Ndugu zangu ninarogwa sana. Mniombee pia hata kama mbinu za asili mnazo mnisaidie kisirisiri upo mlipo

Ndugu zangu ninarogwa sana. Mniombee pia hata kama mbinu za asili mnazo mnisaidie kisirisiri upo mlipo

D Kangala ni pombe ya kienyeji inayotengenezwa Kwa kutumia asali inayotengenezwa na nyuki!!
 
Juzi nimelala mchana, alafu nikaota alimanusura nigongwe na pikipipki. Pikiki ilifunga breki ikiwa inaendeshwa na mzee wa makamu. Ilifunga breki alafu yule mzee akaniuliza huoni?

Muda mwingi nahisi kukata tamaa na kuona kama nahitaji kufa.

Kumbe hata kuuza kangala tu mtu unarogwa?
Hii sikukuu mmeshalewa mnakuja kumalizia ulevi wenu humu.
 
Juzi nimelala mchana, alafu nikaota alimanusura nigongwe na pikipipki. Pikiki ilifunga breki ikiwa inaendeshwa na mzee wa makamu. Ilifunga breki alafu yule mzee akaniuliza huoni?

Muda mwingi nahisi kukata tamaa na kuona kama nahitaji kufa.

Kumbe hata kuuza kangala tu mtu unarogwa?
Punguza unywaji wa kangara!

Sifa kuu za pombe aina ya kangara;

•✓Inapunguza nguvu za kiume!

•✓Inapunguza, ama kuondoa kabisa uwezo wa kufikiri!
 
Juzi nimelala mchana, alafu nikaota alimanusura nigongwe na pikipipki. Pikiki ilifunga breki ikiwa inaendeshwa na mzee wa makamu. Ilifunga breki alafu yule mzee akaniuliza huoni?

Muda mwingi nahisi kukata tamaa na kuona kama nahitaji kufa.

Kumbe hata kuuza kangala tu mtu unarogwa?
Hiv watu wenye hela huwa hawalogwi? Naona tunalogwa sisi.
 
Mi napenda kukuombea. Ila sijawahi kumuombea mtu. Sijui nianze vipi.
I will think of something.
Lakini usually mtu anaombewa kwa jina lake halisi.Lakini in this case nadhani 'Muuza Kangala' inatosha.
 
Back
Top Bottom