Ndugu zangu wa Kanda ya ziwa Rais ni Mama Samia tujue hilo

Ndugu zangu wa Kanda ya ziwa Rais ni Mama Samia tujue hilo

Wee Jamaaa umeamua kuttukana watu modes watu kama hawa mnawangalia halafu wale wanatoa koment za mshikamano mnafuta mada zao. Huyu ndy baadhi ya Wajinga waliopo kwenye nchi...idiotic coment from it!!
Ukweli unauma..siku zote mti wenye matunda ndio hupondwa
 
NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema

Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


BRITANICCA
Britannica,ni kipindi gn wana ccm walikuwa wakizomewa wakipita wamevaa nguo za kijani?, sio kipindi cha katibu mkuu kinana na mwenezi Nape? Leo unapata wapi ujasiri wa kusema watu wenye ueledi?
 
Usiseme Kanda ya Ziwa, Sema sukuma Gang a.k.a Waburundi

Kanda ya Ziwa kuna Wahaya, Wajita, Wakurya na Wajaluo na hawana tatizo lolote!

Ni wapuuzi wachache wengi wao wanajiita Wasukuma Ila asili yao ni Burundi na Rwanda
Wala magufuli hakuwa kipenzi cha watu wa kanda ya ziwa tu,nenda moshi alikuwa akipokelewa na matawi,tuombe uzima,
 
Awamu ya tano,kaskazini walilalamika kwa kuwa mtawala aliyekuwepo alifanya kila hali kupunguza tabia ya upendeleo waliyokuwa nayo kwenye fursa serikali. Wakalalamika na kuhisi walilokuwa wanafanya ni sahihi. Wakamshambulia kwa kejeli na kabila lake na kunung'unika. Mtawala nae akafanya kosa hilo hilo kwa kuweka upendeleo kwa watu wa kanda ya ziwa kwenye fursa na nafasi za uongozi serikali. Nao wakafurahia na kuhisi ni sahihi na haki yao. Wakabeza na kutukana wengine kwa dini na makabila yao.

Nashukuru awamu ya sita imeamua kuruhusu haki itawale na fursa kwa kila Mtanzania bila kujali dini,kabila au kanda yake. Endelea kufanya marekebisho Mama Samia, mwisho wa siku kila mtu atakuelewa.
Sasa hivi udini umekithiri.
 
NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema

Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


BRITANICCA
Wote mwisho wetu ni kifo.., uwe lofa an uwe Tajiri mwisho wa siku wote ni chakula cha udongo..,
 
Kanda ya ziwa mama bado hawajakubali kama ni Rais, pamoja na kujiita Hangaya Chief wa kisukuma lakini bado hawajampenda.

2025 ataendelea kuwa Rais kwa kutumia dola lakini hawezi kufeel ile legitimacy. Hakubariki kwa kweli.
Kwani Malaika wa Chato hakuwa Rais kwa kutumia dola?
 
Sasa hivi udini umekithiri.
Kwa sababu mlizoea kila anayeteuliwa na Marehemu lazima awe wa dini yake..mkaona yupo sahihi. Kwa sasa kila dini,kabila au kanda zina fursa sawa.

Mazoea ni mabaya..walilamika sana wachaga kwa ajili ya dhambi zao za upendeleo wa kikabila,na sasa ni nyinyi Bhaghosha. Inasikitisha sana.
 
Mtafanyaje sasa. Option pekee mliyonayo ni kupigia kura upinzani tu. Lakini kupindua chama mbele ya born town hamuwezi


Osama alimpiga mmarekani september eleven kwa nail cutter…sasa sijui hao born town akili zao zinamfikia mmarekani kwa asilimia ngapi
 
Thread kama hii zinaletwa na watu wasiompenda Samia. Lengo lao kubwa ni kumchonganisha na makundi fulani ya watu ili kumpumguzia uungwaji mkono. Huyu mtu ana lengo la kumchonganisha na kanda ya ziwa, akijua kabisa kuwa hiyo kanda ni most populated area ya tanzania na ina wapiga kura wengi. Samia anapaswa kuwa smart ili asi-play in their tactics.
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Niliamini (na hata bado naamini) Jf ni jukwaa la watu wenye fikra yakinifu na zenye akili kubwa na ndio maana nikaamua kujiunga.
Ila, kwa fikra kama hizi; napata mashaka kama kweli ni great thinker au vinginevyo! 🤔
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Tutafuta Rais mshamba tena.
 
NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema

Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


BRITANICCA

Kanda ya ziwa huwa hawana tamaa ya madaraka bwashee km nyie waswahili washamba wa mali….wao ni wachapa kazi wanaheshimu kazi na kula kwa jasho lao…

Kanda ya ziwa ni watumishi waadilifu…wanaumia tuu wakiona wananchi wanaumizwa na mafisadi…ila tamaa za uongozi hawana…huwa zinawaangukia tu Mwenyezi Mungu akisema imetosha wananchi nao wapate mtu wakuwaona…

Nyerere aliwahi kusema muogopeni mtu anaetamani kuingia Ikulu kwa nguvu zote…kuna watu kila kukicha wanaota uraisi mpaka wanapambana watoto wao wawe maraisi wakati wanajua uwezo hawana….pathetic
 
Thread ya kipuuzi kama hii inaleta ukanda kwenye taifa letu, wote wenye tabia chafu kama ya mleta mada wakemewe kwa nguvu zote.


Chawa wa Msoga huyu anabwabwaja…anafurahi gang imeingia madarakani…kavimbiwa…anakuja kutapikia huku
 
Mtafanyaje sasa. Option pekee mliyonayo ni kupigia kura upinzani tu. Lakini kupindua chama mbele ya born town hamuwezi
Wacha ujinga, hao born town maji yaliwafika shingoni 2015 mpaka jpm akabaki karata yao ya mwisho ambaye alikirudisha chama kwenye ramani.Hao mangedere na manyani waliorudi kuvamia shamba ndio mnawaita ma born town,inahitaji kuwa hayawani kushabikia ujinga huo.
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Unajua kabila la kinana??
 
NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema

Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


BRITANICCA
Wapumbaf kama wewe ndio mnaenda kumchonganisha huyu mama na kanda ya ziwa.ulivyo mpumbaf unafikiri ukizungumzia kanda ya ziwa unazungumzia wasukuma peke yake.
Wakati ndio utakaotoa majibu,kaa kwa kutulia.
 
Back
Top Bottom