Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Jambo nyingi nyingi.Marhabaa...jambo?
Aiseee, ndio imekuwaje sasa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo nyingi nyingi.Marhabaa...jambo?
Naomba unitafute basi...muda wowote ukiwa na nafasiJambo nyingi nyingi.
Aiseee, ndio imekuwaje sasa???
I will today.Naomba unitafute basi...muda wowote ukiwa na nafasi
Sawa rafikiI will today.
In shaa Allah
[emoji23][emoji23][emoji23] Hakii nipe nyumba Yangu we babaKimalkia first class [emoji847][emoji847]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] Hakii nipe nyumba Yangu we baba
Dunia haina huruma Hakya-Mungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba nlikuahidi nyumba??
Naahidi kukutafuta PM kila mara nipatapo nafasi kukujulia haliNdugu zangu, nimekuwa kwenye stress za muda mrefu kiasi cha kupata panick attacks mara kwa. Nimekuwa mtu wa kunywa antidepressants sasa.
Naombeni mnipe neno la faraja angalau nione kuwa dunia bado ina watu wema.
Niache hebu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dunia haina huruma Hakya-Mungu
Tuseme umesahau[emoji23][emoji23]????
Kwanza tuambie source la stress zako. Maana bila kujua hilo hatuwezi kukusaidiaNdugu zangu, nimekuwa kwenye stress za muda mrefu kiasi cha kupata panick attacks mara kwa. Nimekuwa mtu wa kunywa antidepressants sasa.
Naombeni mnipe neno la faraja angalau nione kuwa dunia bado ina watu wema.
Afadhali umefunga uitimize ahadi uliotoa Mwenyezi anakuonaNiache hebu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza nimefunga mimi shauri yako
True. Was just judging from excerpt zake.Bestyyyy pengine ana tatizo zaidi ya hilo
Kwa kweli sijawahi ahidi mtu mambo hayoAfadhali umefunga uitimize ahadi uliotoa Mwenyezi anakuona
[emoji23]
sawasawa[emoji23]Kwa kweli sijawahi ahidi mtu mambo hayo
Ipo ndio.ukiihold hiyo button ya thanks for a second inakuja na machaguzi.👇Kwani jf siku hizi wameweka diclike button?
Kumbeee. Huu ushamba huuIpo ndio.ukiihold hiyo button ya thanks for a second inakuja na machaguzi.[emoji116]View attachment 1770850
Wala sio ushamba Chief relaxKumbeee. Huu ushamba huu