Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Hadi sasa uzi una pages 40
 
Yani tangu mwez ule bado nmeogopa kujipima huu uzi umenpa mawazo zaidi Ukweli ni kwamba Ukimwi ni jambo gumu lisikie tu ila tabu wanazozipata wenzetu aiseee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…