Uchaguzi 2020 Ndugu yetu Tundu Lissu, KUBALI matokeo na ujipange safari ijayo

Uchaguzi 2020 Ndugu yetu Tundu Lissu, KUBALI matokeo na ujipange safari ijayo

Chadema na wapinzani wala msifikirie kuhusu katiba mpya kwa sasa. Bunge hilo feki lijalo halitaruhusu hilo. Ni kutumia nguvu tu ya umma. Kubalini kulipa hiyo gharama ya mateso! Kujifungua kwa mama kuna utungu ambao mama hawezi kuzaa bila kupitia hatua hiyo. Kuna utungu katika kuizaa Tz mpya. You have come to this leadership position at such time like this. Historia inataka kuandika majina yenu. Take charge. Umma umesimama nyuma yenu unangoja maono yenu.
 
30 OKTOBA 2020

Tumekuwa wafuatiliaji wakubwa wa kampeni zako tukiwa na matarajio ya kupata mengi mazuri baada ya kurudi kutoka Ubelgiji ukionyesha hali ya kushiriki vema katika kampeni zako.

Na kwa kweli ulianza vema ufunguzi wa kampeni zako kupitia CHADEMA yetu, ila tulianza kupata shaka baada ya kuona kauli zilizoanza kutoka muda mfupi baadaye ambazo zilitukumbusha msemo wa wahenga 'Asiyekubali kushindwa si mshindani.'

Hii ni kwa sababu ulituonyesha kuwa hukuja kushindana bali ulikuja kushinda kwa njia yoyote ile. Kauli zako zilionyesha hamasa za kuleta vurugu kati ya jamii na ndugu zetu Watanzania ili kuiangusha CCM hata kwa kumwaga damu ili wewe ukae katika kiti cha urais.

Leo tumesikiliza taarifa yako ya kukataa matokeo yanayoendelea kutolewa ukishinikiza jamii ya kimataifa kukataa uchaguzi huu. Tunadhani mshtuko mkubwa ulioupata wewe na viongozi wetu wa CHADEMA ni kuangushwa kwa Mgombea Freeman Mbowe ambaye amekuwa ni mbunge kwa miaka mingi na wabunge wengi mashuhuri hali ambayo hukufikiria.

Pengine ni kutoijua vizuri nchi yako kwa kipindi ulichokuwa ughaibuni. Ila tungependa kukujulisha yafuatayo kwa faida yako na viongozi wengine wa CHADEMA tukijibu mazungumzo yako ya leo.

1. UCHAGUZI NI HURU NA WA HAKI
Hakuna Mtanzania hata mmoja aliyekataliwa kupiga kura ikiwa na vigezo vinazohitajika. Mawakala wetu wa CHADEMA wametujulisha kuwa walikuwepo na wameshuhudia zoezi isipokuwa wanashangaa video zilizosambaa mtaani zikionyesha uzushi wa kutengeneza kuwa kura zimekamatwa.

Jamii za kimataifa zimefika na kuangalia zoezi zima. Hivyo, unachosema ni kujaribu kutafuta sababu ikiwa hali halisi unaijua. Tukubali tu tulizoea ubabaishaji ila sasa hivi tujipange upya kwa ajili ya uchaguzi ujao. Pia suala la mawakala kutopewa nakala za matokeo ni uzushi kwani chama chetu hadi kufikia usiku wa tarehe 28/10/2020 tulishajua upepo si mzuri.

2. HATUKUONEWA
Wanachadema tunajiuliza swali; Kama mawakala walikuwepo na hakuna aliyetoa ushahidi wa kukataliwa kuingia kituoni kwa nini hatusikii malalamiko hayo toka kwa mawakala na matokeo yake malalamiko yapo kwa wagombea walioshindwa ukiwemo wewe?

Tulisimamisha wagombea 244 lakini hatukuwawezesha fedha wagombea wetu wa ubunge kutokana na ukata katika chama. Fedha zipo lakini mwenyekiti na sekretarieti yake walikataa kutoa fedha hizo ili zikatusaidie na badala yake zimeendelea kupelekwa kwenye miradi binafsi ya viongozi.

Wabunge wetu walichangishwa kwa muda wa miaka mitano kwa sababu ya kuandaa fedha za kampeni lakini muda ulipofika hawakurudishiwa fedha zile hivyo kushindwa kuzunguka na kuomba kura.

