witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah kuna emergency zinatokeaga lazma udere kwa macho, ukiona safi salama unaruka nae tu. Sahio Savanah au Dompo imegusa pazuri pale kitu kinadunda na mapigo ya moyo! Kinachofata simaliziiKabla sijaingia kwenye hayo makitu naazaga kupima kwanza na muhusika kula kitu huku na wasiwasi siwezi.
Kinacho nisikitisha yule mtoto anaenda kuwambukiza watoto wenzie huko shule ambao hata Kinga hawajui
Hongera sana mkuu. Wanaume wengi saa moja kanla ya mechi tunatumiaga kichwa cha chini. Cha juu hakinaga nafasi na hapa ndio tunapoteaga.Kabla sijaingia kwenye hayo makitu naazaga kupima kwanza na muhusika kula kitu huku na wasiwasi siwezi.
Alishajitangaza na ni muhamasishaji pia,sina haja ya kumtaja jinaHuyu nani? Kajitangaza tayari au umemuweka hapa bila ruhusa yake?
Huu upo sana mtaani, kwa watu wanaoishi changanyikeni kwenye slums mambo haya hutokea sanaHili ni kweli kabisa , ila tusisahau kuwa sio wote wenye ukwimi ni ukwimi kweli , wengi wamepandikizwa na nguvu za giza , so ukiambiwa una ukwimi jiulize Mara mbili mbili umeupataje ,
Mimi nilishaishi na ukwimi wa bandia , ila namshukuru Bwana Yesu kwa kuniponya ,
Natamani niandike ushuhuda lkn naona sitamaliza leo
Sent using Jamii Forums mobile app
😱😱😱
Eti ngenya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]...umenikumbusha hili neno nikiwa arusha!Atakuwa anazungusha hio ngenya masela wanaruka nae hawawazi kitu yeyote! Siku wakisanukia mamzi ana niaje duh sijui itakuwaje ani?
SawaHujaelewa jengo lao lipo opposite na office za ma Dr. Wala hakufikiria hivyo.Huwezi elewa maana hujawahi ona jengo wanalochukulia dawa.
Mimi kwangu cha kwanza Afya yangu mengine yafuate nikishikilia kitu huwa sibadili msimamo.Hahah kuna emergency zinatokeaga lazma udere kwa macho, ukiona safi salama unaruka nae tu. Sahio Savanah au Dompo imegusa pazuri pale kitu kinadunda na mapigo ya moyo! Kinachofata simalizii
Aseee[emoji848]Na kwa uzuri ule wa nje alio kuwa nao yule anaondoka na wengi hapo yuko shule ya msingi mtoto ana bonge La simu.
Hahah ukiona mbaya tunaitaga ngefex, ngefenya! Kukata makaliEti ngenya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]...umenikumbusha hili neno nikiwa arusha!
Waarusha wanaitaga K ngenya, limekaa vibaya mdomoni ukilitamka[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki moja iliyopita nikapata demu,kutokana na kazi yake nikajua huyu anakutana na wanaume kibao,maana mtoto ana sifa zile ambazo wanaume wengi tunaanzia kuzitazama kabla hatujaenda deep,
Nikarusha vocals mtoto akanilewa,na hata tulipopanga kukutana alifika kiroho safi,kuomba mzigo ndipo nilipompendea zaidi,maana alikataa katakata twende tukapime kwanza,condom alisema hapendi kabisa,kwa kuwa sikuwa na shaka huyooo mpaka laboratory tukapima then tukarudi room kupiga show ya kibabe,nilipanga kulala naye usiku mmoja,lakini kwa kuonesha anajari afya yake nikaongeza na siku ya pili tukala raha na jana ndipo tukarudi sehemu zetu za kazi.
Wanawake wakiwa na msimamo kama wa huyu demu hakika UKIMWI tutauepuka,maana wanaume huwa hatukumbuki kabisa swala la afya pale kichwa cha chini kikizidiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyu mdada utamdhania!?View attachment 1062697
Tupunguze mihemko male,UKIMWI saiz unanawirisha
KhaaaKama hujawahi tumia kavu utaona ajabu ila mikito ya nyama to nyama ni next level mazee!
Akuna kula pipi na ganda ni ngumu sana kumaintaina ndofox!
Inasikitisha sanaNa kwa uzuri ule wa nje alio kuwa nao yule anaondoka na wengi hapo yuko shule ya msingi mtoto ana bonge La simu.
Uko njemaMimi kwangu cha kwanza Afya yangu mengine yafuate nikishikilia kitu huwa sibadili msimamo.