Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Aseee. Watoto wa 2000's ni kisanga
Yani mkuu mpaka unashindwa kujua vinataka nini, unatoka kazini umechanganyikiwa unakuja kumalizia vimeo vingine home, nako unakutana na balaa la kitoto cha watu kimevuta mashavu, mara kizime pc yaan full mazigazi.
 
Mkuu naomba kukuweka sawa.
Hiyo sms ndefu ni sms yake yeye baada ya mm kumuambia ukweli kuwa simuhitaji mana Kuna siku nilimwambia kama Mungu amepanga tuwe wote basi atatupa majibu yeye akajibu hiyo Mimi nikajibu sawa.
Tuonyeshe SMS uliyomtema na kumchana live
 
Yani mkuu mpaka unashindwa kujua vinataka nini, unatoka kazini umechanganyikiwa unakuja kumalizia vimeo vingine home, nako unakutana na balaa la kitoto cha watu kimevuta mashavu, mara kizime pc yaan full mazigazi.
Kuwa makini usije ukapata murder case asee
 
Wakuu huyu mwanamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahari.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahari na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa ina maana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?

Hii ipoje wakuuu!
Kuna maisha baada ya ndoa. Huyo mwanamke ni mpumbavu, sijui umempendea nini hapo. Anataka harusi ipendeze kwa ajili ya kupost picha status, hawazi Maisha. Je mkimaliza harusi watu wamekula na kunywa, na nyie mmebaki hapo mmefulia mtakuwa wageni wa nani?
 
Kweli dunia haiko fair, wakati wengine hatujawahi hata kutolewa mahari ya mbuzi 1, kuna wengine wanakataa 1M dah nimelia sana🤔
 
Tuonyeshe SMS uliyomtema na kumchana live
Unataka niprove Nini kwako? Endelea kUamini unavyo amini au huyo demu ni dada Yako? Watu wameshanipa ushauri ni maamuzi yangu kuamua
 
Kuwa makini usije ukapata murder case asee
Nimeachana nacho mkuu, nimekubali hasara.
Vitu nilivyowekeza kwake ni vya kawaida sana(nilikuta anaishi nyumba empty sana nikaamua kumjazia mazaga yanayohitajika kwa mrembo kama yeye) akahisi kupitia huo upuuzi ndio nimefika. Nilivyokiambia kitafute watoto wenzie kikauliza vipi kuhusu vitu ulivyoninunulia nikacheka kimoyomoyo.
 
mtu yeyote ambae mkijadiliana,au kupishana kwa kauli kidogo anataja Neno Bora tuachane hapo upendo haupo
abot mission mkuu tafuta marisho sehemu nyingine
 
Unataka niprove Nini kwako? Endelea kUamini unavyo amini au huyo demu ni dada Yako? Watu wameshanipa ushauri ni maamuzi yangu kuamua
Umenielewa tofauti ndugu ila sawa kazi njema.
 
Jamaa linatafuta hiyo 2.5M huku likiomba na ushauri humu rejea kauli yake ya "kuna mwanamke nampenda sana" nikirudi kwako mleta mada hapo huchomoki baba utatoa tu hiyo 2.5M
 
Back
Top Bottom