Uchaguzi 2020 Ndugu yetu Tundu Lissu, KUBALI matokeo na ujipange safari ijayo


Utopolo mtupu.

Pichani, mama yule anatuwakilisha wengi mno. Hata jiwe anajua hilo:

 
Kabisa, na kifika huko ndo atajua nini maana ya kuwa na amani nchini.
CCM wakienda kuomba omba misaada America huwapigia magoti na kuwaita wahisani wafadhili lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu uovu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika bali CCM imeulawiti umeunajisi kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani tu
 
Uzushi mtupu, kura fake ziingie kutoka wapi?. Watanzania mbona mnapenda kula takataka?. Hakuna kura fake wala nini watanzania wakiamua yao wameamua.
huo upupu kadanganyeni vijijini ila sio mjini kwa watu wenye elimu zao na akili zao timamu, hata mahesabu yamewashinda kujumlisha, total ya wapiga kura za ubunge kwenye jimbo hazilingani na total namba za wapiga kura za uraisi kwenye jimbo hilohilo, na kwa taarifa yako hao wanafunzi wa vyuo,walimu,wafanyakazi wa sekta zingine serikalini wote walioshirikisha kwenye udhalimu ni ndugu zetu, marafiki zetu na wanaongea ukweli mtupu.
 
Kabisa, na kifika huko ndo atajua nini maana ya kuwa na amani nchini.
Tanzania hakuna Amani bali Tanzania ni kisiwa cha Uvumilivu tu hakuna Amani kabsa cheki Zanzibar na baadhi ya sehemu za Tanganyika kuna Polisiccm wameua wamejeruhi watu ni uvunjifu wa Amani huo lakini watu wanaendelea kuvulia
 
hao wanafunzi, walimu na wafanyakazi wengine wa serikali walioshiriki kwenye udhalimu ni ndugu zetu na marafiki zetu, wanaongea kila kitu,siku zote siri huwa ya mtu mmoja, ukishamshirikisha mtu wa pili sio siri tena,so kawadanganyeni vijijini ila sio mjini kwa watu wenye elimu zao na akili zao timamu, una bahati mods wanafuta maneno yangu mengine
 
Ile kauli ya kuwambia wakurugenzi kuwa nakuteuwa,nakulipa mshahara,nakupa na Gari. Alafu unamtangaza mpinzani mshindi.
IMEMPONZA SANA.
 
Thibitisha....wananchi hawajakubali madini yao kuwekwa rehani ndio kisa cha kumpigia kura za upendo na wivu mkubwa Rais Magufuli.

Hongera CCM

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
huo upupu wataamini watu wa vijijini labda lakini sio mjini watu wenye elimu zao na akili zao, walioshiriki udhalimu ni ndugu zetu, marafiki zetu na wanaongea kila kitu, hakuna siri ya zaidi ya mtu mmoja chini ya jua, mkae mkijua maovu yenu yote yanajulikana na dunia nzima inajua mmetengeneza kura nyingi tu kabla ya uchaguzi wenyewe, hata mahesabu yamewashinda,idadi ya waliopiga kura za ubunge kwenye jimbo hazilingani na idadi ya wapiga kura za uraisi kwenye jimbo hilohilo, kwa hiyo mnataka kusema kuna watu wengi tu walipiga kura za uraisi ila hawakupiga za ubunge
 
Ushindi ni wa ccm, kwann usiwapongeze tu na kuongelea Tz mpya ya kijani itakavyokuwa bila kasoro za kupingwa na wapinzani?
Haitawezekana.maana halisi ya mpinzani ni MTU aliyejitambua,akaona mapungufu na kuyasemea,hivyo ndo maana ya upinzani.
Kwa hyo kwa miaka hii mitano ya chama kimoja itazalisha wapinzani wengi maradufu.
 
Haitawezekana.maana halisi ya mpinzani ni MTU aliyejitambua,akaona mapungufu na kuyasemea,hivyo ndo maana ya upinzani.
Kwa hyo kwa miaka hii mitano ya chama kimoja itazalisha wapinzani wengi maradufu.
Wapinzani wa ndani ya chama cha ccm?Embu fikiri tena boss.
 
Congo ilisababishwa na uonevu unyanyasaji uovu mateso kama haya ya sasa CCM kuwapiga risasi kuwabambikia kesi kesi manyanyaso kuwapora ushindi wapinzani kwa njia haramu za kishetani
Hiyo sio root cause hata kidogo.
 
Kumbe ww msomi [emoji23][emoji23] Na mtoto wa mjini sio? Basi leta facts za kisomi na za kimjini ndugu acha kulalamika total za wabunge na presidential haziwezi lingana kwani kunawatu ambao tumevote for presidential post pekeake na kwasaabu mbalimbali nyingine inapelekea kutokea kitu Kama hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…