Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Acha unyaa wewe kiduaduamng'asi!Samora round about pamefanyiwa marekebisho na TANROADS ili kupata mkunjo mzuri wa kona kwa magari makubwa.Ni sehemu ndogo sana tena upande tu kuzunguka hapo.Sidhani kama gharama ilizidi milioni tano-kumi.Round about ya samora, kihesa to Tumain, ilikuwa vumbi miaka yote kimya...dada jesca kaupamba mji na round about ya maana kwa miaka miwili tu nyny mmebaki mnazungusha mikono tu😄
Una uelewa finyu sana.Jifunze kujibu maswali unayoulizwa kwa ufasaha na kunyooka.Aliwapelekea chakula Cha kutosha mpaka na mbegu kabisa...Sasa nyny chadema nlishawahi fanya hvo
Kwani swali lako si linahusu chakula na nimekujibu kuwa kipindi chakula kilipokuwa garama Lukuvi aligawa chakula kwa Wana isimani Cha mwaka mzima au inamana nikipewa Chakula leo kikikaa mwaka ni kosa.Una uelewa finyu sana.Jifunze kujibu maswali unayoulizwa kwa ufasaha na kunyooka.
Hyo tanroad kipindi chote cha msigwa ilikuwa haipo? mbona hamkujenga, sahz mji unaanza kupendeza mnaanza fyokofyoko...hzo Ni jitihada za mbunge JESCAAcha unyaa wewe kiduaduamng'asi!Samora round about pamefanyiwa marekebisho na TANROADS ili kupata mkunjo mzuri wa kona kwa magari makubwa.Ni sehemu ndogo sana tena upande tu kuzunguka hapo.Sidhani kama gharama ilizidi milioni tano-kumi.
Hiyo barabara ya Kihesa-Tumaini inayojengwa ni ipi?Au unaota baada ya kupitia kilabu cha Mwembechai Kihesa umelewa?
Una changamoto kichwani si bure.Hao waliokutuma ulete matangadasi humu wanakudanganya.Ndiyo maana hata maswali mepesi unajibujibu tu mara sijui,simfahamu,sielewi!Unaonesha ulivyo kama mifudu tu.Hyo tanroad kipindi chote cha msigwa ilikuwa haipo? mbona hamkujenga, sahz mji unaanza kupendeza mnaanza fyokofyoko...hzo Ni jitihada za mbunge JESCA
Kwani huyo msigwa ni mhehe? Swala tupate mtu mwenye focus atakae ipigania IRINGA hata ifikie siku liwe jjAsasi sio mhehe Wala mbena, Wala mkinga.
Sio mwenzetu ni mtu aliyekuja kuinyonya nchi yetu kupitia Ukoloni mpaka Leo.
Watanzania na waafrika ni watu wa ajabu sana .
Yaani Kodi zetu tunataka nazo ziliwe na wanyonyaji kupitia kimshahara na viposho badala ya kuwapa nafasi Vijana wetu wanaomaliza vyuo ili nao wapate maisha Bora. Waafrika hatupendani ndio maana tunatafutiana maisha magumu badlala ya kurahisha maisha Kwa waafrika Wenzetu tunawaza misaada.
Sawa ASAS nimekusikia.ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Ila ujue tu JESCA angekaa miaka kumi Kama msigwa iringa mjn ingekuwa mbali Sana... Round about ni ukumbusho tosha wa mbunge JESCA...nyiny mmeshindwa hata kujenga iofisi wanawashinda wamachinga 🤣Una changamoto kichwani si bure.Hao waliokutuma ulete matangadasi humu wanakudanganya.Ndiyo maana hata maswali mepesi unajibujibu tu mara sijui,simfahamu,sielewi!Unaonesha ulivyo kama mifudu tu.
Umekwepa swali hapo... nakuomba ukubali tu kuwa msigwa Hakuna alichokifanya iringa mjn na mbeya mjn nako umeona Moto hiki kipindi cha tulia...na jamaa yako kule hata ofs hakuna ameishia kujenga hotel yake tu... very selfish loh,!Una changamoto kichwani si bure.Hao waliokutuma ulete matangadasi humu wanakudanganya.Ndiyo maana hata maswali mepesi unajibujibu tu mara sijui,simfahamu,sielewi!Unaonesha ulivyo kama mifudu tu.
