Mmemis kutuibia buku zetu matapeli wakubwa nyieKwa sasa,kwani huko Iringa CHADEMA ndiyo ina mbunge?Umeulizwa hauoni kwamba unamchafua Jesca kwa uzi wako wa uchonganishi na uroho wa maziwa na bukubuku?Ni lini kama CCM imesema Jesca hafai?Unaonesha ulivyo na tabia za ukibaka kwa chama chako.Utauza jimbo kwa gharama ya kilemba cha waarabu.
Kabisa.Agombee kwenye ukoo wao ili wakamfanyie na kazi za kumkatia majani ya ng'ombe wawe wanaonana masaa yote.
Saa hizi utakuwa Sabasaba getini kwa ASAS unamsubiri umuombe matumizi ya leo.Hopelesses kabisa!Mnaleta wiinya!Fanyeni kazi halali.Utaibiwa buku wakati wewe mwenyewe unafanana na buku huna kazi!?Mmemis kutuibia buku zetu matapeli wakubwa nyie
Nyie waganga njaa ndio mnaleta vurugu ccm kwa tamaa zenu.Hahaaaaa nyinyi si ndo watalamu wa wahuni...mwenzenu mbeya ametoa kiwanja Leo hii wakati alikaa bungeni miaka 10 ofs anatumia chumba chake...hivi nyie matapeli ofs yenu ipo wapi hapa mjn
Kazi halali si zile za kuchangisha watu hela kwenye kilambo...hivi hapa Iringa mjn ofs yenu ipo wapi mkuuSaa hizi utakuwa Sabasaba getini kwa ASAS unamsubiri umuombe matumizi ya leo.Hopelesses kabisa!Mnaleta wiinya!Fanyeni kazi halali.Utaibiwa buku wakati wewe mwenyewe unafanana na buku huna kazi!?
Na wewe umeishiwa kichwani.Unaunga hoja vitu visivyo na kichwa wala miguu?Au hujanywa maziwa?Grow up,fella!Jesca anajua mnavyompiga vita hii?Maana yake muwe wawazi ni lini CCM Iringa mjini imemkana Jesca hadi mpate uhalali wa kuanza kampeni kwa mtu mwingine huku mkijificha kwa kuitaja CHADEMA?Naona mhehe wa CCM umekiwasha, Hawa jamaa chadema siyo wakuwachagua kabisa nakuunga mkono
Bado ni katoto kwenye siasa na haujui kazi ya mbunge au mwanasiasa wewe!Itoshe kukueleza kwamba hizo mbinu zenu za kutaka kumuibia Salim na kumseti Jesca aingie kingi ni mbinu chafu na za kale sana.Kajifunzeni upya!CCM Hakuna usanii Kama mlio nao nyie chadema... kweli miaka 10 no legacy nyinyi ni kuchangisha watu hela tu ...hvi ukiulizwa toka 1992 mpaka leo mmefanya nn utajibu nini
Kwani Mbunge wa sasa hukupata au hupati chochote kutoka kwake hadi utake aondolewe ili ampishe Asas bwana ako unayemtegemea mjini.Furugu ndo nini,? Au ni utapeli wa chadema iringa mjn
🤣🤣🤣 Vipi umemis kazi yako ya kupitisha bango la michango...sahz hampati Kura nyie zungusheni tu mikono watuNa wewe umeishiwa kichwani.Unaunga hoja vitu visivyo na kichwa wala miguu?Au hujanywa maziwa?Grow up,fella!Jesca anajua mnavyompiga vita hii?Maana yake muwe wawazi ni lini CCM Iringa mjini imemkana Jesca hadi mpate uhalali wa kuanza kampeni kwa mtu mwingine huku mkijificha kwa kuitaja CHADEMA?
Umesema Asas anafaa kugombea Ubunge Iringa mjini.Kazi halali si zile za kuchangisha watu hela kwenye kilambo...hivi hapa Iringa mjn ofs yenu ipo wapi mkuu
Unashindwa kujibu unayoulizwa unaanzisha utoto wa mabango ambayo mimi si mwana CHADEMA na siyajui.Mchonganishi mkubwa wewe!Umeshapewa hela ya bando na unaowapigia debe.Sasa ni kizurula tu JF kumchafua mbunge aliyepo.Tulianza mdogomdogo na uzi wako.Tutayataja yote.Tulia,conman!🤣🤣🤣 Vipi umemis kazi yako ya kupitisha bango la michango...sahz hampati Kura nyie zungusheni tu mikono watu
Kumbe umezoea, kwa hiyo na hizo za Asas unazitaka.Nlipata tu zile hela za join the chain...majizi wakubwa nyie
Tofauti kati ya 2 ni kuwa Rostam before hakuwa na hela hela amezipata baada ya kuiba akiwa mchumi wa CCM.Asipewe Ubunge Abaki Huko Huko Na Maziwa Yake, Mkimpa Tu Hana Jipya
Ulizeni Igunga Wakati Rostam Aziz Kuko Kawaida Sana
Hahaaaa we jamaa vipi mbona unapagawa....hebu nitajie hapa Iringa mjn nyie chadema mlifanya Nini, ofs yenu ipo wapi? Tapeli we!Unashindwa kujibu unayoulizwa unaanzisha utoto wa mabango ambayo mimi si mwana CHADEMA na siyajui.Mchonganishi mkubwa wewe!Umeshapewa hela ya bando na unaowapigia debe.Sasa ni kizurula tu JF kumchafua mbunge aliyepo.Tulianza mdogomdogo na uzi wako.Tutayataja yote.Tulia,conman!
Sasa kama upo huko Iringa na haujui(kwa kujibaraguza tu)kilichofanywa na CDM si bora ukawe manamba wa ASAS tu?Hahaaaa we jamaa vipi mbona unapagawa....hebu nitajie hapa Iringa mjn nyie chadema mlifanya Nini, ofs yenu ipo wapi? Tapeli we!
Hana kazi maalumu ya kumuingizia kipato huyo.Nilipokuwa huko Iringa walikuwa hadi wanapewa sifa mbaya zaidi za kuudhalilisha uanaume wao.Na kazi nyingine ni kuwa makuwadi wa waarabu/kuwatafutia mabinti kwa ujira wa aibu!These people are more than ridiculous!Kumbe umezoea, kwa hiyo na hizo za Asas unazitaka.