Ndugu zangu, nipeni neno la faraja

Ndugu zangu, nipeni neno la faraja

Anxiety disorder nimepigana nayo mwaka mzima ndugu yangu. Mwanzo nilianza kupata hali za kutokujiamini, nikawa naogopa vitu nisivyovijua, mwisho nikaanza kupata panick attacks, mwanzo nilihisi ni shambulio la moyo, ila madaktari walivyoona ule mfadhaiko, increased heart rate, kukosa pumzi na kutokutulia ndio wakaniambia tatizo ni stress. Ni hali za muda mchache ila ni ngumu, maana unaona kabisa hapa nakufa. Nimejitahidi kucope na hali ila panic hainiachi. Inanitishia kila mara kiasi nayo imekuwa sehemu ya stress.
Shida ilianzia wapi,yani hilo tatizo
 
demu anapitia wakati mgumu sana anapoachwa na 'sponyoa'
 
Anxiety disorder nimepigana nayo mwaka mzima ndugu yangu. Mwanzo nilianza kupata hali za kutokujiamini, nikawa naogopa vitu nisivyovijua, mwisho nikaanza kupata panick attacks, mwanzo nilihisi ni shambulio la moyo, ila madaktari walivyoona ule mfadhaiko, increased heart rate, kukosa pumzi na kutokutulia ndio wakaniambia tatizo ni stress. Ni hali za muda mchache ila ni ngumu, maana unaona kabisa hapa nakufa. Nimejitahidi kucope na hali ila panic hainiachi. Inanitishia kila mara kiasi nayo imekuwa sehemu ya stress.
Nimewahi kupitia hali hii in 2009.
Inatesa sana
 
Endelea kujichimbia kaburi! Af mnampaje ushaur mtu ambaye hajasema tatizo lake mwacheni aendelee kubugia madawa🤧
 
Pole sana dada yangu.. Matatizo ni sehemu ya maisha ya kila binadamu hapa duniani, usije ukajiona kama vile wewe pekee wapitia hayo, hapana.

Usiziendekeze stress yapokee matatizo yako, kubaliana nayo tu then tafuta namna ya kuyatatua. Ongea na watu unaowaamini, kaa na watu wanaokupa faraja usiwe mtu wa kukaa pekeako mda mwingi.

I pray for you [emoji120]
That's so encouraging
 
There is nothing in this world that can trouble you as much as your own thoughts!!

Pole sana ; imewahi kunitokea miaka mi3 iliyopita kwakweli kidogo niandike wosia, ilinitokea baada ya kuwa depressed,ikanifanya nikapata anxiety disorder nilipigana vita vikuu mno niliwahi kuona maisha hayana maana maana ila Mungu ni mwema nilishinda japo ni ngumu sana kujishinda ila naamini utakua sawa itabaki story, vipindi kama hivyo vipo kwenye maisha na vinatupitia wengi sana!! tambua hauko peke yako mkuu
Kimalkia first class 🤗🤗
 
Back
Top Bottom