Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Sasa mtu Kama ameshindwa kujenga ofs yake mwenyewe na amekaa bungen miaka 10 ndo ataifanya iringa kuwa jj mbona na ww unaonekana mweupe Sana.
Hebu tueleze,hiyo ofisi aliyonayo mbunge wa CCM imekusaidia nini?Jiandae kujibu maswali.
 
Chama ni ghorofa au itikadi ? Muumini wa kweli hachagui msikiti.
Hzo hoja ndo zitafanya njombe liwe jj nyny makabaki na ubishi wenu... mafinga Hakuna kiwanja Cha mil.2 Ila Iringa kipo kwasabu hakuna jitihada zilizotumika kuijenga iringa
 
Hebu tueleze,hiyo ofisi aliyonayo mbunge wa CCM imekusaidia nini?Jiandae kujibu maswali.
Hivi bila CCM kujenga Ile miundombinu pale mjni iringa siingepitwa na ludewa😄😄
...msigwa alikuwa na baraza la madiwani wanauza viwanja tu wao hawanunui....WAHEHE TUACHANE NA CHADEMA WATATURUDISHA NYUMA
 
WAHEHE BWANA..TUPO KIMYA BADALA TUIPIGANIE IRINGA YETU IKUWE IWE JIJI.....NYELA KAMWENE!
Ifikie kipindi sera iwe Ni kuifanya iringa iwe jj na mbunge akishindwa aondoke aje mwngine...Kama wanavyofanya mafinga
 
Hivi bila CCM kujenga Ile miundombinu pale mjni iringa siingepitwa na ludewa😄😄
...msigwa alikuwa na baraza la madiwani wanauza viwanja tu wao hawanunui....WAHEHE TUACHANE NA CHADEMA WATATURUDISHA NYUMA
Umejibu ulichoulizwa au bado unaandika kama hauna kichwa?Taja hizo faida ulizozipata kichwapanzi wewe.Chawa!
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Kama anaweza kuwa msaada mkubwa kiasi hicho bila koti la ubunge basi nasahauri abakie kuwa hivyo hivyo anaweza kupewa ubunge na kila kitu kikaharibika
Mark my words
 
Umejibu ulichoulizwa au bado unaandika kama hauna kichwa?Taja hizo faida ulizozipata kichwapanzi wewe.Chawa!
Matusi ya nn kwani sehem ya kula chakula iringa si Ni CCM au chadema mlijenga wapi hopeless kabisa nyie mmetuharibia mji wetu
 
Yoghurt zishaanza kulewesha watu huku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbunge alimiliki baraza la madiwani wanauza viwanja wao wanashindwa kununua wajenge hata ofs tu ya Jimbo... matapeli wakubwa nyie
 
Hana uasili wa Iringa huyo mleta uzi(pumba).Anatukuza kupewa misaada.Very hopeless!
Mimi ni mhehe pure kwa taarifa yako, mm najua Kama Mali Mungu atanipa akipenda ila.. iringa tuachane na kuchagua watu wasio na tija kwetu....mfano ona ifunda palivyo patamu...R.I.P MFUGALE
Tunataka wahehe wanao acha alama , nusu tujengewe fry over ifunda na marehem MFUGALE
 
Mimi ni mhehe pure kwa taarifa yako, mm najua Kama Mali Mungu atanipa akipenda ila.. iringa tuachane na kuchagua watu wasio na tija kwetu....mfano ona ifunda palivyo patamu...R.I.P MFUGALE
Tunataka wahehe wanao acha alama , nusu tujengewe fry over ifunda na marehem MFUGALE
Una kaupomole fulani ingawa unanyoa "ndevu" za mwilini.Acha kuanika upoyoyo wako.Muhehe ni jeuri kwa asili.Wewe umeonesha umdebwedo na kutukuza misaada.Hege hege ipa!Mdobofu kabisa!
 
Una kaupomole fulani ingawa unanyoa "ndevu" za mwilini.Acha kuanika upoyoyo wako.Muhehe ni jeuri kwa asili.Wewe umeonesha umdebwedo na kutukuza misaada.Hege hege ipa!Mdobofu kabisa
pifunda pala zile roads kumbe alijenga mfugale bwana, unaona watu Kama hao...unapopita ifunda vp palivyo pazuri. Lakn msigwa alihamasisha watu wajenge vilabu na pamjn🤣🤣....tuifanye iringa liwe jj ...nogage Sana veve
 
Mbunge alimiliki baraza la madiwani wanauza viwanja wao wanashindwa kununua wajenge hata ofs tu ya Jimbo... matapeli wakubwa nyie
Ndo amekutuma upime upepoo? Muambie awe bize na kutengeneza yoghurt, ubunge sio wake.
 
ASAS alishafariki iliyobaki ni kampuni.Sasa wewe unamuongelea ASAS yupi au kafufuka?.
 
Back
Top Bottom