Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Mi kazi ninazo jitihada zako tu kwa mwez unaeza toka na laki 5 ila uwe mwamba haswa si unakujua njombe huku wenye mbavu ndio wenye hela kama upon tayae ni pm huku mishe mingi za nguvu so kama kuna mwana jf kajiila na hajui hatima yake na anataka kujiua kisa hana hela tafathar njoo pm nikupe michongo utakuja nishukuru
tunakuja
 
Mi kazi ninazo jitihada zako tu kwa mwez unaeza toka na laki 5 ila uwe mwamba haswa si unakujua njombe huku wenye mbavu ndio wenye hela kama upon tayae ni pm huku mishe mingi za nguvu so kama kuna mwana jf kajiila na hajui hatima yake na anataka kujiua kisa hana hela tafathar njoo pm nikupe michongo utakuja nishukuru
Mods wanabadirisha badirisha heading tu Wewe Mama ulichukua zamu huko km Moderator acha umama huruma unabadirisha badirisha heading ili iweje unataka kufanya nini? Heading ya kwanza anasema Bora angekua Jela Muda huu angekua amekula means anataka chakula =mtego huo heading ya Pili mkaweka kwamba mwenye msaada wowote amsaidie mleta Mada na heading ya tatu mnasema mwenye kazi yoyote amsaidie mleta Mada, Mods mmetumwa au? Wewe Mama nyuma ya keyboard hapo unabadirisha heading kila mara umetumwa au umeagizwa?
 
Mkiona sijibu pm zenu namb yangu hiyi0743014032 mnicheki tu kikubwa mjizile kama mnakuja kutafuta pesa fanyen kinachowaleta mana huku staree kama ,,,,,,,mtajikuta mnaitafutia hela starehe bila kuwasahau wenye mitaji ambapo mnashindwa wp muwekeze achanen na biashara njoen niwape michongo ya pesa sio unaisubili laki mbili wiki nzima kwenye m2 zako so bora ule njoo nikupe connection upige hela
 
Mods wanabadirisha badirisha heading tu Wewe Mama ulichukua zamu huko km Moderator acha umama huruma unabadirisha badirisha heading ili iweje unataka kufanya nini? Heading ya kwanza anasema Bora angekua Jela Muda huu angekua amekula means anataka chakula =mtego huo heading ya Pili mkaweka kwamba mwenye msaada wowote amsaidie mleta Mada na heading ya tatu mnasema mwenye kazi yoyote amsaidie mleta Mada, Mods mmetumwa au? Wewe Mama nyuma ya keyboard hapo unabadirisha heading kila mara umetumwa au umeagizwa?
Unatafuta ban mkuu
 
BGQ2E020CT0 Imethibitishwa. Tsh6,000.00 imetumwa kwa TIPS-TIGOPESA kwenye akaunti namba 255711406248 tarehe 26/7/24 saa 1:40 PM Ada Jumla Tsh180.00 (M-Pesa Ada Tsh180.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako la M-Pesa ni Tsh16,236.50.
Umefanya chamaana sana mkuu, sio wengine wanamzodoa mdau badala ya kumsaidia
 
Mi kazi ninazo jitihada zako tu kwa mwez unaeza toka na laki 5 ila uwe mwamba haswa si unakujua njombe huku wenye mbavu ndio wenye hela kama upon tayae ni pm huku mishe mingi za nguvu so kama kuna mwana jf kajiila na hajui hatima yake na anataka kujiua kisa hana hela tafathar njoo pm nikupe michongo utakuja nishukuru
Hiyo michongo inawafaa wenye mabavu tuuu??
 
Back
Top Bottom