Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Unaanzaje nasisi vijana now tunaangalia tu beauty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaanzaje nasisi vijana now tunaangalia tu beauty
[emoji16][emoji16][emoji1787]tumetofautiana...mi nikijitoboa siumii hata, na ndio maana nilijitoboa masikio...Best mwenzio muoga wa sindano siwezi kabisa kujitoboa mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MmhSawa sawa mkuu kwa kutoa kumbusho.
Nashukuru Mungu mm, kwa kunipa hekima kubwa kwani naweza kulala na mwanamke ambae sijawahi kufanya nae sex na nisimguse kabisa hadi asubuhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Masculine qualitySawa sawa mkuu kwa kutoa kumbusho.
Nashukuru Mungu mm, kwa kunipa hekima kubwa kwani naweza kulala na mwanamke ambae sijawahi kufanya nae sex na nisimguse kabisa hadi asubuhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa kabisa....labda uwe huna mpunga full kufulia!Kufa sio kizembe, yani uanze kujiua uache prado, vanguard, warembo wakali akati mwili ukiwa na nguvu wala hujaanza kuumwa na dawa zipo? Hahah labda uwe umechapa mbaya! Ila kama Jax lipo unasongesha na life kibishi uku unapiga mamedicals
cocacola!!!!!!!!Kuwa makini zaidi , siku hizi kuna kinywaji ukinywa kama ni positive.kile kipimo kinakuonyesha upo negative.
Njia nzuri ya kumpima mtu ni lala nae usiku kucha ai shinda nae mchana hakikisha hanywi COCACOLA, Mda wa masaa ata 12 mkiamka asubuhi mkapime.
Mgonjwa wa HIV akinywa cocacola kipimo kinaonyesha negative.
Na hiyo njia waathirika wengi wanaijua hivyo ukimwambia kupima anatoka nyumbani akiwa kajishindilia cocacola akifika kupima unakuta negative
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan ile ndo ilinirudisha matumaini ya sex!Hahaha kweli aisee bora rough rider ikogo mstari sana!
Kabisa mkuu...unakuwa na patner wako mmoja, mazoezi kwa sana life linasonga!Nikweli ila chamsingi ni kujicontrol kupunguza unnecessary migegedo kwa kufanya physical exercise
We mimi muoga hasa nikihisi nina maralia nanunua Dafu na ndimu nimemaliza kuliko kwenda kupimwa na kile kisindano japo damu nimepima kama mara 4[emoji16][emoji16][emoji1787]tumetofautiana...mi nikijitoboa siumii hata, na ndio maana nilijitoboa masikio...
Kutobolewa ndo naogopa vibaya vibaya![emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh!...Basi uzidishe umakini sana, hasa wa check up!Hiyo kitu sijui kwa nini siipendi na Sijawahi kuitumia.
Haaaahaaaa[emoji1787]Yeah ukiskia kavu tamu hio ni kitu sure mama, hata mwenyewe unajua!
Kazi yangu kila mwaka lazima nipime na ndio maana nipo makini mno
Haya buana[emoji16][emoji16][emoji1787]Nawezaje kula pipi kwenye ganda lake
Sure maisha yenyewe mafupiKabisa mkuu...unakuwa na patner wako mmoja, mazoezi kwa sana life linasonga!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwingine anakuwa haumwi bali uoga tu...Ukita kumpima mwenza wako, msapraizi. Asubuhi jumamosi unamwambie muende sokoni kununua groceries kisha mkiwa njiani unamwambia twende kupima hospitali ile pale, akikataa kwa kisingizio chochote fumbua macho.
Hapo sawaKabla sijaingia kwenye hayo makitu naazaga kupima kwanza na muhusika kula kitu huku na wasiwasi siwezi.
Uko vizuri basi! Hongera kwa kuwa na msimamo thabiti!Mimi kwangu cha kwanza Afya yangu mengine yafuate nikishikilia kitu huwa sibadili msimamo.
Condom zenyewe zina tabia ya kufyonza maji ya uke kama hulijui hili[emoji848]Wewe utakuwa mkavu sana.
Hellow mamsapKhaaa
ThanksUko vizuri basi! Hongera kwa kuwa na msimamo thabiti!