Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwajui hao mkuu?Wanampanga ili wamlie hela ambazo huwa anagawa kwenye chaguzi.Ni sampuli ya watu wasio na kazi.Joblesses!Anapigwa mtu tukio si muda.Wait!Kwani alikwambia ana nia ya kugombea .
Acha kujificha umetumwa na Asas umletee furugu Mbunge Msambatavangu, Asas labda awe Mbunge wa waendesha baiskeli Tanzania.Furugu ndo nn mkuu🤣🤣....kuliko wale matapeli wamekaa Iringa mjn miaka 10 Hawa ofs hawana, hakuna wakichokifanya ..wao ni kupitisha vilambo tu kuomba hela huku wanakula posho za ubunge, wali uddmiza Sana mji wetu...
Wajanjawajanja hao.Wanaanzisha hili mitandaoni kuhusu ASAS kumchokoza na Jesca ili atoe mpunga.Ogopa mtu jobless akikaa na wenzie muda mwingi wanapangilia mipango ya kuishi kwa mteremko!Si sawa na wewe unayekuwa unawaza mambo mengi ya kujijenga kwa akili zako.Beware of conmen!😂😂😂Umekutumwa na Asas umletee furugu Mbunge Msambatavangu.
We jamaa hivi hata kulala unalala kweli maana huu Uzi unakupa Moto sana, au ndo ww huwa unapita hapa mjn kuchangisha hela za mikutano ya chadema halafu jioni watu wanakuona umelewa mitaa ya samola kule🤣🤣Wajanjawajanja hao.Wanaanzisha hili mitandaoni kuhusu ASAS kumchokoza na Jesca ili atoe mpunga.Ogopa mtu jobless akikaa na wenzie muda mwingi wanapangilia mipango ya kuishi kwa mteremko!Si sawa na wewe unayekuwa unawaza mambo mengi ya kujijenga kwa akili zako.Beware of conmen!😂😂😂
We dalali kwani hujui kwamba Iringa mjini kuna Mbunge? huyo Asas wanini sasa, acha kuzunguka kama hafai sema hafai, tumtafute mwingine maana hata huyo Asas mwenyewe hafai vilevile.Furugu ndo nini,? Au ni utapeli wa chadema iringa mjn
Halafu ni kidume hicho kimekuja JF kusifia maziwa ya packets za jerojero na fadhila(swadaka kila ijumaa)za bukubuku wapewazo kila mmoja.Ukimuuliza nini mbaya?Anajibu tumchague kwa sababu CHADEMA hawana ofisi.Yani hakuna uhusiano wa chochote.Anajua watakosa vya bure tu.Haya ni maziwa ya bure yanaongea
Bora hata haya maziwa kuliko siasa zenu za kitapeli mlizotufanyia hapa Iringa mjn sahz mmeona machinga wamehamia maeneo mazuri mnajifanya hapa Iringa mmeondoka🤣 mkidhani tutasahau mlivyokuwa mnatutapeli hela zetu na vilambo vyenu sahz mnashindwa kununua hata mabanzi tuHaya ni maziwa ya bure yanaongea
Siwezi kutulia na kuangalia genge la mihuni ikijiandaa kupiga watu matukio ya wizi na utapeli.Mkawadanganye wengine!We jamaa hivi hata kulala unalala kweli maana huu Uzi unakupa Moto sana, au ndo ww huwa unapita hapa mjn kuchangisha hela za mikutano ya chadema halafu jioni watu wanakuona umelewa mitaa ya samola kule🤣🤣
Mimi Sina shida na CCM nina shida na nyie matapeli wazungisha mikono..kwanza mlituchosha sana kutuzungusha mikonoWe dalali kwani hujui kwamba Iringa mjini kuna Mbunge? huyo Asas wanini sasa, acha kuzunguka kama hafai sema hafai, tumtafute mwingine maana hata huyo Asas mwenyewe hafai vilevile.
