Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Umeshindwa hata kutongoza jishangazi likulee kwa muda mfupi?
Au hujui kuomba K na kudinya ipasavyo??
Au hujui kuomba K na kudinya ipasavyo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujitia Mama huruma Wewe hujawahi kutapeliwa mtandaoni ndio maanaWatu mna masimango eeeh
ata leo?Kama unahitaji kibarua kweli nenda pale buguruni kiwanda cha unga cha Bhakressa kile kipo pale Tazara, jioni saa mbili uanze kazi.
Niko Nzega ndani ndani huku from Chuga bado najitafuta ila usiwaze jombaa. Nishapitia ulipo sasa hiv. Najua vile life iko. Ila kikubwa pia usikate tamaa. Umenikumbusha kipnd cha msoto mkali.. ila bado nilikuwa na Cheka kumbe moyoni ni huzuni mitikasi wala deals hakuna. Imagine hata deal ya kupiga tofali nilikosa asee. Maisha,maisha ni fumbo kubwa. Jitie moyo mzeya. Hufi mkuuKama unamchongo wa kibarua chcht itapendeza zaid
Buguruni sokoni pale ukibeba mzigo unapewa Hela nenda kafanye kazi acha kutuletea huruma yako ya kisanii hapaata leo?
shukran sana jombaaNiko Nzega ndani ndani huku from Chuga bado najitafuta ila usiwaze jombaa. Nishapitia ulipo sasa hiv. Najua vile life iko. Ila kikubwa pia usikate tamaa. Umenikumbusha kipnd cha msoto mkali.. ila bado nilikuwa na Cheka kumbe moyoni ni huzuni mitikasi wala deals hakuna. Imagine hata deal ya kupiga tofali nilikosa asee. Maisha,maisha ni fumbo kubwa. Jitie moyo mzeya. Hufi mkuu
poaBuguruni sokoni pale ukibeba mzigo unapewa Hela nenda kafanye kazi acha kutuletea huruma yako ya kisanii hapa
Kama anataka starehe za bure akifirwa ni sawa.Wewe acha kujifanya mtu yule yule kwenye muonekano mwingine acheni ujinga vijana fanyeni kazi msipende Pesa za kitonga Chuga mwenzio Jana kafirwa Jana kwa kunywa bia za bure fanya kazi kijana acha kupenda mseleleko alafu ulivyo bwege unatumia majina ya kike?
Hahahh haso za life mkuu, wengine washapitia hizo haso kwaiyo anauvaa uhusikaHawa watu wamegundua kwamba ukiingia JF unapata Pesa JF kuna watu wasiojielewa washaisoma JF ilivyo kwa Muda kwa hio anajua nikija na Gia fulani nikaweka Namba wadau wataweka Hela na umekua ni Mchezo, sijui unanielewa? Na humu watu walivyochotwa Akili wanajaza Hela tu stupid all of you ambao mmeweka Hela ni wajinga mnaweka Hela kabla ya kuhoji eti kisa mtu katiatia huruma?
Ili kupata mtaji anapasw kukubali kushuka afanye hata vibarua. Ila kuna wkat hat vibarua vinakususa. But ipo siku tuu. Apambane . Ila mkuu tunamtoaje hapo tutani?Mkuu post yako imenikumbusha mbali sana hadi mchozi umenitoka kama upo serious pambana tu utapata njia
hasa tafuta kibiashara acha kutafuta kibarua ukishika kibiashara ukakizoea huwezi kunyanyasika na pesa itakayo mfukoni kwa mtu
Wewe nawe hujielewi kwa hio wale wadau wa Ile Hela tuma kwenye Namba hii wapo sahihi? Unataka kutuaminisha hivyo maana ndicho kinachofanyika hapa bila Wewe kujua unachofanya katika mtazamo mwingine Wewe Mama huruma umechotwa akili ngoja kuna kitu nitakuonyesha maana naona umegusa kitu ngoja nikufungue UBONGO wako uliofungwaKama anataka starehe za bure akifirwa ni sawa.
Jamaa kaomba msaada walioguswa wamemsaidia kama anatuongopea hio ni juu yake. Watu wametoa kama sadaka maana wanaelewa hio situation anayopitia jamaa.
Kama kuna mtu anafikiria kumlawiti mtu kisa 5000 huyo mtu maskini wa fikra sana.
Kama anaibia watu mwache aibe ila haya masimango mazito kisa afu 5 afu 3 yamepitiliza wakuu
Apite kwenye tanuri la moto akitoka atakuwa kakomaaIli kupata mtaji anapasw kukubali kushuka afanye hata vibarua. Ila kuna wkat hat vibarua vinakususa. But ipo siku tuu. Apambane . Ila mkuu tunamtoaje hapo tutani?
ndiyo maana yake nauli si unayo?ata leo?
ndiondiyo maana yake nauli si unayo?
Mambo ya tuma kwa namba hii yanakujaje mkuu?Wewe nawe hujielewi kwa hio wale wadau wa Ile Hela tuma kwenye Namba hii wapo sahihi? Unataka kutuaminisha hivyo maana ndicho kinachofanyika hapa bila Wewe kujua unachofanya katika mtazamo mwingine Wewe Mama huruma umechotwa akili ngoja kuna kitu nitakuonyesha maana naona umegusa kitu ngoja nikufungue UBONGO wako uliofungwa
Namshukuru Mungu kwa hiloIla mwamba ana nyota yaani uzi alioutoa unaposts kibao na watu wamemtumia hela.Atumie bahati yake vizuri
Na wala hakuomba😅 ameomba kazi jamaa wa watuIla mwamba ana nyota yaani uzi alioutoa unaposts kibao na watu wamemtumia hela.Atumie bahati yake vizuri
Bro plz acha maisha sio lelemama , unaweza hata ukalala njaa au ukafungwa kwa sh 20000 tu, uko kwenye kijiji aliko zaliwa baba yako na ndugu wote wapo, acha maisha hivo hivo.Kesho anarudi tena kuomba tena Hela utampa Wewe Baba yake? Kwanini hasemi ndugu zake walipo atoe hata Mawasiliano yao tuwahoji imekuaje?
Kwani msaada ni lazima!?, wwe kama umechoka kumsaidia, kuna wengine wanapenda kumsaidia, na wala kijana wa watu hajamlazimisha mtu kumchangia,yeye kaleta maombi yake tu,so the ball is in your hands bro! Wakati sisi tunapanga,na Mungu nae anapanga yake vile vile usisahau hilo!!Kesho anarudi tena kuomba tena Hela utampa Wewe Baba yake? Kwanini hasemi ndugu zake walipo atoe hata Mawasiliano yao tuwahoji imekuaje?