Bonsipele69
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 364
- 915
- Thread starter
- #281
Hakika watabarikiwaEe hao mafala acha wajichanganye waendelee kuzituma si hawana cha kuzifanyia zimezagaazagaa tu acha wakutumie Ila watabaki kua mafala daima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika watabarikiwaEe hao mafala acha wajichanganye waendelee kuzituma si hawana cha kuzifanyia zimezagaazagaa tu acha wakutumie Ila watabaki kua mafala daima
Hakuna cha kubarikiwa huo ni ufala na wanaendelea kua mafalaHakika watabarikiwa
Muazime wewe hiyo laki tano au mwambie akuuzie sim, fanya jaribio la kuuza simu yako kwa Bei unayoona itakufaa halafu pesa utakayopata kiasi nunua kiswaswadu unachosema na nyingine fanyia biashara Kama utatoboa hata week.Kama 80000 ni ndogo angeweka simu bondi alaf angekopa au angeazima ata 500,000kutoka kwa watu wa karibu alaf afanye biashara.
KWENYE MATATIZO UNATAKIWA UFIKIRI NJE YA BOX MAANA HAPO NDIPO.MAFANIKIO YANAPOKUJA
Acheni ufala nyie mafala kwani nyinyi ndio mliomzaa Mbwa nyinyi amewaambia yeye hana ndugu hana wazazi? Mafala kabisa nyinyiMuazime wewe hiyo laki tano au mwambie akuuzie sim, fanya jaribio la kuuza simu yako kwa Bei unavyoona itakufaa halafu pesa utakayo kiasi nunua kiswaswadu unachosema na nyingine fanya biashara Kama utatoboa hata week.
Kwani hakuna wanaoishi kwa kuuza karanga/kahawa au magazeti au laki5 haitoshi hata kufuga kuku .Muazime wewe hiyo laki tano au mwambie akuuzie sim, fanya jaribio la kuuza simu yako kwa Bei unayoona itakufaa halafu pesa utakayopata kiasi nunua kiswaswadu unachosema na nyingine fanyia biashara Kama utatoboa hata week.
Kama huna msaada tuliza kinyeo, mnatoa tu ushauri wa kilofa eti uza sim ufanye biashara, wewe mtoto wa mama bishara unaijua?Acheni ufala nyie mafala kwani nyinyi ndio mliomzaa Mbwa nyinyi amewaambia yeye hana ndugu hana wazazi? Mafala kabisa nyinyi
Ni mtu ambae sio Fala tu ndio anaweza kukuelewa Ila mafala wote hawawezi kukuelewa Fala ni Fala tu na atabakia kua Fala habadirikiKwani hakuna wanaoishi kwa kuuza karanga/kahawa au magazeti au laki5 haitoshi hata kufuga kuku .
Ajira ni chache ila kazi ni nyingi.
Jipambanue na taarifa zako mfanoAssalam Allaykum,
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni.
Daaah maisha haya. Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB: Kuhusu bando natumia tunnel vpn
Kwa situation ya jamaa kuuza simu ni kujimalizaHivi kuuza simu ndo suluhisho la matatizo?
Hii comment huwa inanichekeshaga Sana mtu akija kuomba msaada humu..
OngezeaJipambanue na taarifa zako mfano
1.Level of education
2.Gender
3.Ujuzi wako
4.Uzoefu
5.Location
6.Sifa ya nyongeza ambayo inaweza kukuuza
Wewe mtoto mdogo unaletewe tu mahitaji hujui yanatatafutwa vipi alafu unatoa ushauri mwepesi, Hali ya hiyo simu umeiona? Wewe hao kuku umewahi kufuga?.Kwani hakuna wanaoishi kwa kuuza karanga/kahawa au magazeti au laki5 haitoshi hata kufuga kuku .
Ajira ni chache ila kazi ni nyingi.
Kaa kimya Fala WeweWewe mtoto mdogo unaletewe tu mahitaji hujui yanatatafutwa vipi alafu unatoa ushauri mwepesi, Hali ya hiyo simu umeiona? Wewe hao kuku umewahi kufuga?.
Kama upo karibu na kwangu njoo nikuoneshe jinsi kuku anavyoweza kukufaidisha ukiona biashara yako haitiki ujue wewe bado haujamature.Wewe mtoto mdogo unaletewe tu mahitaji hujui yanatatafutwa vipi alafu unatoa ushauri mwepesi, Hali ya hiyo simu umeiona? Wewe hao kuku umewahi kufuga?.
Na ndio maana ameomba msaa msaidie, ila ushauri sijui uza simu ufanye biashara Ni ushauri wa uongo kabisa kwasababu hata Hali ya simu hujaionaKama upo karibu na kwangu njoo nikuoneshe jinsi kuku anavyoweza kukufaidisha ukiona biashara yako haitiki ujue wewe bado haujamature.
Nakazia.Kwa situation ya jamaa kuuza simu ni kujimaliza
Simsaidii hata asie na chochote acheni ufalaNakazia.
Auze smartphone anunue kiswaswadu.Swali dogo tu,hivi kati ya ombaomba mwenye smartphone na ombaomba wenye kiswaswadu yupi utamsaidia?
Aweke simu bondi achukue mkopo au kama simu haitamaniki si bado anavyombo na nguo au?Na ndio maana ameomba msaa msaidie, ila ushauri sijui uza simu ufanye biashara Ni ushauri wa uongo kabisa kwasababu hata Hali ya simu hujaiona
Kwa Mjumbe wa nyumba 10 hapajui? Wazazi hana? Ndugu hana? Marafiki hana?Aweke simu bondi achukue mkopo au kama simu haitamaniki si bado anavyombo na nguo au?