Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Hasheem ni kama jamaa fulani somebody Nditi ( alikuwa Chelsea ) ana vijitabia fulani vya kiswahili, basi kazi yake ikawa ni kuvimba tu, kujiona ushamaliza.

Ubitozi na Starehe huku ukiendekeza ustar njaa ukirudi bongo. Ukipigwa chini ndio basi tena
hivi nditi aliishia wapi ?
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒwyatt katika ubora wake
 
Tz tunaombeana kufail zaidi badala ya kutiana moyo,Samatta anashangiliwa saizi ila akifail utasikia maneno
naam ndio ulimwengu ulivyo hivyo.... inshort ukifanikiwa unakuwa umejichongea kwa watu ..kwa sababu watu watataka kuona ukifanya vyema zaidi ya pale nasio kurudi nyuma
 
Kweli aisee jamaa karudi kucheza bongo
 

Mkuu kalagabaho salam. Hebu tuwekee source ya hii habari
 
Hata ambaruti ni ndugu yetu
 
Hata ambaruti ni ndugu yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…