Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Kabla sijaingia kwenye hayo makitu naazaga kupima kwanza na muhusika kula kitu huku na wasiwasi siwezi.
Hahah kuna emergency zinatokeaga lazma udere kwa macho, ukiona safi salama unaruka nae tu. Sahio Savanah au Dompo imegusa pazuri pale kitu kinadunda na mapigo ya moyo! Kinachofata simalizii
 
Huu upo sana mtaani, kwa watu wanaoishi changanyikeni kwenye slums mambo haya hutokea sana
 
Atakuwa anazungusha hio ngenya masela wanaruka nae hawawazi kitu yeyote! Siku wakisanukia mamzi ana niaje duh sijui itakuwaje ani?
Eti ngenya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]...umenikumbusha hili neno nikiwa arusha!

Waarusha wanaitaga K ngenya, limekaa vibaya mdomoni ukilitamka[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah kuna emergency zinatokeaga lazma udere kwa macho, ukiona safi salama unaruka nae tu. Sahio Savanah au Dompo imegusa pazuri pale kitu kinadunda na mapigo ya moyo! Kinachofata simalizii
Mimi kwangu cha kwanza Afya yangu mengine yafuate nikishikilia kitu huwa sibadili msimamo.
 
Mkuu unapima nae siku moja tu unakula kavu je,kama alikuwa window period
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…