Hahaaaaa nyinyi si ndo watalamu wa wahuni...mwenzenu mbeya ametoa kiwanja Leo hii wakati alikaa bungeni miaka 10 ofs anatumia chumba chake...hivi nyie matapeli ofs yenu ipo wapi hapa mjnSiwezi kutulia na kuangalia genge la mihuni ikijiandaa kupiga watu matukio ya wizi na utapeli.Mkawadanganye wengine!
Hiyo huruma unayoitafuta kwetu sisi wanainchi hatumtaki, labda agombee Ubunge kwenye ukoo wenu.Bora hata haya maziwa kuliko siasa zenu za kitapeli mlizotufanyia hapa Iringa mjn sahz mmeona machinga wamehamia maeneo mazuri mnajifanya hapa Iringa mmeondoka🤣 mkidhani tutasahau mlivyokuwa mnatutapeli hela zetu na vilambo vyenu sahz mnashindwa kununua hata mabanzi tu
Kwa sasa,kwani huko Iringa CHADEMA ndiyo ina mbunge?Umeulizwa hauoni kwamba unamchafua Jesca kwa uzi wako wa uchonganishi na uroho wa maziwa na bukubuku?Ni lini kama CCM imesema Jesca hafai?Unaonesha ulivyo na tabia za ukibaka kwa chama chako.Utauza jimbo kwa gharama ya kilemba cha waarabu.Onesha adabu hata kwa Jesca usijifiche kwa kuitajataja CHADEMA!Mimi Sina shida na CCM nina shida na nyie matapeli wazungisha mikono..kwanza mlituchosha sana kutuzungusha mikono
Hatutaki wabunge wababaishaji...hivi ofs yenu ipo wapi hapa Iringa mjn...mliacha legacy gani hapa mjn,... Sahz huoni Jesca alivyopendezesha mj mpaka round about ya maana...Ila nyie jamaa wa hovyo Sana mlifanya iringa mjn nusu tupitwe na mafinga kwa maendeleoHiyo huruma unayoitafuta kwetu sisi wanainchi hatumtaki, labda agombee Ubunge kwenye ukoo wenu.
Kama unaona aliyepo sasa hafai basi na Asas hayafai yameharibika yote.Mimi Sina shida na CCM nina shida na nyie matapeli wazungisha mikono..kwanza mlituchosha sana kutuzungusha mikono
Hizo bukubuku si ndo ulikuwa unatupora na kilambo chako halafu jioni tunakukuta umelewa mitaa ya samora...mlichukua buku zetu mkashindwa hata kujenga ofs ndo ujue hela za wanyonge zilivyo na laanaKwa sasa,kwani huko Iringa CHADEMA ndiyo ina mbunge?Umeulizwa hauoni kwamba unamchafua Jesca kwa uzi wako wa uchonganishi na uroho wa maziwa na bukubuku?Ni lini kama CCM imesema Jesca hafai?Unaonesha ulivyo na tabia za ukibaka kwa chama chako.Utauza jimbo kwa gharama ya kilemba cha waarabu.Onesha adabu hata kwa Jesca usijifiche kwa kuitajataja CHADEMA!
Kwa sasa,kwani huko Iringa CHADEMA ndiyo ina mbunge?Umeulizwa hauoni kwamba unamchafua Jesca kwa uzi wako wa uchonganishi na uroho wa maziwa na bukubuku?Ni lini kama CCM imesema Jesca hafai?Unaonesha ulivyo na tabia za ukibaka kwa chama chako.Utauza jimbo kwa gharama ya kilemba cha waarabu.Mimi Sina shida na CCM nina shida na nyie matapeli wazungisha mikono..kwanza mlituchosha sana kutuzungusha mikono
Kabisa.Agombee kwenye ukoo wao ili wakamfanyie na kazi za kumkatia majani ya ng'ombe wawe wanaonana masaa yote.Hiyo huruma unayoitafuta kwetu sisi wanainchi hatumtaki, labda agombee Ubunge kwenye ukoo wenu.