The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Mkuu mbwa ana adabu? Em unganisha adabu ya mbwa na hili swala la ukimwiYaani afadhali hata sasa hivi wagonjwa hawaugui na kukonda kama zamani...kwa mtu aliyewahi ishi au kumuona mgonjwa wa ukimwi aliyepitia dalili zote hakika atakuwa na adabu kama mbwa....mateso waliyokuwa wanapata huwezi elezea.
Kabisa!....anasema karushiwa gonjwa!Aisee huyu hajajikubali, itamgharimu sana.
She need counseling
[emoji16][emoji16]kwanini?Ha ha ha Wit wewe muhuni aseeeh
Halafu huwaga wakigundua wameambukizana mdudu na ndoa inaishiaga hapo hapo[emoji134][emoji134]....Kwenye ndoa ni majanga,kiutaratibu tu wenzi wakishakuwa kwenye ndoa swala la kinga halipo.
Sasa hapa unakuta hawa wenzi katika shughuli zao za kila siku wakakutana na watu wengine wakasema tuonjeshane kidogo sasa hii kuonjeshana inaweza kuwa kavu si swala la chap chap mtu anabeba tatizo anapeleka kwa mwenzie kimya kimya.
Mziki huwa unakuja kubumbuluka wakianza kupata vihoma vya mara kwa mara wanaenda kupima wanaanza kushangaana vimetoka wapi.
[emoji838]
Wanandoa ndo fungu linaloongoza kwa sasa.....all in all wote tutakufa au sio?
Kwahiyo unataka kusemaje mkuu?Nadhani virus wana incubation period toka mtu ameambukizwa mpaka nae aweze kuambukiza wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16]Mkuu mbwa ana adabu? Em unganisha adabu ya mbwa na hili swala la ukimwi
Kipimo kikubwa sio?.....hicho si mpaka hospitals kubwa kubwa?Pimeni kile cha dam u inayochukuliwa kwenye mishipa hata ukiingia leo , kesho yake unaonekana.
Mmmh[emoji849]...shtuka wewe![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Suala la wazungu kukataa kutupa dawa za kutibu ndo lawama kwaooo...!! Ila kuwepoo its Nature
Sent using Jamii Forums mobile app
Shubamiiit[emoji57]Jamaa analeta story ya Condom za bei sijuii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shwain
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu sindkiza hayo maandishi na kapicha kidogo.[emoji16][emoji16]kwanini?
Ukiniona live mi mpole sana, halafu mvivu kuongea balaa[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumdanganya, damu ni ile ilePimeni kile cha dam u inayochukuliwa kwenye mishipa hata ukiingia leo , kesho yake unaonekana.
Wanawake tuna tamaa sanaNi kweli kwasasa ukiendekeza ngono lazima utaukwaa maana watu walioathirika especially w/me wanaambukiza sana mademu hovyo na hawa dada zetu wakishaona mtu ana hela hawajali status yake ya afya wao twende tu ili mradi apate pesa akadamshi awaringie mashostito wenzake.
Sawa mkuu...Ebu sindkiza hayo maandishi na kapicha kidogo.
Huyu umem download wapi boss. Mzuri thou. kama unafanana nae hongera sana.Sawa mkuu...