Tujitafakari Wanachadema na viongozi wetu wametuangusha. Tunaamini walijua hawawezi kushinda ndio sababu.

3. HATUKO TAYARI KUANDAMANA WALA KUGOMA
Kura tumepiga tukimchagua kiongozi ambaye kwa miaka mitano amejinyima na kukaa na sisi Watanzania kwa kuijenga nchi yetu iweze kujitegemea. Tukitegemea uje na sera nzuri za kuboresha maendeleo ya uchumi wa nchi yetu na kuendelea kupunguza utegemezi ila muda mwingi wa kampeni zako ulitumia kuisema CCM kwa kusema unataka maendeleo ya watu na si vitu ili kuenda kinyume na mengi makubwa yaliyofanywa na CCM kuboresha barabara, shule, zahanati. Hali hii ilitufanya tujiulize maswali mengi juu ya uwezo wako.

Pia ulitumia muda mwingi kueleza ulivyoshambuliwa lakini sisi wafuasi wako tulitaka kujua utafanya nini ukichaguawa au kwanini tukupe dhama ya uongozi wa nchi? Ulishindwa kujibu maswali hayo na badala yake ulitumia muda mwingi kuonyesha umma wa wanachadema na Watanzania kuwa unaonewa. KWA MAELEZO HAYA HATUWEZI KUANDAMANA KABISA KWA AJILI YAKO.

4. CHAMA HAKIKUJIANDAA KUHUSU WEWE
Sisi Wanachadema tumechoshwa na maandalizi duni ya chama hasa kipindi hiki cha uchaguzi. Pamoja na malalamiko ya kutokuwa na fedha. Zipo taarifa kuwa wewe haukuandaliwa kugombea na ujio wako hakukubalika katika chama hadi kufikia kukataa kutoa fedha kwa ajili ya kampeni zako.

Pia, ushirikiano wako na viongozi wa juu wa chama haukuwepo na hawakuonekana katika mikutano yako. Kwetu sisi kama wanachadema tuliona ni tatizo kubwa sana. Taarifa tulizopata zilionyesha kuna mgogoro mkubwa wa maslahi ndani ya chama na mwenyekiti hakukukubali ndio maana hakuweza kukusaidia kampeni zako.

5. UNATUMIKA NA MATAIFA MAKUBWA KUHATARISHA AMANI YA NCHI
Tunafahamu wewe ni mwanasheria mzuri wa kimataifa. Kwa nini umlete Robert Amsterdam aje kama mwanasheria wako? Je, kuna maslahi gani amekuja kuyasimamia? Tumekuwa tukipinga sana ushoga na zipo taarifa kuwa umedhaminiwa na mataifa makuwa ili ukipata uongozi uidhinishe ushoga na kuuza madini yetu nje ya nch na ukishindwa uanzishe hata vurugu kwa mgongo wa demokrasia ili kutufikisha kama Libya ambako wanapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe hadi sasa. Leo, Robert Amsterdam yupo Uturuki akisubiri Watanzania tupigane kwa uchochezai aliouandaa kupitia wewe. Tunakushauri kaungane naye tu muendelee na maisha yenu.

HITIMISHO

Tanzania itabaki kuwa nchi ya amani na maendeleo yataletwa na sisi wenyewe kamwe hatutakubali kununuliwa kwa bei yeyote tupo macho.

NI SISI WANACHADEMA KANDA YA KASKAZINI
Uchaguzi haukuwa huru na haki hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
30 OKTOBA 2020

Tumekuwa wafuatiliaji wakubwa wa kampeni zako tukiwa na matarajio ya kupata mengi mazuri baada ya kurudi kutoka Ubelgiji ukionyesha hali ya kushiriki vema katika kampeni zako.

Na kwa kweli ulianza vema ufunguzi wa kampeni zako kupitia CHADEMA yetu, ila tulianza kupata shaka baada ya kuona kauli zilizoanza kutoka muda mfupi baadaye ambazo zilitukumbusha msemo wa wahenga 'Asiyekubali kushindwa si mshindani.'

Hii ni kwa sababu ulituonyesha kuwa hukuja kushindana bali ulikuja kushinda kwa njia yoyote ile. Kauli zako zilionyesha hamasa za kuleta vurugu kati ya jamii na ndugu zetu Watanzania ili kuiangusha CCM hata kwa kumwaga damu ili wewe ukae katika kiti cha urais.

