Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
inategemea na nani ulimkuta kwenye game ya kuuza karangaJuzi nimelala mchana, alafu nikaota alimanusura nigongwe na pikipipki. Pikiki ilifunga breki ikiwa inaendeshwa na mzee wa makamu. Ilifunga breki alafu yule mzee akaniuliza huoni?
Muda mwingi nahisi kukata tamaa na kuona kama nahitaji kufa.
Kumbe hata kuuza kangala tu mtu unarogwa?
Mimi siuzi karangainategemea na nani ulimkuta kwenye game ya kuuza karanga
We acha kuamini uchawi kama mimi zamaniKuamini uchawi ni ulimbukeni. Hilo ndiyo tatizo unalotakiwa kupambana nalo kwanza.
"Usimuache mwanamke mchawi akaishi"Maagizo ya Musa akipewa na Mungu kitabu Cha kutoka!!Juzi nimelala mchana, alafu nikaota alimanusura nigongwe na pikipipki. Pikiki ilifunga breki ikiwa inaendeshwa na mzee wa makamu. Ilifunga breki alafu yule mzee akaniuliza huoni?
Muda mwingi nahisi kukata tamaa na kuona kama nahitaji kufa.
Kumbe hata kuuza kangala tu mtu unarogwa?
Lazima nioge"Usimuache mwanamke mchawi akaishi"Maagizo ya Musa akipewa na Mungu kitabu Cha kutoka!!
Usilale bila kumuomba mungu hata ukishtuka usiku was manane nenda kamwambie unavojisikia!!
Nasikia maji chumvi yanasaidia hasa chumvi ya mawe ukiiogea jaribu!!
Kwahiyo ahakuwa karogwa mkewe?"Usimuache mwanamke mchawi akaishi"Maagizo ya Musa akipewa na Mungu kitabu Cha kutoka!!
Usilale bila kumuomba mungu hata ukishtuka usiku was manane nenda kamwambie unavojisikia!!
Nasikia maji chumvi yanasaidia hasa chumvi ya mawe ukiiogea jaribu!!
Kwahiyo atakuwa karogwa na mkewe?"Usimuache mwanamke mchawi akaishi"Maagizo ya Musa akipewa na Mungu kitabu Cha kutoka!!
Usilale bila kumuomba mungu hata ukishtuka usiku was manane nenda kamwambie unavojisikia!!
Nasikia maji chumvi yanasaidia hasa chumvi ya mawe ukiiogea jaribu!!
Nitaishije?Acha kuuza kangala
Namaanisha uchawi upo!Kwahiyo atakuwa karogwa na mkewe?
We itakuwa ni mchawi , wachawi hawaamini uchawi ila wanatumia kuumiza watuKuamini uchawi ni ulimbukeni. Hilo ndiyo tatizo unalotakiwa kupambana nalo kwanza.
Umeota ndoto mbaya kutokana na fikra zako mbaya mwenyewe...dreams are a product of the mind...haujarogwa na usimsingizie mtu...if it is so serious tafuta wataalamu wa afya ya akiliJuzi nimelala mchana, alafu nikaota alimanusura nigongwe na pikipipki. Pikiki ilifunga breki ikiwa inaendeshwa na mzee wa makamu. Ilifunga breki alafu yule mzee akaniuliza huoni?
Muda mwingi nahisi kukata tamaa na kuona kama nahitaji kufa.
Kumbe hata kuuza kangala tu mtu unarogwa?
Achana na mimiUmeota ndoto mbaya kutokana na fikra zako mbaya mwenyewe...dreams are a product of the mind...haujarogwa na usimsingizie mtu...if it is so serious tafuta wataalamu wa afya ya akili
Kwani wazungu hawarogi?Mkipewa msaada mnakimbilia ushirikina ndo maana wenzetu wataendelea kutuacha