Ndugu zangu wa Kanda ya ziwa Rais ni Mama Samia tujue hilo

Ndugu zangu wa Kanda ya ziwa Rais ni Mama Samia tujue hilo

Ni Upuuzi uliopitiliza

As a Party Mnagombana wenyewe....; As a Nation tunagombania Ukanda / Ukabila

No wonder hatuendelei wala hatuhitaji mtu kutu-divide ili aweze kutu-rule bali tunajigawa wenyewe kwa kugombania makombo wakati keki inaliwa na wachache...
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Ww subirini kuna chuma kitakuja kuchukua nchi mtalima kwenye lami na mlivo wazembe mmejaa majungu mtakoma
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Wewe unanuka ukabila
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma

Uko sahihi kabisa, kuna huyu mshamba wa juzi wa chattle kapewa nchi kaanza kutawala kwa kuendekeza siasa za kihanithi, anajifanya mjuaji yeye,hayuko tayari kukosolewa, bado alikuwa na mitazamo ya kizamani nchi kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja kwa shuruti. Saa hii majizi ya mjini yanarudi kwa kasi. Tunaona ni bora tu ila watuachie tupige na sisi kwa urefu wa kamba zetu. Hatutaki tena uzalendo uchwara wa kutawaliwa kwa kuburuzwa na washamba.
 
Nimegundua wasukuma tuna nguvu sana, na hapo bado hatuja changamka vizuri. Great Lake zone,
 
SUKUMA
NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema

Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


BRITANICCA
SUKUMAPHOBIA.
 
Mungu anaipenda nchi yetu, aliruhusu dictator aingie madarakani ili watu waamuke.
Wakati wa Mwalimu mpaka Kikwete, hatukushuhudia watu wakizungumzia ukanda au ukabila kama ilivyo sasa. Jiwe ni turning point, ili nchi ijikomboe, tazama sasa watu wameiona na kuijua athari za ukichaa madarakani, ukabila madarakani, ubabe madarakani, kuharibu uchaguzi, kuua wapinzani n.k.
Hii itusaidie kuijenga nchi vizuri, ni jambo jema Mungu kumleta Jiwe itatusaidia kutengeneza, katiba vizuri ili kuzuia udhalimu wa namna hii usitokee nchini tena.
Mama anatuonyesha nyufa zilizo zalishwa na yule dhalimu ili tujitekebishe. Sasa kuna ustaarabu na heshima nchini

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ukanda ni propaganda za kipumbavu kabisa.

Kwanini kajenga flyovers, barabara 6 toka ubungo hadi mlandizi, Hospital kila mkoa, stendi kuu ya mkoa Mbezi mwisho, treni ya umeme, bara bara mitaa ya Dar, kota za Askari magereza, stendi za kisasa kila mkoa?

Acheni upumbavu na Moderators kama mnatutafutia kutufungia akaunti zetu mseme, maana hii mada ni ya kijinga sana inayochochea ukabila na ukanda.

Tunaelewa vizuri sana mleta mada ni mtu wa kwenye system lakini hana uhalali wa kuleta pumba kama hizi hapa JF [emoji34][emoji57]
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Ndugu yangu hii Lugha sio nzuri kabisaa. jaribu kutumia busara ili kulinda amani na utulivu. Somalia ilianza hivyo hivyo wakati wa Siad bare sasa hivi hapakaliki!
 
Awamu ya tano,kaskazini walilalamika kwa kuwa mtawala aliyekuwepo alifanya kila hali kupunguza tabia ya upendeleo waliyokuwa nayo kwenye fursa serikali. Wakalalamika na kuhisi walilokuwa wanafanya ni sahihi. Wakamshambulia kwa kejeli na kabila lake na kunung'unika. Mtawala nae akafanya kosa hilo hilo kwa kuweka upendeleo kwa watu wa kanda ya ziwa kwenye fursa na nafasi za uongozi serikali. Nao wakafurahia na kuhisi ni sahihi na haki yao. Wakabeza na kutukana wengine kwa dini na makabila yao.

Nashukuru awamu ya sita imeamua kuruhusu haki itawale na fursa kwa kila Mtanzania bila kujali dini,kabila au kanda yake. Endelea kufanya marekebisho Mama Samia, mwisho wa siku kila mtu atakuelewa.
 
Usiseme Kanda ya Ziwa, Sema sukuma Gang a.k.a Waburundi

Kanda ya Ziwa kuna Wahaya, Wajita, Wakurya na Wajaluo na hawana tatizo lolote!

Ni wapuuzi wachache wengi wao wanajiita Wasukuma Ila asili yao ni Burundi na Rwanda
Hapa umepiga kwenye mshono.
 
Back
Top Bottom