Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

nataman sana japo biashara cna uzoef nazo nmezoea tu unaitiw dil unapg jion unachkua chako unasep
Mkuu mimi nitakushauri biashara ambayo haihitaji mtaji iko hivi

Tafuta wakala wa mitandao(wale wanaodeal na usajili wa laini) mwambie akutengenezee code za usajili tigo, voda, halo na airtel

Ukitoka hapo atakupa na laini za kuanzia ingia mtaani komaa hela ya kula utapata humohumo na mwisho wa mwezi hukosi chochote

Kwa kuanza utaona sio kazi ila baada ya miezi 4 matunda utayaona kikubwa uwe muaminifu na usiendekeze tamaa nakutakia utekelezaji mwema
 
Buguruni sokoni pale ukibeba mzigo unapewa Hela nenda kafanye kazi acha kutuletea huruma yako ya kisanii hapa
Mkuu ulimchangia shngap? Ukahis umetapeliwa weka namba yako hapa na kias ulichotapeliwa nikurudishie...caz jamaa hakuomba pesa...kaomba kibarua...kwa nn umfanyie hivyo...weka kias nakurefund..sio kwa matusi hayo uliyo mtukana
 
Mkuu mimi nitakushauri biashara ambayo haihitaji mtaji iko hivi

Tafuta wakala wa mitandao(wale wanaodeal na usajili wa laini) mwambie akutengenezee code za usajili tigo, voda, halo na airtel

Ukitoka hapo atakupa na laini za kuanzia ingia mtaani komaa hela ya kula utapata humohumo na mwisho wa mwezi hukosi chochote

Kwa kuanza utaona sio kazi ila baada ya miezi 4 matunda utayaona kikubwa uwe muaminifu na usiendekeze tamaa nakutakia utekelezaji mwema
nashkur san
 
Mkuu mimi nitakushauri biashara ambayo haihitaji mtaji iko hivi

Tafuta wakala wa mitandao(wale wanaodeal na usajili wa laini) mwambie akutengenezee code za usajili tigo, voda, halo na airtel

Ukitoka hapo atakupa na laini za kuanzia ingia mtaani komaa hela ya kula utapata humohumo na mwisho wa mwezi hukosi chochote

Kwa kuanza utaona sio kazi ila baada ya miezi 4 matunda utayaona kikubwa uwe muaminifu na usiendekeze tamaa nakutakia utekelezaji mwema
Hii kazi watu wana idharau ila ina pesa sana hasa kwa halotel
 
We jama utakua unajua na kuelewa maisha, watu wengine wa nadhani ni masikhara kumbe jama ana njaa kabisa.
Kuna mtu ana ajira kabisa na kuna muda anakwama anakosa hata pesa ya kula,itakua huyo kijana ambae bado anajitqfuta, kuna watu wengine hawajawai lala njaa, kwa hiyo ukimwambia habari za njaa anakushangaa sana!!
 
Hawa watu wamegundua kwamba ukiingia JF unapata Pesa JF kuna watu wasiojielewa washaisoma JF ilivyo kwa Muda kwa hio anajua nikija na Gia fulani nikaweka Namba wadau wataweka Hela na umekua ni Mchezo, sijui unanielewa? Na humu watu walivyochotwa Akili wanajaza Hela tu stupid all of you ambao mmeweka Hela ni wajinga mnaweka Hela kabla ya kuhoji eti kisa mtu katiatia huruma?
Kwa hiyo unazani huyo dogo atatajirika kwa hiyo buku sita!?
 
Nenda hoteli yoyote agiza msosi wa maana ikiwezekana kuku mzima kula ukimaliza waambie nimedondosha hela utapewa vyombo uoshe hapo tayari unakua umepata msosi na kazi ila msosi ndo unatangulia
 
Kufa na njaa ni dhambi mkuu labda uwe jangwani ila upo mjini? We kula hoteli yoyote kunywa na juice na maji makubwa ukimaliza unajisachi unawaambia umedondosha wallet unapewa rundo la vyombo unaosha kiroho safi
nilikuwa sijafikia hatua ya kufa mkuu ila tu nlkuw najiulz bila kupata kibarua cha haraka na kesho c ndo hali hiihii
 
Back
Top Bottom