Leo tumesikiliza taarifa yako ya kukataa matokeo yanayoendelea kutolewa ukishinikiza jamii ya kimataifa kukataa uchaguzi huu. Tunadhani mshtuko mkubwa ulioupata wewe na viongozi wetu wa CHADEMA ni kuangushwa kwa Mgombea Freeman Mbowe ambaye amekuwa ni mbunge kwa miaka mingi na wabunge wengi mashuhuri hali ambayo hukufikiria.

Pengine ni kutoijua vizuri nchi yako kwa kipindi ulichokuwa ughaibuni. Ila tungependa kukujulisha yafuatayo kwa faida yako na viongozi wengine wa CHADEMA tukijibu mazungumzo yako ya leo.

1. UCHAGUZI NI HURU NA WA HAKI
Hakuna Mtanzania hata mmoja aliyekataliwa kupiga kura ikiwa na vigezo vinazohitajika. Mawakala wetu wa CHADEMA wametujulisha kuwa walikuwepo na wameshuhudia zoezi isipokuwa wanashangaa video zilizosambaa mtaani zikionyesha uzushi wa kutengeneza kuwa kura zimekamatwa.

Jamii za kimataifa zimefika na kuangalia zoezi zima. Hivyo, unachosema ni kujaribu kutafuta sababu ikiwa hali halisi unaijua. Tukubali tu tulizoea ubabaishaji ila sasa hivi tujipange upya kwa ajili ya uchaguzi ujao. Pia suala la mawakala kutopewa nakala za matokeo ni uzushi kwani chama chetu hadi kufikia usiku wa tarehe 28/10/2020 tulishajua upepo si mzuri.

2. HATUKUONEWA
Wanachadema tunajiuliza swali; Kama mawakala walikuwepo na hakuna aliyetoa ushahidi wa kukataliwa kuingia kituoni kwa nini hatusikii malalamiko hayo toka kwa mawakala na matokeo yake malalamiko yapo kwa wagombea walioshindwa ukiwemo wewe?

Tulisimamisha wagombea 244 lakini hatukuwawezesha fedha wagombea wetu wa ubunge kutokana na ukata katika chama. Fedha zipo lakini mwenyekiti na sekretarieti yake walikataa kutoa fedha hizo ili zikatusaidie na badala yake zimeendelea kupelekwa kwenye miradi binafsi ya viongozi.

Wabunge wetu walichangishwa kwa muda wa miaka mitano kwa sababu ya kuandaa fedha za kampeni lakini muda ulipofika hawakurudishiwa fedha zile hivyo kushindwa kuzunguka na kuomba kura.

Tujitafakari Wanachadema na viongozi wetu wametuangusha. Tunaamini walijua hawawezi kushinda ndio sababu.

3. HATUKO TAYARI KUANDAMANA WALA KUGOMA
Kura tumepiga tukimchagua kiongozi ambaye kwa miaka mitano amejinyima na kukaa na sisi Watanzania kwa kuijenga nchi yetu iweze kujitegemea. Tukitegemea uje na sera nzuri za kuboresha maendeleo ya uchumi wa nchi yetu na kuendelea kupunguza utegemezi ila muda mwingi wa kampeni zako ulitumia kuisema CCM kwa kusema unataka maendeleo ya watu na si vitu ili kuenda kinyume na mengi makubwa yaliyofanywa na CCM kuboresha barabara, shule, zahanati. Hali hii ilitufanya tujiulize maswali mengi juu ya uwezo wako.

Pia ulitumia muda mwingi kueleza ulivyoshambuliwa lakini sisi wafuasi wako tulitaka kujua utafanya nini ukichaguawa au kwanini tukupe dhama ya uongozi wa nchi? Ulishindwa kujibu maswali hayo na badala yake ulitumia muda mwingi kuonyesha umma wa wanachadema na Watanzania kuwa unaonewa. KWA MAELEZO HAYA HATUWEZI KUANDAMANA KABISA KWA AJILI YAKO.

4. CHAMA HAKIKUJIANDAA KUHUSU WEWE
Sisi Wanachadema tumechoshwa na maandalizi duni ya chama hasa kipindi hiki cha uchaguzi. Pamoja na malalamiko ya kutokuwa na fedha. Zipo taarifa kuwa wewe haukuandaliwa kugombea na ujio wako hakukubalika katika chama hadi kufikia kukataa kutoa fedha kwa ajili ya kampeni zako.

