Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Pambana sana aiseeMtoto alipo huko(kwa bibi ake) anakula bila tatzo namm ntaendelea kumkumbuka kwa chochote kitu pale nnapobarikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambana sana aiseeMtoto alipo huko(kwa bibi ake) anakula bila tatzo namm ntaendelea kumkumbuka kwa chochote kitu pale nnapobarikiwa
Ni maombi yangu Mungu akumbuke sala zako na kujibu maombi yako
hakuna kinachoshindikanapenye niaOooh unaweza kukimbia na Tv nchi60 bila kuanguka😐
sawa mkuuPambana sana aisee
Siku hizi viwango vya gharama za kutuma hela viko sawa,vinalingana hata kama unatuma pesa mitandao mingine kwahiyo kama una nia ya kumsaidia mrushie kwenye namba hiyohiyo muhimu muulize kasajili tigopesa kwa jina gani.Pole mkuu. Nipe na. yako ya Airtel money nikurushie walau jero. Ila mm niko huku umasaini ndani ndani huku nasubiria ugali (Ngurumaa') na maziwa ya mgando(Ku'le") -karibu sana.
ZoteNyama zipi Natural au artificial 🤨
Ni PM NikujeZote
Ungekuwa ushakula ,,ila ujue utakuwa umekula nini zaidi ya kipondo kitakatifu jela pasikie tu halafu hata kutamaniAssalam Allaykum..
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni... Daaah maisha haya... Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB:Kuhusu bando natumia tunnel vpn
Amesema anatumia tunnel VPNIla unahela ya bando
Nimeziona wakuu mbarikiweAlftano umeziona nadhani.
Mkuu hizo hela ulizopata natumaini utenda kuzizungusha sitapenda kuona unaomba tena helaNimeziona wakuu mbarikiwe
Usijali mkuuMkuu hizo hela ulizopata natumaini utenda kuzizungusha sitapenda kuona unaomba tena hela
KaribuNikaribishe Mimi
Kumbe!! shukran kwa hiloUkijiona inafikia mpaka unakosa kula, basi wakati ambao hauna matatizo, jipangie siku japo moja kwa wiki uwe unafunga.
Kukosa kula, ni system ya maisha yako ina "auto flush" sumu mwilini mwako. Jambo la kawaida hilo, unaweza kuwa hata una pesa lakini ukashindwa kula. Ondowa hofu. Kunywa maji mengi.
Simu inamsaidia kuwasiliana na jamii, angeuza tungejuaje changamoto zake?Uza simu upate mtaji
Amina mkuu kukosa pesa sku moja au mbil sio tatzo tatz ni kukosa mpango wa kuingiza hiyo elaMkuu kulala njaa siku moja au mbili haijufanyi ukate roho bado utaishi, tafuta mbadala siku ya leo huku ukiomba rehma ya mola mlezi akupe riziki. Amiin.
Imagine simu angeuza kwa lakhi moja .Angechukua 24000 anunue kiswaswadu then iliyobaki angefanyia biasharaSimu inamsaidia kuwasiliana na jamii, angeuza tungejuaje changamoto zake?