Nasema hivi Jimbo la Iringa mjn lipate watu aina ya Asas watu watakao ipigania Iringa ikue zaidi kimiundombinu mpaka siku moja liwe jiji...hata hyo round about mpya imejengwa na Jesca si umeona ilivyopendezesha mji...hayo Mambo ya maziwa Anza kununua ww kwa bei ya juu kwani umekatazwa...mmejaa maneno kibao kumbe Ni wivu tu kwawekezaji....kwa taarifa yako mm mwenyewe Nina ng'ombe wa maziwa Ni Bora ukauza kwa asas kuliko kwa wenye mgahawa....we pigaga tu ulanz mkuu .Huyu jamaa haelewi kitu juu ya Asas, labda kwa kujenga misikiti na kukisaidia chama.
Ila ni moja ya watu wanaowanyonya sana wafugaji wanaomuuzia maziwa.
Wengi wanaomuuzia ni vile wanakosa mbadala, lakin bei zake zipo chini sana.
Huyu jamaa haelewi kitu juu ya Asas, labda kwa kujenga misikiti na kukisaidia chama.
Ila ni moja ya watu wanaowanyonya sana wafugaji wanaomuuzia maziwa.
Wengi wanaomuuzia ni vile wanakosa mbadala, lakin bei zake zipo chini sana.
Wewe maziwa unanunua shi ngapi ili wawe wanakuletea ww.Huyu jamaa haelewi kitu juu ya Asas, labda kwa kujenga misikiti na kukisaidia chama.
Ila ni moja ya watu wanaowanyonya sana wafugaji wanaomuuzia maziwa.
Wengi wanaomuuzia ni vile wanakosa mbadala, lakin bei zake zipo chini sana.
Nasema hivi Jimbo la Iringa mjn lipate watu aina ya Asas watu watakao ipigania Iringa ikue zaidi kimiundombinu mpaka siku moja liwe jiji...hata hyo round about mpya imejengwa na Jesca si umeona ilivyopendezesha mji...hayo Mambo ya maziwa Anza kununua ww kwa bei ya juu kwani umekatazwa...mmejaa maneno kibao kumbe Ni wivu tu kwawekezaji....kwa taarifa yako mm mwenyewe Nina ng'ombe wa maziwa Ni Bora ukauza kwa asas kuliko kwa wenye mgahawa....we pigaga tu ulanz mkuu .
Acha upumbavu, hunijui mimi,huo ubaguzi unaousema umenijulia wapi?,nimeishi na boers na hawakunibagua hata siku moja,Asas utajiri wake hauna paper trailUkiombwa ushahidi utatoa? Acha ubaguzi mkuu. Kwani hakuna viongozi wa kiafrika hawauwi tembo wetu! Au kwakua ngozi nyeupe ndio umkandie!
Wewe chuki yako ni Msigwa inamaana hata ndani ya CCM hakuna mtu zaidi ya hao magobachori . Hivi unafikiri Kuna Bilionea mweupe anayetaka mtu Mweusi ajitambue.?Kwani huyo msigwa ni mhehe? Swala tupate mtu mwenye focus atakae ipigania IRINGA hata ifikie siku liwe jj
Maendeleo hayawezi kuletwa na mtu mmoja Tena mwarabu anayemwona mwafrika kama kima na kumdharau kama mtumwa asiye na akili. Hivi unafikiri hao watu weupe wamewahi kumwaona mwafrika kama binadamu mbele ya maslahi yao.Nasema hivi Jimbo la Iringa mjn lipate watu aina ya Asas watu watakao ipigania Iringa ikue zaidi kimiundombinu mpaka siku moja liwe jiji...hata hyo round about mpya imejengwa na Jesca si umeona ilivyopendezesha mji...hayo Mambo ya maziwa Anza kununua ww kwa bei ya juu kwani umekatazwa...mmejaa maneno kibao kumbe Ni wivu tu kwawekezaji....kwa taarifa yako mm mwenyewe Nina ng'ombe wa maziwa Ni Bora ukauza kwa asas kuliko kwa wenye mgahawa....we pigaga tu ulanz mkuu .