Ndugu zangu wa Kanda ya ziwa Rais ni Mama Samia tujue hilo

Ndugu zangu wa Kanda ya ziwa Rais ni Mama Samia tujue hilo

Na mkivuna Sisi ndo madalali tunaokuja kuwapangia bei
Hahaaaa kile chuma kiliwatoa jasho hatari na maendeleo mmeona sasa kaeni na wapiga dili na mipasho mtaona maisha yanavopanda ila kwa sasa si mnaona km mmewin ila kuna mda mtamkumbuka tu ....R.I.P JIWE WAPENDA MAENDELEO TULIKUPENDA SANA.
 
Hahaaaa kile chuma kiliwatoa jasho hatari na maendeleo mmeona sasa kaeni na wapiga dili na mipasho mtaona maisha yanavopanda ila kwa sasa si mnaona km mmewin ila kuna mda mtamkumbuka tu ....R.I.P JIWE WAPENDA MAENDELEO TULIKUPENDA SANA.
Watu kupotea Na miili kuokotwa Coco beach ndio maendeleo?
 
Vipi wale vijana watano waliopotea mwanzo wa mwaka huu nao ni utawala wa Magufuli? Tena wamepotelea bahraini huko cocobeach!
Mwambie huyo kakalia kumtoa kasoro Jembe wakati kila aendako anakutana na vitu mbalimbali alivo vijenga Jiwe
 
NImepitia nyuzi zote 23 na comment zaidi ya 3,600 naomba niseme ndugu zangu wa Kanda ya Ziwa ndoto ya kutoa Rais imekufa, hivyo tuendelee kumuunga mkono mama.

2) Kama mama ameeleweka vema lengo lake ni kurejesha chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba chama sasa kiko mikono salama.

3) Nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" in Ben voice, jioni njema.

Naona moja la Magharibi ya mbali katoka Nchimbi nilisema kuna mabadiliko bado Makatibu wanne.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


BRITANICCA
🤣🤣🤣 Una mashaka kwamba yeye sio Rais????
 
Hakuna ushamba mkubwa kama ukabila.

Kipindi cha Magufuli aliyekuwa anaenjoy ikulu ni Magufuli sio wasukuma. Na sasa anaye enjoy ikulu ni Samia sio wazanzibar.

Hata rais akiwa wa kabila lako unapata raha gani kama wewe maisha yamekuchapa?

Ndio maana tunatakiwa kuchagua rais kwa maslahi ya taifa, sio kabila.
 
Hii mambo ya ukabila na kutambiana itakuja kutupeleka pabaya. Ila kwa mbali nakuja kuanza kuona upinzani unakuja kuingizwa madarakani na watu wa kanda ya ziwa
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Ahhahah
 
Usiseme Kanda ya Ziwa, Sema sukuma Gang a.k.a Waburundi

Kanda ya Ziwa kuna Wahaya, Wajita, Wakurya na Wajaluo na hawana tatizo lolote!

Ni wapuuzi wachache wengi wao wanajiita Wasukuma Ila asili yao ni Burundi na Rwanda
Wewe mse*ge hupajui kanda ya ziwa waulize CHADEMA na CCM watakwambia.Hakuna kanda yenye umoja kama kanda ya ziwa wote hao ni wamoja wala uwezi sikia wakikwaruana lao moja ukitaka kulijua hilo nenda Mwanza.Pia muulize Wenje alivyokuwa na Nguvu Mwanza kuliko asili yake ujaluoni.
 
Back
Top Bottom