Pia, ushirikiano wako na viongozi wa juu wa chama haukuwepo na hawakuonekana katika mikutano yako. Kwetu sisi kama wanachadema tuliona ni tatizo kubwa sana. Taarifa tulizopata zilionyesha kuna mgogoro mkubwa wa maslahi ndani ya chama na mwenyekiti hakukukubali ndio maana hakuweza kukusaidia kampeni zako.

5. UNATUMIKA NA MATAIFA MAKUBWA KUHATARISHA AMANI YA NCHI
Tunafahamu wewe ni mwanasheria mzuri wa kimataifa. Kwa nini umlete Robert Amsterdam aje kama mwanasheria wako? Je, kuna maslahi gani amekuja kuyasimamia? Tumekuwa tukipinga sana ushoga na zipo taarifa kuwa umedhaminiwa na mataifa makuwa ili ukipata uongozi uidhinishe ushoga na kuuza madini yetu nje ya nch na ukishindwa uanzishe hata vurugu kwa mgongo wa demokrasia ili kutufikisha kama Libya ambako wanapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe hadi sasa. Leo, Robert Amsterdam yupo Uturuki akisubiri Watanzania tupigane kwa uchochezai aliouandaa kupitia wewe. Tunakushauri kaungane naye tu muendelee na maisha yenu.

HITIMISHO

Tanzania itabaki kuwa nchi ya amani na maendeleo yataletwa na sisi wenyewe kamwe hatutakubali kununuliwa kwa bei yeyote tupo macho.

NI SISI WANACHADEMA KANDA YA KASKAZINI
Namba 3 kiongozi gani anajinyima na kuijenga Nchi? Ujenzi upi? Kwani miradi yote mikubwa ina ufisadi mkubwa, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ni mojawapo ya mradi wa kifisadi, ununuzi wa Ndege ana 10% zake hakuna mradi asiojinufaisha binafsi na watu wake, kwa kifupi CCM ni ile ile ukoo wa panya baba mama watoto ni wezi
 
Chadema na wapinzani wala msifikirie kuhusu katiba mpya kwa sasa. Bunge hilo feki lijalo halitaruhusu hilo. Ni kutumia nguvu tu ya umma. Kubalini kulipa hiyo gharama ya mateso! Kujifungua kwa mama kuna utungu ambao mama hawezi kuzaa bila kupitia hatua hiyo. Kuna utungu katika kuizaa Tz mpya. You have come to this leadership position at such time like this. Historia inataka kuandika majina yenu. Take charge. Umma umesimama nyuma yenu unangoja maono yenu.
Aiseeeh!
 
Namba 3 kiongozi gani anajinyima na kuijenga Nchi? Ujenzi upi? Kwani miradi yote mikubwa ina ufisadi mkubwa, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ni mojawapo ya mradi wa kifisadi, ununuzi wa Ndege ana 10% zake hakuna mradi asiojinufaisha binafsi na watu wake, kwa kifupi CCM ni ile ile ukoo wa panya baba mama watoto ni wezi
[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja ni cheke tu kwasaabu ndugu yangu unafurahisha kweli kweli.
 
Yaani sijui itachukua kitu gani kuwafanya ninyi viumbe wachache kutoka kwenye box mlilomo, have you ever even seen a SMG on a close look. Kikawaida risasi ya bunduki wewe tatu tu on a planned attack uponi hata ukipona hutokaa maishani mwako usogee mbele ya watu with that image in your head. Usiongee vitu probably bunduki na risasi unaziona kwenye movie, Go shooting range try some afu rudi na opinions zako upya sitoweza kuongea all about bullets humu.
Huu ujinga wenu wa kutengeneza propaganda za kishamba kijinga jinga mkizani watanzania ni wajinga kama nyinyi ndiyo umewakosesha kura mpaka mkaamua kuunajisi kuulawiti na kuubaka uchaguzi huu kwa njia haramu za kishetani, mifano yako ya SMG ni mifano ya kijuha ni mtu mbumbumbu zuzu kama wewe anaweza kukaa kuamini ujinga wako.
 
