Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Home boy kabisa few days kama hali bado itaendelea kuwa tight naweza kukutumia Mteni hivi Leo niko hovyo. Alafu tutaona masuala mengine.zakhem hapa nimesoma logistics&transport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Home boy kabisa few days kama hali bado itaendelea kuwa tight naweza kukutumia Mteni hivi Leo niko hovyo. Alafu tutaona masuala mengine.zakhem hapa nimesoma logistics&transport
Sio mbaya sana Mungu anabariki ila nikipata ishu ya uhakika itakuwa gud zaidHome boy kabisa few days kama hali bado itaendelea kuwa tight naweza kukutumia Mteni hivi Leo niko hovyo. Alafu tutaona masuala mengine.
Hivi munaondikaga hivi hua watoto wa GSM au mnajitoa akili tu.Kama 80000 ni ndogo angeweka simu bondi alaf angekopa au angeazima ata 500,000kutoka kwa watu wa karibu alaf afanye biashara.
KWENYE MATATIZO UNATAKIWA UFIKIRI NJE YA BOX MAANA HAPO NDIPO.MAFANIKIO YANAPOKUJA
Kama unajikomiti kumsaidia akutumie inbox. Awake hapa kwa nn?Weka hapa nimekwambia
Jamaa ushauri wake unamake sense howeverTuwe tunatoa ushauri ambao ni realistic,
Kaongea kinadharia zaidi, mikopo ya mitandaoni unakuta ni kampuni moja inatumia majina tofauti kwaiyo katika app 5 utazojaribu unaweza kupewa sehemu moja tu na wanaanza kwa kima cha chini ambacho ni elfu 5 mpak 20 hivi. Hauwezi kupata laki 3 uko.Jamaa ushauri wake unamake sense however
Mm mkuu nimechukua temeria kupitia senteyo elfu 60 ila hiyo riba yake unawez kulia. Mana ukichukua elfu 13 tu unalipa elfu 20. Serikali iingilie katiKaongea kinadharia zaidi, mikopo ya mitandaoni unakuta ni kampuni moja inatumia majina tofauti kwaiyo katika app 5 utazojaribu unaweza kupewa sehemu moja tu na wanaanza kwa kima cha chini ambacho ni elfu 5 mpak 20 hivi. Hauwezi kupata laki 3 uko.
Uko Karume ukiwahi afrajiri mtiti wake sio wa kitoto. Jamaa kaandika kinadharia zaidi nina uhakika hata yeye mwenyewe hajawahi kufanya alivhokiandika
Kwenye riba inaumiza sana iyo mikopo. Nilikua nachukua zamani kipindi kile cha tala, tangu tala walovyofunga biashara zao bongo sijawahi kujishughulisha nayo iyo mikopoMm mkuu nimechukua temeria kupitia senteyo elfu 60 ila hiyo riba yake unawez kulia. Mana ukichukua elfu 13 tu unalipa elfu 20. Serikali iingilie kati
😂😂karibuni nipate rizkiToa elimu ya tunnel vpn kwa 2000 kwa kila anaetaka aje PM
Mike check one two..Anza kuongea madhaifu ya maza watakutia ndani tu
Hawa ni watoto wa GSm Na Bharesa 🤣🤣 hawauelewi mtaa wala msoto! Unakuta circle yako ya ndugu na jamaa hamna wa kukupa hio laki 5 wala mia5Hivi munaondikaga hivi hua watoto wa GSM au mnajitoa akili tu.
Nani unamuazima 500,000 mtaani alafu unaandika kabisa kiwaza nje ya Box.🚮🚮
Ukiwa na aibu utaabika kweli Ila ukiitoa aibu kwa siku 20k ukosi Ila siwezi omba ela ya kula Kama mzima siumwi popote.toa aibu upate pesa ya kujikimu kila siku kwa Uhuru wako acha na vibaruaAssalam Allaykum,
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni.
Daaah maisha haya. Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB: Kuhusu bando natumia tunnel vpn
kivipiUkiwa na aibu utaabika kweli Ila ukiitoa aibu kwa siku 20k ukosi Ila siwezi omba ela ya kula Kama mzima siumwi popote.toa aibu upate pesa ya kujikimu kila siku kwa Uhuru wako acha na vibarua
Naomba kazi mkuuKuna wakati fulani nilijifunza ili mwanaume uishi maisha mazuri kuna mambo mawili baba yake aliteseka sana kujenga kesho yake na yako au wewe mwenyewe uteseke sana tena sana,nasema hivi kuna kipindi nilikula msoto mpaka nikajisemea kwanini nilikuja duniani na baada ya miaka kadhaa ule msoto uliisha kwa sasa si haba lundo la maokoto halikauki kwenye kibubu.
This is very misleadingAnza kuongea madhaifu ya maza watakutia ndani tu
Kazi gani wakati anawaonea wivu walioko jelaThis is very misleading
Kijana anataka kazi
ewe unampa siasa
Not fair
wameongeza ujira?Kama una nguvu za mwanaume nenda kwenye kiwanda cha Bakhersea 15 perday unaondoka nayo,