Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Mambo ya tuma kwa namba hii yanakujaje mkuu?
Akituchota akili kwa afu 5 sio kesi mzee! Mchane tu azidi kupambana afu 3 afu 5 nayo kitu cha kusimangana???!! Sema ukute mwenzetu we wakishua hujui msoto ndo mana unashangaa na unaona kila mtu tapeli
Acha kuchotwa Akili kijinga Wewe
Unamuona huyu?
img_2_1721999470101.jpg


Unajua amewatumia watu wangapi meseji km hio kwenye messenger?

Anachokofanya huyu Dada huko messenger ni km hiki kinachofanyika hapa Ila kwa namna tofauti subiri nakuletea na mwingine yupo WhatsApp

Wewe unaona 2000 n 5000 ni ndogo kwa kuiangalia juu sasa fanya iwe multiple yaan zidishi hio mara 100 let say unapata kiasi gani cha Pesa? Hapo ni kwa kadirio la chini sasa zidisha mara 1000 unapata faida kiasi gani? Hilo ni kadirio la chini pia sasa zidisha ×1,000,000 unapata Pesa kiasi gani?
 
Mi kazi ninazo jitihada zako tu kwa mwez unaeza toka na laki 5 ila uwe mwamba haswa si unakujua njombe huku wenye mbavu ndio wenye hela kama upon tayae ni pm huku mishe mingi za nguvu so kama kuna mwana jf kajiila na hajui hatima yake na anataka kujiua kisa hana hela tafathar njoo pm nikupe michongo utakuja nishukuru
 
Back
Top Bottom