Yaani sijui itachukua kitu gani kuwafanya ninyi viumbe wachache kutoka kwenye box mlilomo, have you ever even seen a SMG on a close look. Kikawaida risasi ya bunduki wewe tatu tu on a planned attack uponi hata ukipona hutokaa maishani mwako usogee mbele ya watu with that image in your head. Usiongee vitu probably bunduki na risasi unaziona kwenye movie, Go shooting range try some afu rudi na opinions zako upya sitoweza kuongea all about bullets humu.
Watu wenyewe wengi wao hawaishi nchini. Wamekalia kubonyeza keyboard tu usiku na mchana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja ni cheke tu kwasaabu ndugu yangu unafurahisha kweli kweli.
CCM hakuna msafi hakuna malaika CCM kila mmoja ni mpigaji kwa fursa zake ndiyo maana Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, Pesa za viwanda za walipa kodi zote zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji uovu mateso kuwapiga risasi wapinzani na sasa zingine zimetumika kubaka sanduku na kura kwa njia haramu za kishetani.
 
Mwenzao Aida khenan ameshinda ubunge kwenye wakati mgumu sana, si Mbowe wala Lisu aliyeenda kumuombea kura huko Nkasi , acha ale maisha tena bila makato ya kuchangia chama.

Ni aibu kubwa sana kwa Mbowe ,Msigwa ,Lema ,Mdee, Sugu kuzidiwa mbinu za medani katika kulinda kura na mtoto mdogo tena mwanamke Aida !
 
Mwenzao Aida khenan ameshinda ubunge kwenye wakati mgumu sana, si Mbowe wala Lisu aliyeenda kumuombea kura huko Nkasi , acha ale maisha tena bila makato ya kuchangia chama.

Ni aibu kubwa sana kwa Mbowe ,Msigwa ,Lema ,Mdee, Sugu kuzidiwa mbinu za medani katika kulinda kura na mtoto mdogo tena mwanamke Aida !
CCM wameamua kumuachia ingawa wangeweza kumpora kama walivyopora sehemu zingine kwa njia haramu za kishetani
 
Alifikiri Watanzania ni wajinga . Khe khe khe khe khe
 
Huu ujinga wenu wa kutengeneza propaganda za kishamba kijinga jinga mkizani watanzania ni wajinga kama nyinyi ndiyo umewakosesha kura mpaka mkaamua kuunajisi kuulawiti na kuubaka uchaguzi huu kwa njia haramu za kishetani, mifano yako ya SMG ni mifano ya kijuha ni mtu mbumbumbu zuzu kama wewe anaweza kukaa kuamini ujinga wako.
Sawa sawa ndugu, Ila utaumbuka siku moja na utajiona mjinga kuliko[emoji38]. Lakini Usichukie mzee huu mjadala tu [emoji38].
 
Mwisho wa siku inabidi tujifunze from all we do, chama kinajisahau na kuwana plan za kizembe. Huwezi build up a strong house without a stronger foundation. Chama kimefocus kwa Rais instead kingejipa muda na kufocus Sana huku chini madiwani na wabunge kubuild up a very strong base ya kuja kupenya nayo. Mwisho wa siku wanasusiana na kusahau the foundation ya Kila kitu. So inabidi kujifunza kwani serikali sio presidential office tu bali MPs ndo mwanzo wa Kila kitu.
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani tu
 
Watu wenyewe wengi wao hawaishi nchini. Wamekalia kubonyeza keyboard tu usiku na mchana.
Keyboard ya manufaa sio za kuchagua nchi kwankutaka umwagaji damu ili wao waje nchini Kwetu. Mfano USA, FB walipo minya na ilipoingilia uchaguzi wao 2018 Mtanzania gani alienda kuwahoji. Be realistic bana msiongee tu basi. Wazungu wakae kwao huko waje kutembea na kurudi makwao sio kututaka kuanzisha ushenzi nchini Kwetu.
 
Hizo ni hoja fupi, walio piga kura wengi ni kinamama na watu wa makamo Kama wewe binafsi umepiga kura basi umehionea. Vijana wengi hawajapiga kura na sababu mojawapo kubwa hasa ni kutokua na makazi permanent in 5 yrs vijana wanamove Sana na mahala walipojiandikishia panakua mbali Sana na makazi yao mapya na hilo ndo tatizo kubwa kuliko yote na sio kutokua na imani na system. Mbona hawajaingia mtaani Kama wanavyoelekezwa kufanya vijana wa kitanzania sio wajinga kabisa.
Hakuna uchaguzi Tanzania CCM imefanya vioja maigizo kuuhadaa ulimwengu kuwa kuna uchaguzi
 
Back
Top Bottom