Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Nyani wana akili zaidi kuliko wewe.Wewe sio mtu ni nyani Sasa utasikilizaje redio
Au utabadili mada useme mimi ni simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyani wana akili zaidi kuliko wewe.Wewe sio mtu ni nyani Sasa utasikilizaje redio
Nyani wanapenda sana kulalamika hawatendewi hakiNyani wana akili zaidi kuliko wewe
Kila mwaka wasikilizaji wa radio Maria huwa wanachangia zaidi ya bilioni 2.Umesemaje wewe?hii ni maajabu!!!
Radio Maria mwaka jana wasikilizaji wake waliichangia zaidi ya 700mill ajabu ktk waliokuwa wanachanga wapo wenye majina ya kiislam leo unasema haina wasikilizaji?
Kijana changia pesa TV imaan isimame haya unayoandika tushayazoea kwa wavaa kobazi... hebu tunzeni vya kwenu kuliko kulalamika lalamika utumbo.... hiyo TV inajifia nyie mpo tu.... Toa pesa kwa TV yenu we kobaziSisi sio kama wale waabudu sanamu la mzungu. Wao bila hela hawasamehewi madhambi na Baba mchungaji.
Sisi kila sehemu yetu inayohusu UISLAMU tunajitolea moja kwa moja bila kutegemea malipo kwa kumbe yyt.
Nyie mnazini na kuiba Mali za Ummah wiki nzima kisha mnakwenda kudanganywa ati mmesamehewa madhambi yote kwa shs elf 5.
Mchungaji akitoka hapo kwenye maombi anakamata mwana kondoo mmoja anaenda kumtoa Pepo guest house na Kula bata kwa Raha zake
Ugalatia NI hatari kuliko saratani
Wavaa kobazi hamnaga akili ndo maana mnapigania mambo ya kipumbavu na kuacha mambo ya maana. Changia TV imaan acha blah blahMIL 700 zinaweza kuchangiwa na hata watu 2.
Hivyo kuhusu idadi ya wasikilizaji bado hujasema kitu hapo.
Na kama waliochangia walikuwa 10 na mmoja aitwaye Juma akachangia shi.1000 basi huyo alipatwa na huruma tu na akaamua asilipite hilo bakuli bila kutia chochote
Kahtaan Salaam....We kam mkeo amekushinda nipe namba yake nimlee bure.
Mnashindwa kuwazuia wale manabii wanaowapiga mimba watoto wenu WA kike mnarukia TV ya wavaa kobazi? 😂
Ukafiri mzigo mkubwa sana
Tumekurubia jamviniKahtaan Salaam....
weka namba zao za simu kwa hapa,Naam ndugu zangu katika Imaan.
TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.
Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Hela zao hazieleweki zimetokana na nini, Dhulma au uharamu mwingineHivi Hapa Tanzania Ukitaja Top 10 Ya Matajiri Si Wa Islam , Sasa Kwanini Wasipige Donei Kukupiga Tafu Kituo Cha Iman Tv
Umepofushwa na stories fake za mfumo kristo zilizoletwa na akina Moh Said na marehemu Ilunga.System haiendeshwi na robot.Ni wafanyakazi ambao wengi wao ni wakristo.Wana uwezo wa kuwapendelea watu wao na kuwazamisha waislamu.
Ili kosa liitwe kosa au kodi itolewe control number inapitia hatua nyingi za maamuzi.Usipokuwa na mtu wako TRA kila tatizo lako litatolewa hizo namba mpaka utazama kwani hutaweza kulipa.
Nadhani sio sahihi, historia Inaonesha wenzetu wamejikita kwenye biashara tangu na tangu.Hela zao hazieleweki zimetokana na nini, Dhulma au uharamu mwingine
Hao manabii wasingelikuwepo basi Bible ingelikuwa kitabu cha uongo.We kam mkeo amekushinda nipe namba yake nimlee bure.
Mnashindwa kuwazuia wale manabii wanaowapiga mimba watoto wenu WA kike mnarukia TV ya wavaa kobazi? 😂
Ukafiri mzigo mkubwa sana
Wazo zuri sana hiliNashauri hii TV IMAN Azam aichukue ili maudhui yote ya dini ya kiislam yaliyopo ZBC2 ahamishir Tv ya mrengo wa kidini ya TV IMAN na ZBC 2 iwe ya michezo tuu.. Sasa watu wanalipia vingamuzi ili waone michezo kupitia hiyo channel wanaanza kuhubiriwa dini. Dini ni nzuri ikihubiriwa sehemu sahihi ili Kila anaueifuatilia afungue channel husika. Mimi ni mpenzi wa riadha siwezi kusahau siku Watanzania wanaokimbia kwenye Olympic na walishatuambia kuwa wataonyesha live ZBC 2 nikalipia kingamuzi ila nilichokuja kukiona ni kongamano la kimataifa la kiislam la maadili
Allah AkbarTakbiir
We si muislamuTunaonewa kwa lipi hapo?
Mimi ni Muislam ndio maana nikauliza "TUNAONEWA KWA LIPI?"We si muislamu