Ndugu yangu ukipata fursa tembelea Ethiopia hakika hutajutia nauli yako

Ndugu yangu ukipata fursa tembelea Ethiopia hakika hutajutia nauli yako

Wadau hamjamboni nyote

Karibuni tujadili
Usiendeshwe na mihemuko ya kingino. Wanawake wengi wazuri hawakuwahi kuolewa. Uzuri wa ngozi sio uzuri na utamu wa nyama, wala upole wa mnyama husika. Tulia tafuta mwanamke mwenye nidhamu, heshima na busara, utaishi maisha marefu. Zaidi utajenga uchumi wako na kuchangia uchumi wa taifa.
 
Mleta mada upo afrika hii au unaishi iceland ? Mbona hivi ni vitu vya kawaida huku afrika ?
Afrika kuna kila sampuli na uzuri wake na madhaifu yake
 
Nasema kwa kinywa halafu kwa kusitili wanawake wazuri africa ni watanzania tuu. Najua mtasema wanyarwanda sijui ethiopia..wakuu ujuzi wa kuosha k upo tz tu kama unabisha Kale mkenya uone .mmoja alipanua mapaja tu nkavaa nguo nkalipa nkasepa mboo haikusimama wiki kila nkikumbuka
 
Kuna chapati zao za Anjera zinajazwa pilipili mpaka pomoni...
Ukatae kula sasa....
Hizo Injera halafu mboga imejazwa Pililpili na wanakuwekea Mayai wakati unamkaza ukijamba humo chumbani hakukaliki inabidi uzime AC ufungue Madirisha.

Ila huwa ni wasafi na wanajua kumridhisha Mwanaume na hawakatiki sana kama vibinti vyetu hivi vya Kibantu.
 
ndani ndani huko kwa wamburu
Au kwa Wamang'ati na Wataturu,kuna siku Gari liliniharibikia pale karibu na Igunga nikakutana na Wanawake na Wasichana wa Kitaturu nikawaambia nina kiu wakanipeleka hadi kijijini wakanipa maji nikawakuta Majamaa yao yanakunywa Mtukuru niliingiwa na hofu sana nikawa nasema leo mkuki ni halali yangu🤭
 
wadigo/wazaramo/wasambaa/wazigua ni bora sana kuanzia kwenye utamu, utalaam kitandani, usafi wa maeneo, kumjali mwanamume na kumthamini, kupika nk.

Hao ni wachafu maeneno, mitindo huru hakuna, viuno zero, hawajui kupika, wajeuri..
Wewe sasa ndio umeongea pointi.

Hao wa Ethiopia na wanyarwanda unalala naye siku moja kesho anaamkia Hospitali anaumwa vibaya mno.

Msandawe unakung'uta unaamka asubuhi mezani Supu ya Mbuzi imejaa unaondoa Hang over ya Mjegejo.
 
Back
Top Bottom