Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Unalazimisha mtu ajue shida zako aisee we jamaa mbona unafikra za kiwango Cha chini sana
Hazishindi zako zilizokaa unakokalia! Yaani kijana huna maono ya kuutaka huo ubunge unaomtafutia mwarabu? Unapenda kutawaliwa na kuongozwa mithili ya punda! Amka dogo ujipambanie mwenyewe usije kuongozwa mke!
 
Jesca ni kiwango Cha juu anajitahidi Sana kwa kipindi kifupi Iringa imetulia watu wanafanya kazi zinaenda....Sasa enzi za msigwa mbona Iringa ilikuwa vurugu as if darasa la awali😄
Mbona unahamisha magoli? Jesca ni ccm na Salim naye ni ccm. Mbona unawachonganisha na kuwagonganisha vichwa? Au Salim kakutuma na kujiongeza mshahara wa laki mbili najua hajawahi kumlipa mtu zaidi ya hizo!
Msigwa anapasha na atakushangaza kwani anarejea kwa kishindo! Wewe endelea kuumia na kuchunga ng'ombe wa asas!
 
Sasa si Bora huyo anayeweza akajenga hata darasa moja pekee yake..hoyu ndugu yeni miaka 10 yote alifanya nn Cha maana...mnachagua porojo tu badala muangalie uwezo wa kutatua matatizo
Aliekwambia kaz ya mbunge ni kujenga madarasa ni nani? Kumbe hata majukumu ya mbunge kikatiba huyajui halafu unajifanyisha ukampen manager wa kienyeji hapa? Kumbe wahehe ni machawa hivi kama wadigo na wazaramo? Dawa ni kumfufua au kuleta mwamwindi mwingine tu! Jamaa yangu ww ni chawa kuliko hata dk kleruu
 
Hazishindi zako zilizokaa unakokalia! Yaani kijana huna maono ya kuutaka huo ubunge unaomtafutia mwarabu? Unapenda kutawaliwa na kuongozwa mithili ya punda! Amka dogo ujipambanie mwenyewe usije kuongozwa mke!
Hahaaaa haya ni maoni yangu binafsi tu lakini tuwe wakweli chadema imeiddmiza Sana IRINGA sahz ilitakiwa liwe jj wameshindwa hata kukarabati uwanja wa samora wao waliishia kugomea vikao vya bunge tu
 
Sasa si Bora huyo anayeweza akajenga hata darasa moja pekee yake..hoyu ndugu yeni miaka 10 yote alifanya nn Cha maana...mnachagua porojo tu badala muangalie uwezo wa kutatua matatizo
Unajua kazi za mbunge? Au unadhani mbunge ni mfadhili? Kwanini usipendekeze awe rais kabisa ili atqtue hayo matatizo vizuri?
 
Aliekwambia kaz ya mbunge ni kujenga madarasa ni nani? Kumbe hata majukumu ya mbunge kikatiba huyajui halafu unajifanyisha ukampen manager wa kienyeji hapa? Kumbe wahehe ni machawa hivi kama wadigo na wazaramo? Dawa ni kumfufua au kuleta mwamwindi mwingine tu! Jamaa yangu ww ni chawa kuliko hata dk kleruu
Hao akina jah people wanaojenga miundombinu kibao kwakutumia hela zao inamana hawajui majukum ya mbunge? Mbunge gani umekaa miaka 10 huwez onyesha hata darasa moja ulilojenga kwa pesa zako mwenyewe hopeless kabisa, uwanja wa mpira upo vilevile mbunge yupo tu
 
Mbona unahamisha magoli? Jesca ni ccm na Salim naye ni ccm. Mbona unawachonganisha na kuwagonganisha vichwa? Au Salim kakutuma na kujiongeza mshahara wa laki mbili najua hajawahi kumlipa mtu zaidi ya hizo!
Msigwa anapasha na atakushangaza kwani anarejea kwa kishindo! Wewe endelea kuumia na kuchunga ng'ombe wa asas!
Ndo maana Iringa mjn itabakia maskini siku zote kwahyo inamaana hamuangalii mtu aliwafanyia nn Ila kisa tu ni chadema😄 mm nakwambia makambako litaitwa jj nyny mtabaki na uchadema wenu, barabara za mjn zimejengwa kibao na Jesca chadema walikuwa kimya tu
 
Hahaaaa haya ni maoni yangu binafsi tu lakini tuwe wakweli chadema imeiddmiza Sana IRINGA sahz ilitakiwa liwe jj wameshindwa hata kukarabati uwanja wa samora wao waliishia kugomea vikao vya bunge tu
Huna abc za kazi za mbunge! Kagongee glass ya mdindifu hapo kabuni wewe kijana duni wa fikra usiyejua una argue nini! Mjinga!
 
Huna abc za kazi za mbunge! Kagongee glass ya mdindifu hapo kabuni wewe kijana duni wa fikra usiyejua una argue nini! Mjinga!
Achaneni na siasa za ajabu mmefanya sahz mafinga inaonekana imechangamka kuliko iringa mjn, mmeiharibu Sana iringa nyie chadema
 
Maziwa take flesh mbona yanaharibika haraka?

