapi? Umewahi kushinda mara ngapi? Uma uzoefu mkubwa kumzidi Sugu?
Mimi nina uzoefu mkubwa na siasa na naweza kabisa jua kwa ushindani huu huyu ataangukia pua au laa.
 
Imawezekana upo ndotoni. Nimekuwepo Mbeya kwa muda wa miezi 3 ndani ya mwaka huu kwa nyakati 3 tofauti.

Hayo unayoyasema, labda kama kuna Mbeta nyingine, na siyo hii inayojulikana kwa kila mtu.
Ngoja tuone,muda ni msemaji mzuri utaongea.
 
Wewe unadhani kwa namna ulivyo chawa wewe, kila mtu huwa ni chawa?

Ninyi wenye akili kibaba ndiyo rahisi kutumiwa, na kuwa chawa. Sugu is mentally fit, atafanya kwa kadiri akili yake inavyomtuma, sidhani kama anahitaji ushauri kutoka kwa low brains.
Hahahaah mkuu hakuna haja ya kupaniki tusubili muda ufike tujue nani alikuwa low brain.
 
Ni ushauri tu ambao anaweza kuukubali au kubeza.
Ushauri wako unaweza kupewa umuhimu na mtu yule tu mwenye akili ndogo.

Unaposema asitumie hela nyingi, unamaanisha asitumie hela nyingi kufanya nini? Hela inayotumika kwenye kipindi cha kampeni za uchaguzi ni gharama zile zinaxomwezesha mtu afanye kampeni. Au unadhani na yeye amepanga kufanya kazi ya kuhonga wapiga kura kwa sh 5,000 au 10,000 au sukari kama wanavyofanya wagombea wa CCM?

Betina kama ameamua kuhonga kama ilivyo kawauda yenu, asiwe na hofu kuwa na wagombea wengine wote watahonga, na labda kumzidi yeye.
 
Hakuna Chawa Tajiri
Mkuu kwanza mimi sio chawa kwasababu hao wote mh.Sugu wala Dr.Tulia hawana maslahi kwangu,pili na mwisho mimi sio tajiri kwa tafsiri za uchumi,lakini kwa upendo wa Mwenyezi Mungu ninaweza kusafiri nitakako,kuvaa nipendacho na kula nipendacho.Lakini asante mkuu Erythrocyte wewe ukiwa tajiri inatosha utatuwakilisha wengine.
 
Mkuu kama ni serikali imetoa pesa lakini sifa anapewa Dr.Tulia,na kwasababu hawakuona hayo kipindi cha mh.Sugu,watataka kuendelea Dr.Tulia.
Bila msaada wa wengine Tulia Ackson hana uwezo wa kuitisha hata Mkutano wa hadhara Mbeya Mjini , siku hizi anamkodisha Diamond
 
Ndugu yangu sugu mwaka 2025 usipoteze pesa nyingi kwenye kampeni, maana uwezekano wa kupita ni finyu sana kutokana na maendeleo anayoyaleta Dr.Tulia.Mfano bara bara,vijana na akina mama kupewa mitaji n.k.Pona pona yako ni kuundwa kwa jimbo jipya la uchaguzi la uyole.Hakuna haja ya kukasirika ni maoni tu.
Bora asigombee tulia lazima ashinde iwe kwa halali au haramu maana serikali ya ccm haiwezi kuruhusu spika wake ashindwe.
 
Bila msaada wa wengine Tulia Ackson hana uwezo wa kuitisha hata Mkutano wa hadhara Mbeya Mjini , siku hizi anamkodisha Diamond
Hahahah mkuu nasikia akiitisha mkutano watu wanakanyagana huko bila msaada wa wasanii kwakuwa amekuwa suluhisho la matatizo yao.Mkuu Erythrocyte vipi kyela huendi kugombea au umeamua maisha yako kuwa mpiga zumali wa chadema?
 
Bora asigombee tulia lazima ashinde iwe kwa halali au haramu maana serikali ya ccm haiwezi kuruhusu spika wake ashindwe.
Hakuna cha haramu mkuu,kama barabara safi,maji tele,mikopo ya kumwaga,misaada kwa wasiojiweza kama yote,unategemea nini zaidi ya ushindi wa kishindo?
 
Hahahaah mkuu hakuna haja ya kupaniki tusubili muda ufike tujue nani alikuwa low brain.
Mimi nipanic kwaajili ya nini? Webye akili wanakushangaa, yaani utoke huko kusikojulikana, useme unampa mtu ushauri ambaye hajakuomba, wakati uzoefu na mafanikio yako kwenye jambo unalosema unashauri ni zero. Hivi wewe kweli mzima?

Unasema kuwa Sugu ni ndugu yako, kama ni ndugu yako, umeshindwa nini kuongea naye kwenye vikao vya ndugu? Au Sugu anaishi humu JF?

Tatizo ninyi chawa, mlio wengi ni low minds, mnakuwa waongo kwa kiwango ambacho kila mwenye akili timamu anauona wazi uwongo wenu.
 
Back
Top Bottom