Mi nilenda likizo village huko interior...asee vitoto vya shule vinatafunwa mbayaa!...soda tu unakula bila condom! ( Kwanza hata condom hawazijui)Mi nilifanya za JHPIEGO mkoa flani, asee acha Ngoma ni disaster huko! Na lile baridi kule dah mungu aturehemu
Na kwa uzuri ule wa nje alio kuwa nao yule anaondoka na wengi hapo yuko shule ya msingi mtoto ana bonge La simu.Atakuwa anazungusha hio ngenya masela wanaruka nae hawawazi kitu yeyote! Siku wakisanukia mamzi ana niaje duh sijui itakuwaje ani?
Si ndo hapo..anafikiri kujimaliza rahisi[emoji16]We unaongea tu. Dawa utazinywa bila kupenda. Tuombe mungu atujalie mwisho mwema tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakumbuka nilipo enda kupima kwenye kusubiri majibu nilienda msalani kama mara tatu kwa nusu saa nikawa najiuliza namna hii sijapewa majibu nikipewa wallah nakufa kwa presha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah watoto hawako informed basi, maana kufanya ngono zembe ni hatari sana. Ila pia wazazi hawawajibiki vizuriMi nilenda likizo village huko interior...asee vitoto vya shule vinatafunwa mbayaa!...soda tu unakula bila condom! ( Kwanza hata condom hawazijui)
Wazazi wa vijijini most of them bure tu hakuna malezi wala nini wanawaza ulevi tuu Basi[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
daaaaaah wiki ndefu mzee.... tukipataga slope ndani ya siku mbili tu akija home tayariii...Tusiwe wepesi wa kuomba mechi Mkuu,maana siku hizi vijana baada ya week tunatangaza friendly match
Condom inasaidia bana weee!Asikudanganye mtu kondomu haisadii chochote bhana, inasaidia kwa Makahaba tu, wale ndio wanatumia kondomu kila siku lakini sisi wengine....ukimaliza unasali na kutubu!!!
Haaaahaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Hio hakunaga, unapewa majibu cold heartedly. Last time checking ilikuwa hospitali flani ya serikali. Dokta aliposema hongera niko safi ila nichukue tahadhari zaidi hakukuwa na story zaidi nikatembea na Yesu!
Breki ya kwanza ilikuwa grocery ya jirani kuchamba koo kwanza!
Best mwenzio muoga wa sindano siwezi kabisa kujitoboa mwenyewe π€£π€£π€£π€£[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi sikuwa na presha hospitalini, coz nilianza kupima home then ndo nikaenda kwenye kipimo kikubwa[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila condom zinaumiza uke jamani mmmh!Ujinga wa ndomu utatumia day1,2,3 kuanzia 4 unaanza kuisahau unatest mitambo ya flesh to flesh!
Kweli Mkuu,MUNGU atusaidie hasa tunaojiandaa kuingia kwenye familiadaaaaaah wiki ndefu mzee.... tukipataga slope ndani ya siku mbili tu akija home tayariii...
ila kiukweli inatakiwa tuwe makini tena zaidi ya makini asee hali inatisha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]...tumia rough rider, kitu mgusanoSisi wengine hatupendi hayo makitu kavu.Bora kupima kabla
Kufa sio kizembe, yani uanze kujiua uache prado, vanguard, warembo wakali akati mwili ukiwa na nguvu wala hujaanza kuumwa na dawa zipo? Hahah labda uwe umechapa mbaya! Ila kama Jax lipo unasongesha na life kibishi uku unapiga mamedicals
Hahaha kweli aisee bora rough rider ikogo mstari sana![emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]...tumia rough rider, kitu mgusano
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli ila chamsingi ni kujicontrol kupunguza unnecessary migegedo kwa kufanya physical exercise
Hiyo kitu sijui kwa nini siipendi na Sijawahi kuitumia.[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]...tumia rough rider, kitu mgusano
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ lazima upambaneKufa sio kizembe, yani uanze kujiua uache prado, vanguard, warembo wakali akati mwili ukiwa na nguvu wala hujaanza kuumwa na dawa zipo? Hahah labda uwe umechapa mbaya! Ila kama Jax lipo unasongesha na life kibishi uku unapiga mamedicals