hii kitu ni mbaya aise, sasaivi tuna zika na afya yako ikiwa nzuri kimuonekano wa nje lakini kiundani imeoza kabsaa dahh........Dah ndio ushaukwaa mkuu?
Siku hizi hizi vituo vya kupima ukimwi vinakuwa na maswali na mlolongo mwingi sana,,Ndugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa matumaini, ''aah jamaa, sukari na pressure imemsumbua muda mrefu sana".
Tena sasa hivi mgonjwa wa Ngoma anakufa na afya yake njema na mujarabu sana kwa nje, ila kwa ndani ni mtu aliechaka vizuri sana.
Ukihisi huna hakika na afya yako, tafadhali tembelea kituo cha afya kwa vipimo na ushauri wa bure na ukibainika nao uanze dozi maramoja.
Usiogope.....
Tujihadhari ndugu zangu,
Baki njia kuu michepuko sio deal.
UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
sikuizi UKIMWI umejificha kwenye sukari na shinikizo la damu.......Mm kwa mika 10 ilopita sijawahi ona mtu kafa kwa ngoma .sio watu hawana ngoma ila imepunguzwa sana ukali na haya madawa .miaka ya 1990 hadi 2000 nilikuwa sijawahi Malika mwezi sijazika mtu kafa na ukimwi.sasa umri tegemewa kuishi ni 53 hapa Tanzania. Watu wanapata sana moto kwenye 25 hadi 35 sasa ma dawa ya kuongeza Kinga guarantee miaka 30 hivo wanajikuta waathilika wanauliwa na ajali vurugu etc sio ngoma
Ngoma iko sana tuNdugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa matumaini, ''aah jamaa, sukari na pressure imemsumbua muda mrefu sana".
Tena sasa hivi mgonjwa wa Ngoma anakufa na afya yake njema na mujarabu sana kwa nje, ila kwa ndani ni mtu aliechaka vizuri sana.
Ukihisi huna hakika na afya yako, tafadhali tembelea kituo cha afya kwa vipimo na ushauri wa bure na ukibainika nao uanze dozi maramoja.
Usiogope.....
Tujihadhari ndugu zangu,
Baki njia kuu michepuko sio deal.
UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
Nawapa Pole sanaMAREJESHO YANAWATUMBUKIZA WAREMBO KUZAMA PENZINI KWA LAZIMA NA KUUCHOTA UKIMWI DAH......
Naona hata siku hizi wavaa kobasi wakivamia kitimoto ili kupandisha cd4UKIMWI unau vibaya sana na kwa fedheha sana arvz zikigoma
😀 Usiogope kuwa jasiri kama ulivyokua unanyanduka.....Siku hizi hizi vituo vya kupima ukimwi vinakuwa na maswali na mlolongo mwingi sana,,
Kwa kwl wanachangia kudhohofisha walengwa kujuwa fya zao..
NI KUBAYA SANA AISEE ACHA KABISA NI HATARI.......Hakuna asiyejua ngoma inaua, na hakuna asiyejua ngomq ni kitu mbaya...
Umetoa takwimu hapo juu, na ndio sababu ya kukuuliza kama wewe ni mtumishi sekta ya afya...
Ukweli ni kwamba zikiwekwa data za ukweli za wenye HIV tz , na Africa unaweza ukazimia Kwa preshashukrani,
JIHADHARI KABLA YA HATARI,
UKIMWI NI NOUMAAAA.....
Ni kwenye mkuu hizi Dawa za kila week zinawaaribu watu akiliKuna doctor mkubwa tuu huko mamlakani nilimsikia anasema ni hela yako tuu siku hizi kuna hadi dose ya kidonge kimoja tuu unameza kwa mwaka.
Ndio kaandika kwa uchungu hivi..?Ushawahi ona watu wanaandika kwa uchungu wewe..?Wewe umeukwaa Ukimwi mbona unaandika kwa uchungu? Umeingia kwenye Gridi ya dunia?