jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Atachangiwa pesa ya fine lakini si pesa ya kula, watanzania unawajua au unawasikia!? Pesa ya matibabu hawachangi,lakini pesa ya msiba michango inatoka ya kumwaga!!Anza kuongea madhaifu ya maza watakutia ndani tu