Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye amesema anakabiliwa na shida ya chakula, tena kwa saa hizi(Mchana huu)Natumaini anatumia simu ya kijanja yenye bei ya kuanzia lakhi 2 sasa akiuza hiyo simu hauoni atapata mtaji mzuri wa kufanyia biashara
nipo Dar, mbagala muhitimu chuo mwaka2022Wa Alaikum Salaam.
Nahisi njia unazotumia kutafuta vibarua siyo sahihi, unahitaji kuelekezwa.
Tuanzie hapa, unaishi wapi na una elimu ipi?
Sasa tukimtumia hela ataomba tena siku zijazo sasa si bora tumpe wazo la kufanya biashara itakayomsaidia siku zijazoYeye amesema anakabiliwa na shida ya chakula, tena kwa saa hizi(Mchana huu)
Kwa maisha ya sasa usimshangae mtu kusema hana hela eti kisa anasimu, simu tena janja ina umuhumu sana ndugu! Kuna siku utamshangaa mtu nadhifu na mtanashati anaomba umsaidie japo 1000 ya kununua dawa! Jinsi ulivyobarikiwa wewe ni tofauti na wengine walivyoNatumaini anatumia simu ya kijanja yenye bei ya kuanzia lakhi 2 sasa akiuza hiyo simu hauoni atapata mtaji mzuri wa kufanyia biashara
natumia smart ila ilivyochakaa ukitoa sana ni 50Natumaini anatumia simu ya kijanja yenye bei ya kuanzia lakhi 2 sasa akiuza hiyo simu hauoni atapata mtaji mzuri wa kufanyia biashara
Kwa maisha ya sasa usimshangae mtu kusema hana hela eti kisa anasimu, simu tena janja ina umuhumu sana ndugu! Kuna siku utamshangaa mtu nadhifu na mtanashati anaomba umsaidie japo 1000 ya kununua dawa! Jinsi ulivyobarikiwa wewe ni tofauti na wengine walivyo
Kabisa mkuuKwa maisha ya sasa usimshangae mtu kusema hana hela eti kisa anasimu, simu tena janja ina umuhumu sana ndugu! Kuna siku utamshangaa mtu nadhifu na mtanashati anaomba umsaidie japo 1000 ya kununua dawa! Jinsi ulivyobarikiwa wewe ni tofauti na wengine walivyo
Ulikuwa unatafuta "vibarua" aina ipi? Chuo umesomea nini?nipo Dar, mbagala muhitimu chuo mwaka2022
Haha ni wazo tu ila siwez kupataman kwan nina ndoto nyingi badoJela sio kuzuri mkuu
Pia ingekua ushaliwa.Assalam Allaykum..
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni... Daaah maisha haya... Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB:Kuhusu bando natumia tunnel vpn
nilipata kibarua maeneo ya dar itapendeza zaidiSasa tukimtumia hela ataomba tena siku zijazo sasa si bora tumpe wazo la kufanya biashara itakayomsaidia siku zijazo
Uza simu upate mtaji
Kibarua chochote, nimesoma logistics&transportUlikuwa unatafuta "vibarua" aina ipi? Chuo umesomea nini?
Kwahio kuwa na simu ni bora kuliko kuwa na njaaHivi kuuza simu ndo suluhisho la matatizo?
Hii comment huwa inanichekeshaga Sana mtu akija kuomba msaada humu..
Sasa hivi unaishi na nani na umeshawahi kufanya kibarua chochote? Kama ndiyo, kipi?Kibarua chochote, nimesoma logistics&transport
nafanyaga vya ujenzi naishi geto mwenyew kwasasSasa hivi unaishi na nani na umeshawahi kufanya kibarua chochote? Kama ndiyo, kipi?