Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Mbona umerudi geto mapema sana kabla cku haijaisha mkuu,ungeelea kuzuga kitaa unaweza kutana hata na gari imekwama ukasukuma ukaambulia hata buku mbili...
Sio Gari kukwama tu Gari imekula pancha tajiri hataki kuchafuka akaita Vijana mpige kazi ya kubadiri tairi na Wewe ukiwemo kazi ikiisha unapewa 10 lako unarudi ghetto sio unakuja kujirahisisha JF Mabazazi kibao utakuja ufirwe
 
Shukran kwa wote mlionisaidia kwa pesa na ata mawazo japo bado sjapata wa kuniunganisha na kibarua bado ila nipende tu kusema lengo la uzi huu haikuwa kuomba msaada wa pesa samahan kwa wote niliowakwaza
 
Sio Gari kukwama tu Gari imekula pancha tajiri hataki kuchafuka akaita Vijana mpige kazi ya kubadiri tairi na Wewe ukiwemo kazi ikiisha unapewa 10 lako unarudi ghetto sio unakuja kujirahisisha JF Mabazazi kibao utakuja ufirwe
Acha ujinga kama huwezi kumsaidia mwenzako pita kulee. Kama hujawahi kupitia changamoto kama ya jamaa huwezi kuelewa🗣️
 
Shukran kwa wote mlionisaidia kwa pesa na ata mawazo japo bado sjapata wa kuniunganisha na kibarua bado ila nipende tu kusema lengo la uzi huu haikuwa kuomba msaada wa pesa samahan kwa wote niliowakwaza
Mkuu wamekupa chakula ili wakikufundisha uwasikilize kwahiyo usikimbie ushashiba kaa upate darsa la kujikwamua hela ya mtu inauma ukila uwe tayari kwa kila kitu

Kaa kwa kutulia
 
Acha ujinga kama huwezi kumsaidia mwenzako pita kulee. Kama hujawahi kupitia changamoto kama ya jamaa huwezi kuelewa🗣️
Kesho anarudi tena kuomba tena Hela utampa Wewe Baba yake? Kwanini hasemi ndugu zake walipo atoe hata Mawasiliano yao tuwahoji imekuaje?
 
BGQ2E020CT0 Imethibitishwa. Tsh6,000.00 imetumwa kwa TIPS-TIGOPESA kwenye akaunti namba 255711406248 tarehe 26/7/24 saa 1:40 PM Ada Jumla Tsh180.00 (M-Pesa Ada Tsh180.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako la M-Pesa ni Tsh16,236.50.
We jama utakua unajua na kuelewa maisha, watu wengine wa nadhani ni masikhara kumbe jama ana njaa kabisa.
 
Assalam Allaykum..
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni... Daaah maisha haya... Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB:Kuhusu bando natumia tunnel vpn
Mwamba kaongea kwa huruma sana. Ngoja mishe ikitiki ntakuchek hata na buku la karanga.for real!
 
Shukran kwa wote mlionisaidia kwa pesa na ata mawazo japo bado sjapata wa kuniunganisha na kibarua bado ila nipende tu kusema lengo la uzi huu haikuwa kuomba msaada wa pesa samahan kwa wote niliowakwaza
Kama unahitaji kibarua kweli nenda pale buguruni kiwanda cha unga cha Bhakressa kile kipo pale Tazara, jioni saa mbili uanze kazi.
 
Nimependa tu wadau walivyo na ushirikiano humu na walivyo serious binafsi nimeguswa na watoaji kwa moyo wao Mungu awaongezee

Na kuhusu huyo mchangiwaji kama kweli anadhihaki watu kama unavyosema ataishi kuwa omba omba milele kwani kuwa omba omba hakujawahi kuwa ni sifa au ni mtaji kuwa atakuwa tajiri
Hawa watu wamegundua kwamba ukiingia JF unapata Pesa JF kuna watu wasiojielewa washaisoma JF ilivyo kwa Muda kwa hio anajua nikija na Gia fulani nikaweka Namba wadau wataweka Hela na umekua ni Mchezo, sijui unanielewa? Na humu watu walivyochotwa Akili wanajaza Hela tu stupid all of you ambao mmeweka Hela ni wajinga mnaweka Hela kabla ya kuhoji eti kisa mtu katiatia huruma?
 
Mkuu post yako imenikumbusha mbali sana hadi mchozi umenitoka kama upo serious pambana tu utapata njia

hasa tafuta kibiashara acha kutafuta kibarua ukishika kibiashara ukakizoea huwezi kunyanyasika na pesa itakayo mfukoni kwa mtu
nataman sana japo biashara cna uzoef nazo nmezoea tu unaitiw dil unapg jion unachkua chako unasep
 
Back
Top Bottom