Mbona hi sentence haitaji neno "inishaallah" au mimi ndo sielewi manaake.Inshaallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hi sentence haitaji neno "inishaallah" au mimi ndo sielewi manaake.Inshaallah
Yote kheriMbona hi sentence haitaji neno "inishaallah" au mimi ndo sielewi manaake.
ndioWatu hawapendi kuambiwa ukweli, kuna kazi ya kutembeza vyombo huku, vipi uko tayari?
Niko tayari mkuuWatu hawapendi kuambiwa ukweli, kuna kazi ya kutembeza vyombo huku, vipi uko tayari?
asante bado sijakata tamaaMkuu pole kwa changamoto unayopitia
lkn uskate tamaa.
Lini unataka uanze kazi, njoo pm nikupatie namba ya muhusikaNiko tayari mkuu
Acha kuchotwa Akili kijinga WeweMambo ya tuma kwa namba hii yanakujaje mkuu?
Akituchota akili kwa afu 5 sio kesi mzee! Mchane tu azidi kupambana afu 3 afu 5 nayo kitu cha kusimangana???!! Sema ukute mwenzetu we wakishua hujui msoto ndo mana unashangaa na unaona kila mtu tapeli
sawaLini unataka uanze kazi, njoo pm nikupatie namba ya muhusika
😂😂Acha kuchotwa Akili kijinga Wewe
Unamuona huyu?
View attachment 3052830
Unajua amewatumia watu wangapi meseji km hio kwenye messenger?
Pamoja sana kiongoziKama hauwezi kumsaidia piga chini mazee hii life unaweza ukawa na nauli ila hela ya kula hauna utamuuliza mtu kafikaje hapo hiyo pesa si angekula...maswali ya watoto wa kota haya..
Nimepata kitu kupitia huu uziPamoja sana kiongozi
Kupanga ni kuchagua
KongeleNimepata kitu kupitia huu uzi
asanteKongele
Fanya kazi hakuna kongole hapa fanya kazi mnataka Pesa za ubwete ubwete tu fanya kazi asiefanya kazi hata Kula asile muacheni afe njaaKongele
ndo hiyo kazi naitaka niifanyeFanya kazi hakuna kongole hapa fanya kazi mnataka Pesa za ubwete ubwete tu fanya kazi asiefanya kazi hata Kula asile muacheni afe njaa
Unacheka fanya kazi mwenzio huyo anaibia watu kwa visingizio vya kisengesenge na watu wamemshtukia alivyo Fala baada ya kuiba anaonyesha yupo viwanja anakula Bata Pesa za Wizi wa mtandaoni anazifuja kwenye starehe
🤔Fanya kazi hakuna kongole hapa fanya kazi mnataka Pesa za ubwete ubwete tu fanya kazi asiefanya kazi hata Kula asile muacheni afe njaa
Kazi ya kuombaomba kuona Bora ungeishi Jela ungekua umeshakula bure?ndo hiyo kazi naitaka niifanye