Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Eti umesema na yeye anakupenda sana

Hio screenshot sioni upendo wa mwanamke hapo😂😂😂

Hata kama hataki angekuelekeza kwa staha, hilo bomu jitwike tu. Utakuja na uzi mwakani hapa
 
NDOA kwa mwanaume ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani na kupoteza muda... Mwanamke ni chombo cha starehe, zalisha tupa kule wanaume wengine wamchezee...
Ktk maisha yako usikubali mwanamke ajaribu hata kukuvimbia... Anakuambia tuachane halafu ulivyo mapumbavu una bembeleza?? Idiot
 
Wakuu huyu mwanamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahari.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahari na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa ina maana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?

Hii ipoje wakuuu!
ACHANA NA HUYO MWANAMKE MARA MOJA.

Ukioña kwenye kuzozana na mwanamke anakimbilia "Tuachane".

Anakua na watu wengi wanaomtombaa .

JAMBO NINALOKUHAKIKISHIA, UKISHATOA TU MAHARI, ATAKATAA KUOLEWA NAWEWE, ATARUDI KWA WAZAZI WAKE ACHUKUE HELA YAKE, AFANYE MAMBO MENGINE.
 
Back
Top Bottom