Asimamie kwanza maziwa yafike kwa mlaji wa mwisho bila kuharibika na kuleta hasara.
 
Hao akina jah people wanaojenga miundombinu kibao kwakutumia hela zao inamana hawajui majukum ya mbunge? Mbunge gani umekaa miaka 10 huwez onyesha hata darasa moja ulilojenga kwa pesa zako mwenyewe hopeless kabisa, uwanja wa mpira upo vilevile mbunge yupo tu
Huyo jah pipo mwenyewe hajitambui lkn pia anajenga madaraja ili malori yake yapite afanye biashara zake! Kwa kifupi jah pipo ni mjinga aliechangamka! Sio kama wewe chawa
 
Huyo jah pipo mwenyewe hajitambui lkn pia anajenga madaraja ili malori yake yapite afanye biashara zake! Kwa kifupi jah pipo ni mjinga aliechangamka! Sio kama wewe chawa
Umeona fikra zako ww😄...na mbunge wa mafinga mjini ambae amefanya halmashaur kuwa na kiwango kikubwa Cha barabara za lami....bora jesca sahz lami ipo...tatzo mnachagua watu wa hovyo mnaacha watu ambao wataleta maendeleo...ule uwanja wa samora ungepigwa nyas bandia sahiz ligi kibao zingepigiwa pale Sasa nyny mmejazwa na uchadema tu
 
Maziwa take flesh mbona yanaharibika haraka?

Asimamie kwanza maziwa yafike kwa mlaji wa mwisho bila kuharibika na kuleta hasara.
Syo lazima mbunge awe asas Ila awe Ni mtu mwenye uwezo wa kuijenga iringa na kuiheshimisha iringa ...kipindi cha chadema watu walikuwa wanaenda kula bata mafinga 😄 wanatoka manispaa kweli jamani....acheni siasa Iringa sahz ipiganiwe liwe jj lakini Ni CCM tu ndo inauwezo huo hao wengne wababaishaji tu
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Kwani aliyepo ana tatizo gani, au kwa kuwa mnataka kula hela zake, bora aendelee na biashara ya maziwa, labda agombee uenyekiti wa waendesha baiskeli.
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, BEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.

Tushaanza kuwapa watu vyeo sababu ya wema
 
Achaneni na siasa za ajabu mmefanya sahz mafinga inaonekana imechangamka kuliko iringa mjn, mmeiharibu Sana iringa nyie chadema
Unaonekana mgeni hapo iringa! Iringa ilikiwa na viwanda viwili tu Cha national milling na tancut almasi na kikauzwa na mkapa. Mafinga imeibuka miaka ya 2000 kwa sababu ya Niagara ya mbao ambayo imepelekea uwepo wa viwanda vidogovidogo vya mbao kwani like Cha Pareto kilishajifia.
Nimekusaidia kuijua iringa na uchumi wake ili ipunguze hoja za kishamba na kijinga!
Chadema ilihusikaje kuuza viwanda hivyo? Rudi darasani uje kunishukuru baadaye!
 
Kwani aliyepo ana tatizo gani, au kwa kuwa mnataka kula hela zake, bora aendelee na biashara ya maziwa, labda agombee uenyekiti wa waendesha baiskeli.
Huyu aliyopo yupo vizuri zaidi kuliko wa nyuma yake, Ila tu 2025 tuwachuje kwa lengo la kupata mbunge ambae ataiheshimisha iringa mjn Kama ilivyo dodoma kwasasa, afanye vitu vya maana ambavyo watu watavi notes nakuona Sasa iringa mjn inafaa iitwe jiji Ila huyu jesca amejitajd mno
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO

Fikra za kimasikini za kutegemea mgombea au mbunge kuwasaidia watu kwa pesa binafsi.

Wananchi wanatakiwa kufikiria kuwezeshwa sio kusaidiwa. Kwanini wananchi wanasubiria maziwa ya bure kwa mfanyabiashara wakati wana mifugo na wangeweza kuweka utaratibu mzuri tu.
 
Unaonekana mgeni hapo iringa! Iringa ilikiwa na viwanda viwili tu Cha national milling na tancut almasi na kikauzwa na mkapa. Mafinga imeibuka miaka ya 2000 kwa sababu ya Niagara ya mbao ambayo imepelekea uwepo wa viwanda vidogovidogo vya mbao kwani like Cha Pareto kilishajifia.
Nimekusaidia kuijua iringa na uchumi wake ili ipunguze hoja za kishamba na kijinga!
Chadema ilihusikaje kuuza viwanda hivyo? Rudi darasani uje kunishukuru baadaye!
Mimi nazungumzia kuujenga mji wa Iringa achana na viwanda, kuwepo na mtu mwenye focus atakae ifanya iringa iwe manispaa haswa...feeder roads zenyewe zimejengwa na Jesca , tunataka iringa iboreshwe miundombinu ili liwe jj...hyo itafanywa na kiongoz makini lakini syo chadema...chadema ni wasanii sana
 
Back
Top Bottom