Ndugu Zangu, Hususani wa Jukwaa la Siasa, Hakikisha Miongoni Mwa Malengo Yako Kwa Mwaka 2025, Unakua na Bima Ya Afya.

Ndugu Zangu, Hususani wa Jukwaa la Siasa, Hakikisha Miongoni Mwa Malengo Yako Kwa Mwaka 2025, Unakua na Bima Ya Afya.

Bima ya afya ni kujilisha upepo tu. Uwe na bima au usiwe nayo, itakufa tu.
watu wangu wana angamia kwa kukosa maariafa inakuandama gentleman,

binafsi natetea afya na uhai wa marafiki na wadau wote JF,

sio lazima kuzingatia mawaidha na zawadi yangu hii kidogo kwa mwaka mpya2025, ni hiyari gentleman:pulpTRAVOLTA:
 
tunasubiri bima ile ya wote CCM wanayotupiga nayo dana dana wao wakitafuna keki ya nchi taratibu
gentleman,
afya na uhai ni zawadi za bure kutoka kwa Mungu,

inafaa kuzitunza vizuri sana bila kusubiri sijui eti nani alisema nini wapi.

huko ni kujidhulumu na kutokujipenda.

make sure una bima ya afya 2025, plz itakusaidia sana:pulpTRAVOLTA:
 
Mkuu nilipo nina bima ya afya ya level ya raisi wako kijana😄

Hiyo bima ya afya japo inamsaada ukiumwa mafua na vigonjwa vidogo, ila kwa mtu maskini bado ni mwiba mkali akipata tatizo kubwa bima ya afya kumsaidia.
katika jimbo langu,
mwaka ujao wa fedha, hususan baada ya uchaguzi mkuu,

afya ni kipaumbele cha kwanza,
na kazi ya kwanza ni kuhakikisha zile shule baadhi amabazo bado wanafunzi wake hawana bima za afya, basi wote wanapata bima za afya. na hii ni kuanzia chekechea na sekondari, kabla ya kugeukia kaya na familia zote jimboni, kuhakikisha wana bima za afya kabla ya mwaka 2028.

bima ni msaada na mkombozi mkubwa zaidi kwa wenye kipato cha chini gentleaman:pulpTRAVOLTA:
 
Wanakusanya pesa
Za watotooo

Mtoto anaednda kupimaa

Unaambiwa bima yake haitoshelezi

Niko MKOA si Bora nileweeeeee

Mnatesa sanaa
gentleman, bima zina vifurushi ,
hata hivyo zinasitiri mambo mengi mno licha ya kua katika vifurushi tofauti tofauti ambavyo ni rahisi kubadili na kupata huduma stahiki:pulpTRAVOLTA:
 
Naona mnataka kukusanya hela za uchaguzi kijajnja sio ?

Nna Bima ya DLA ( Defensive Logistic Agency ) hi inatosha Hadi nazikwa sio kanjanja zenu hizo.
ni muhimu sana kila mdau kua na bima ya afya gentleman,

tutachangiana mpaka lini mtu akiwa tayari ameathirika vibaya kiafya, kutokana na kukosa pesa ya matibabu na bima huku mkononi unamuona kashikilia iphone ya 4m na hajaweka vocha wiki ya tatu sasa? :pulpTRAVOLTA:
 
Itakusaidia sana na kukuepusha na fedheha za kujifungia ndani kwasababu huna pesa ya matibabu, au kujiuguza kwa kukimbilia kununua panadol tu, au kufakamia dawa ambazo si sahihi kiholela dhidi ya ugonjwa au maradhi yatakayokua yanakusumbua,

Lakini pia bima ya afya inaondoa unyonge na inaweza kunusuru maisha yako.

Tafadhali sana,
Mawaidha hayo ndio zawadi yangu kwenu kwa mwaka mpya2025.

Natumai kujadiliana mambo ya kisiasa tukiwa na afya njema, lakini pia kua na uhakika wa matibabu, endapo tutapitia changamoto za kiafya tukiwa na bima.

Happy new year2025 my friends, ladies and gentleman :pulpTRAVOLTA:
Mawazo mazuri haya. Nami nimekuwa nikiwashawishi majirani zangu hasa wenye watoto wanaosema kuwakatia Bima za Afya.
 
Itakusaidia sana na kukuepusha na fedheha za kujifungia ndani kwasababu huna pesa ya matibabu, au kujiuguza kwa kukimbilia kununua panadol tu, au kufakamia dawa ambazo si sahihi kiholela dhidi ya ugonjwa au maradhi yatakayokua yanakusumbua,

Lakini pia bima ya afya inaondoa unyonge na inaweza kunusuru maisha yako.

Tafadhali sana,
Mawaidha hayo ndio zawadi yangu kwenu kwa mwaka mpya2025.

Natumai kujadiliana mambo ya kisiasa tukiwa na afya njema, lakini pia kua na uhakika wa matibabu, endapo tutapitia changamoto za kiafya tukiwa na bima.

Happy new year2025 my friends, ladies and gentleman :pulpTRAVOLTA:
🤣🤣🤣 Kwamba kutakua na maumivu yasiyotarajiwa hence kupelekea magonjwa yasiyo eleweka!!.
Nimecheka sana hiyo tahadhari.
 
Niliwaona wamaana walivyorudisha Toto afya card.
Maana kuna watoto tulikuwa tunawalipia hii huduma.
Natumai January hii zoezi litaendelea.

Ndugu zangu bima ni muhimu sana hebu jitafakari unalipia bima ya gari, halafu bima ya afya yako unapuuza hivi uko timamu kweli..?
 
Back
Top Bottom