Ndugu zangu ninarogwa sana. Mniombee pia hata kama mbinu za asili mnazo mnisaidie kisirisiri upo mlipo

Ndugu zangu ninarogwa sana. Mniombee pia hata kama mbinu za asili mnazo mnisaidie kisirisiri upo mlipo

20230928_200815.jpg
 
Juzi nimelala mchana, alafu nikaota alimanusura nigongwe na pikipipki. Pikiki ilifunga breki ikiwa inaendeshwa na mzee wa makamu. Ilifunga breki alafu yule mzee akaniuliza huoni?

Muda mwingi nahisi kukata tamaa na kuona kama nahitaji kufa.

Kumbe hata kuuza kangala tu mtu unarogwa?
inategemea na nani ulimkuta kwenye game ya kuuza karanga
 
Juzi nimelala mchana, alafu nikaota alimanusura nigongwe na pikipipki. Pikiki ilifunga breki ikiwa inaendeshwa na mzee wa makamu. Ilifunga breki alafu yule mzee akaniuliza huoni?

Muda mwingi nahisi kukata tamaa na kuona kama nahitaji kufa.

Kumbe hata kuuza kangala tu mtu unarogwa?
"Usimuache mwanamke mchawi akaishi"Maagizo ya Musa akipewa na Mungu kitabu Cha kutoka!!

Usilale bila kumuomba mungu hata ukishtuka usiku was manane nenda kamwambie unavojisikia!!

Nasikia maji chumvi yanasaidia hasa chumvi ya mawe ukiiogea jaribu!!
 
Juzi nimelala mchana, alafu nikaota alimanusura nigongwe na pikipipki. Pikiki ilifunga breki ikiwa inaendeshwa na mzee wa makamu. Ilifunga breki alafu yule mzee akaniuliza huoni?

Muda mwingi nahisi kukata tamaa na kuona kama nahitaji kufa.

Kumbe hata kuuza kangala tu mtu unarogwa?
Umeota ndoto mbaya kutokana na fikra zako mbaya mwenyewe...dreams are a product of the mind...haujarogwa na usimsingizie mtu...if it is so serious tafuta wataalamu wa afya ya akili
 
Back
Top Bottom