Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Kufa sio kizembe, yani uanze kujiua uache prado, vanguard, warembo wakali akati mwili ukiwa na nguvu wala hujaanza kuumwa na dawa zipo? Hahah labda uwe umechapa mbaya! Ila kama Jax lipo unasongesha na life kibishi uku unapiga mamedicals
Haaahaaa kabisa....labda uwe huna mpunga full kufulia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa makini zaidi , siku hizi kuna kinywaji ukinywa kama ni positive.kile kipimo kinakuonyesha upo negative.
Njia nzuri ya kumpima mtu ni lala nae usiku kucha ai shinda nae mchana hakikisha hanywi COCACOLA, Mda wa masaa ata 12 mkiamka asubuhi mkapime.
Mgonjwa wa HIV akinywa cocacola kipimo kinaonyesha negative.
Na hiyo njia waathirika wengi wanaijua hivyo ukimwambia kupima anatoka nyumbani akiwa kajishindilia cocacola akifika kupima unakuta negative

Sent using Jamii Forums mobile app
cocacola!!!!!!!!
 
[emoji16][emoji16][emoji1787]tumetofautiana...mi nikijitoboa siumii hata, na ndio maana nilijitoboa masikio...

Kutobolewa ndo naogopa vibaya vibaya![emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
We mimi muoga hasa nikihisi nina maralia nanunua Dafu na ndimu nimemaliza kuliko kwenda kupimwa na kile kisindano japo damu nimepima kama mara 4
 
Back
Top Bottom