Ebu weka hapa wazi uzoefu wako katika siasa ni upi. Maanaisije ikawa uchawa ndio unaouita ni uzoefu.Mimi nina uzoefu mkubwa na siasa na naweza kabisa jua kwa ushindani huu huyu ataangukia pua au laa.
Tafuta kazi za kufanya. Uchawa siyo ajira. Utabakia hapo hapo kwenye uwezo tu wa kupata mlo na nauli ya kusafiria wakati wenzako wanazidi kupata maendeleo.Hakuna cha haramu mkuu,kama barabara safi,maji tele,mikopo ya kumwaga,misaada kwa wasiojiweza kama yote,unategemea nini zaidi ya ushindi wa kishindo?
Muulize Mwakyembe kuhusu habari zangu , anazoHahahah mkuu nasikia akiitisha mkutano watu wanakanyagana huko bila msaada wa wasanii kwakuwa amekuwa suluhisho la matatizo yao.Mkuu Erythrocyte vipi kyela huendi kugombea au umeamua maisha yako kuwa mpiga zumali wa chadema?
Wanamsema Boss wako Sugu uku kiongozi utakula wapi mteteeMuulize Mwakyembe kuhusu habari zangu , anazo
Mkuu siwezi kuwa chawa,na uwezo/maendeleo huenda nakuzidi mbali sana,kwahiyo kaa kwa kutulia.Tafuta kazi za kufanya. Uchawa siyo ajira. Utabakia hapo hapo kwenye uwezo tu wa kupata mlo na nauli ya kusafiria wakati wenzako wanazidi kupata maendeleo.
Mimi Sugu ananiheshimu sana na anajua namiliki Kiwanda na anafahamu kwamba mimi ni exporter , wafanyabiashara wengi wa Tanzania wanaagiza bidhaa nje na kuleta Tz , mimi napeleka bidhaa nje ya Nchi , kwa faida yako na mbumbumbu wengine ni kwamba hata huyu Freeman Mbowe kwa mara ya kwanza tulionana London kwenye kongamano la Wafanyabiashara wa Kitanzania .Wanamsema Boss wako Sugu uku kiongozi utakula wapi mtetee
Sugu Mbeya hatoboi japo tunatoka mtaa mmoja na balozi Moja siwezi kumpa Kura SuguMimi nina uzoefu mkubwa na siasa na naweza kabisa jua kwa ushindani huu huyu ataangukia pua au laa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eti Bibi yangu Mwakaleli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa vile unasema Sugu anakuheshimu embu mshauri kuhusu Kugombea Mbeya mwambie kwamba atapoteza muda wake bure afanye issue zingineMimi Sugu ananiheshimu sana na anajua namiliki Kiwanda na anafahamu kwamba mimi ni exporter , wafanyabiashara wengi wa Tanzania wanaagiza bidhaa nje na kuleta Tz , mimi napeleka bidhaa nje ya Nchi , kwa faida yako na mbumbumbu wengine ni kwamba hata huyu Freeman Mbowe kwa mara ya kwanza tulionana London kwenye kongamano la Wafanyabiashara wa Kitanzania .
Sifanyi siasa za kujikimu , mimi nailipa Chadema hela ili ikomboe nchi ili bibi yako hapo Mwakaleli asidhulumiwe , kwahiyo Sugu hawezi kunilipa , muwe mnawafuatilia watu humu jf kabla ya kuwasingizia uongo
Njaa inakusumbua.Kaa utulie upewe mkopo.Ndugu yangu sugu mwaka 2025 usipoteze pesa nyingi kwenye kampeni, maana uwezekano wa kupita ni finyu sana kutokana na maendeleo anayoyaleta Dr.Tulia.Mfano bara bara,vijana na akina mama kupewa mitaji n.k.Pona pona yako ni kuundwa kwa jimbo jipya la uchaguzi la uyole.Hakuna haja ya kukasirika ni maoni tu.
Tulia Ackson hakushinda 2020 na hawezi kushinda 2025 , chukua haya maneno , huyo dada hana ushawishi wowote ule Mbeya , tena hata kwa wanaccm wenzake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eti Bibi yangu Mwakaleli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa vile unasema Sugu anakuheshimu embu mshauri kuhusu Kugombea Mbeya mwambie kwamba atapoteza muda wake bure afanye issue zingine
Brother kweli? Hila kweli naamini Sugu ndugu yako Mimi nakaa mtaa mmoja na Sugu jamaa alishindwa Hadi mtaani kwake jamaa watu walimchoka Sana hakuwa msaada kwa Chochote zaidi ya kujinufaisha yeye kujenga hotelTulia Ackson hakushinda 2020 na hawezi kushinda 2025 , chukua haya maneno , huyo dada hana ushawishi wowote ule Mbeya , tena hata kwa wanaccm wenzake