Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Ukijiona inafikia mpaka unakosa kula, basi wakati ambao hauna matatizo, jipangie siku japo moja kwa wiki uwe unafunga.

Kukosa kula, ni system ya maisha yako ina "auto flush" sumu mwilini mwako. Jambo la kawaida hilo, unaweza kuwa hata una pesa lakini ukashindwa kula. Ondowa hofu. Kunywa maji mengi.
Nilikuwa nakesha kwenye ule uzi wa ajira za polis sasa baada ya kupigwa chini ndo matumain yameisha
 
Assalam Allaykum..
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni... Daaah maisha haya... Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB:Kuhusu bando natumia tunnel vpn
Pole mkuu...kulikuwa na swali ila nimeona NB limejibika
 
Biashara siyo rahisi hivyo Kama unavyofikiria
Kama 80000 ni ndogo angeweka simu bondi alaf angekopa au angeazima ata 500,000kutoka kwa watu wa karibu alaf afanye biashara.
KWENYE MATATIZO UNATAKIWA UFIKIRI NJE YA BOX MAANA HAPO NDIPO.MAFANIKIO YANAPOKUJA
 
Kazi zipo nyingi tatizo tunabagua kazi, nenda kwa mama ntilie alie katibu na hapo ulipo, msaidie kuosha vyombo utapata ata ukoko. Tuache tabia za kuomba omba hela.
Omba kazi.
 
Back
Top Bottom