Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Utachanganya zege hadi lini?Asantenii sana nna elfu15 kwa sasa nna uhakika wa shibe hadi siku6 zijazo. Naamini mpaka wakati uo ntakuwa nimeitiwa ata kibarua cha zege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utachanganya zege hadi lini?Asantenii sana nna elfu15 kwa sasa nna uhakika wa shibe hadi siku6 zijazo. Naamini mpaka wakati uo ntakuwa nimeitiwa ata kibarua cha zege
Nimependa ushaur wakoUkianza biashara japo ndogo, ondowa kabisa mawazo ya "kujaribu" iwe kwenye nia yako kabisa kuwa hiyo ndiyo kazi yako kwa sasa na unafanya jitihada na ubunifu kuikuza kila kukicha.
Ukisema unajaribu, ni heri usiifanye kabisa.
hadi npate mtaji au fursa nyingineUtachanganya zege hadi lini?
Sidhani kama ni busara kuwaweka hao waliokutumia hapaAsantenii sana nna elfu15 kwa sasa nna uhakika wa shibe hadi siku6 zijazo. Naamini mpaka wakati uo ntakuwa nimeitiwa ata kibarua cha zege
Acha nitoeSidhani kama ni busara kuwaweka hao waliokutumia hapa
Sarafina Barton umekuja kwa njia nyingine? Hii Namba nyingine account nyingineNisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB:Kuhusu bando natumia tunnel vpn
Unazinguahahaha natumia vpn
umefananisha mkuuSarafina Barton umekuja kwa njia nyingine? Hii Namba nyingine account nyingine
Unazingua
Mtukane Bibi Chura udakwe ukatupwe msituni huku ukirudi Salama unalipwa na utaambiwa ulifanya drama ukajiteka fanya hivyo changamkia fursa hio Wewe Sarafina Barton natambua kwa sasa upo Moshi
umepiga ukaona hvo?Sarafina Barton umekuja kwa njia nyingine? Hii Namba nyingine account nyingine
Unazingua
Mtukane Bibi Chura udakwe ukatupwe msituni huku ukirudi Salama unalipwa na utaambiwa ulifanya drama ukajiteka fanya hivyo changamkia fursa hio Wewe Sarafina Barton natambua kwa sasa upo Moshi
Uzi wako wa mwanzo Mods walipoona tu waliufuta haraka sana wakijua hapa kuna wadau wanaenda kupigwa na kweli ikawa hivyo Namba uliyoweka imechokonolewa ukipiga inajikata yenyewe Wizi wa kimtandao huu Ile Pesa tuma kwenye Namba hii
Active Payge Bridger mpo YinYang na Wewe umeipa nguvu hii kitu? Maxence Melo inamaana hamuona kinachofanyika hapa?
Wewe acha kujifanya mtu yule yule kwenye muonekano mwingine acheni ujinga vijana fanyeni kazi msipende Pesa za kitonga Chuga mwenzio Jana kafirwa Jana kwa kunywa bia za bure fanya kazi kijana acha kupenda mseleleko alafu ulivyo bwege unatumia majina ya kike?umefananisha mkuu
Pambana mkuu siku uje uwasaidie na wengine leo umesaidiwa wewe ni jambo la kushukuruAcha nitoe
Huyu Jamaa atakuja tena leo sio mwisho wake leo atachukua next time anakuja na ID nyingine kuomba msaada the same person on another ID ushanielewa?Pambana mkuu siku uje uwasaidie na wengine leo umesaidiwa wewe ni jambo la kushukuru
Nakushauri ukipata mtu wa kukushika mkono jitumikishe hata kama ni kwa kujitolea bado naamini watu hao humu wapo
Acha hizo gia mkuu weka nawe namba yako tukutumie hela ,don't go around the bushDaaah kumbe mtaani siteseki mwenyewe
pia mm nimeomba kibarua sio pesaSarafina Barton umekuja kwa njia nyingine? Hii Namba nyingine account nyingine
Unazingua
Mtukane Bibi Chura udakwe ukatupwe msituni huku ukirudi Salama unalipwa na utaambiwa ulifanya drama ukajiteka fanya hivyo changamkia fursa hio Wewe Sarafina Barton natambua kwa sasa upo Moshi
Uzi wako wa mwanzo Mods walipoona tu waliufuta haraka sana wakijua hapa kuna wadau wanaenda kupigwa na kweli ikawa hivyo Namba uliyoweka imechokonolewa ukipiga inajikata yenyewe Wizi wa kimtandao huu Ile Pesa tuma kwenye Namba hii
Active Payge Bridger mpo YinYang na Wewe umeipa nguvu hii kitu? Maxence Melo inamaana hamuona kinachofanyika hapa?
sijaomba pesa mm nimeomba kibarua ni vile tu watu wameguswaHuyu Jamaa atakuja tena leo sio mwisho wake leo atachukua next time anakuja na ID nyingine kuomba msaada
Uko wapi mkuu?umepiga ukaona hvo?
Waambie vijana wafanye kazi waache kujifanyafanya wanatia huruma mwisho wataishia kufirwaAcha hizo gia mkuu weka nawe namba yako tukutumie hela ,don't go around the bush
mbagalaUko wapi mkuu?
Kama ni dar sehemu gani ?....kuna kitu ntakuambia ukujibu hayo m,aswali
Yaani wwe unataka kila kijana atembeze kahawa kama wwe!!Imagine simu angeuza kwa lakhi moja .Angechukua 24000 anunue kiswaswadu then iliyobaki angefanyia biashara
Haupo Mbagara Wewe usiwachezee watu Akili humumbagala