Ndugu zangu wa Kanda ya ziwa Rais ni Mama Samia tujue hilo

Ndugu zangu wa Kanda ya ziwa Rais ni Mama Samia tujue hilo

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
NImepitia nyuzi zote 23 na comment zaidi ya 3,600 naomba niseme ndugu zangu wa Kanda ya Ziwa ndoto ya kutoa Rais imekufa, hivyo tuendelee kumuunga mkono mama.

2) Kama mama ameeleweka vema lengo lake ni kurejesha chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba chama sasa kiko mikono salama.

3) Nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" in Ben voice, jioni njema.

Naona moja la Magharibi ya mbali katoka Nchimbi nilisema kuna mabadiliko bado Makatibu wanne.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


BRITANICCA
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
 
Sukuma Gang wamepigwa na kitu kizito hata sasa akili ni kama zimechotwa kwenye bongo zao,

Wamepoteana mazima!! Mkaendelee kuchunga ngombe huko bush tuacheni wq mjini tutese kwa zamu, tulitaka kuwatoa angalau huko bush tuwaingize mjini makjifanya mnajua kuliko mliotukuta, sasa amri ni moja, Mkachunge ng'ombe🤣🤣🤣
 
NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema

Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


BRITANICCA
 
Mtafanyaje sasa. Option pekee mliyonayo ni kupigia kura upinzani tu. Lakini kupindua chama mbele ya born town hamuwezi
Usiwaone, washamba Wasukuma, hakuna Kabila lenye umoja kama lile, wanajua kujishusha, ila wakijiinua, huwezi kuwashusha, kwa sababu huwa hawaruhusu diplomatic dialogue. Wataigawa nchi,

Great Lake Zones,
North Volcalands .
Southern Highlands,
Makonde Lands, and
MsogaLands!

Msipuuze Makabila.
 
ila akae akijua hiyo nafasi hatoshi kaja kwa bahati mbaya,

hatumtaki
 
Kanda ya ziwa hatumuelewei huyu sa100..

#MaendeleoHayanaChama
 
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Wangekuwa wajanja wasingeuza nyumba zao kariakoo wakakimbilia uswazi kuishi kama bata bukini
 
NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema

Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


BRITANICCA
Usiseme Kanda ya Ziwa, Sema sukuma Gang a.k.a Waburundi

Kanda ya Ziwa kuna Wahaya, Wajita, Wakurya na Wajaluo na hawana tatizo lolote!

Ni wapuuzi wachache wengi wao wanajiita Wasukuma Ila asili yao ni Burundi na Rwanda
 
Thread ya kipuuzi kama hii inaleta ukanda kwenye taifa letu, wote wenye tabia chafu kama ya mleta mada wakemewe kwa nguvu zote.
Umesema au Kweli kabisa

Nashangaa moderators wana acha uzi wa kipuuzi Kama huu
 
Back
Top Bottom