Ndugu zangu Waislam mtaniwia radhi kidogo

Ndugu zangu Waislam mtaniwia radhi kidogo

Status
Not open for further replies.
Huku Mitaani wale wakatoliki wanaouza soksi mitaani, wanaoendesha boda boda, mama ntilie, ma house girls , ma jobless n.k wananufaika vipi na hiyo miakili na mikakati ya Viongozi wao wa kiimani?

au ndio kama zile mbwembwe za Waarabu koko wa Ilala kukutajia Anko zake walioko Oman na London wakati tukiwa kwny foleni ya kusubiria Mihogo ya kukaanga tukanywe chai na Familia zetu?
Huyo anatokea taasisi fulani sasa anataka kuleta bifu lake 😅😅hapo anawasema BAKWATA hao ni CCM kabisa na wanafuata serikali kabisa ...
 
IMG-20230822-WA0088.jpg
 
Kweli hata Alhlul Badr huwajui mpaka unasema eti usomewe Albadr
Kumbe hata hiyo dua hujui walisomewa nani na kwa nini
Kama ni hivyo basi wewe kuna Shaka kwenye dini

Wamesoma sana ila ni waizi wa kupindukia sasa kusoma kwao na PhD zao pamoja na kujiita waumini huku wakipokea hela haramu kutoka wakati ule bila aibu si bora niwe wa hali ya kawaida na nikiwa na hofu ya Mungu kwa kujificha au dhahiri

Unafiki ni mbaya sana yaani mbele ya watu mjionyeshe wema na nyuma ya pazia mnapitisha makontena bandarini tena binafsi huku mkiandika kama misamaha ya kodi

Dawa mnaingiza sawa kwa msamaha na zingine njia za panya na bado hamtoi bure

Kwanini utukane waliosoma quran na kuwa na hofu ya Mungu unajua wewe ila ni bora kuwa mkweli kuliko kuwa na PhD huku ukiwa tapeli na mnafiki

Kama huna hofu ya Mungu na kuwa na tamaa ya Dunia basi mtakuwa ni kikundi cha majambazi tu
 
Hili suala la Bandari naona baadhi yenu mmelibeba katika namna fulani ya UDINI, kila nikimuangalia kiongozi wangu wa KIISLAM akisimama mahali analizungumzia katika upande wa UDIN...
Safi sana.

Kuna siku niliangalia TV Imaan, walikuwa wanazungumzia hili suala la mkataba ila hoja zao zilikuwa kwenye udini. Nilisikitika sana.

Nilitegemea wangekuwa na mkataba wauchambue na watoe hoja kwanini mkataba ni mzuri au mbaya.
 
Kweli hata Alhlul Badr huwajui mpaka unasema eti usomewe Albadr
Kumbe hata hiyo dua hujui walisomewa nani na kwa nin...
Umeongea ukweli! hizi taasisi nyingi waumini hawatetei dini kazi kupambania vyeo na kufanya uwizi hamna cha maana ..

Watu wenye akili wengi wamejitoa hawahusiki na taasisi ila wanasaidia watu maskini sio kufanya uwizi na uroho wa madaraka.
 
Hili suala la Bandari naona baadhi yenu mmelibeba katika namna fulani ya UDINI, kila nikimuangalia kiongozi wangu wa KIISLAM akisimama mahali analizungumzia katika upande wa UDINI...
Mara unamkubali Sheikh Mziwanda kwa sababu yeye anatoa "DAGH'AWA" tu, mara hapo hapo unamshutumu kwa kupendekeza Waislam watoe waraka usomwe misikitini, mara utawekewa kikao usomewe "albadiri"...ili mradi tafrani tu. "Feld" Marshal vipi?
 
Kama kweli wewe ni Muslim basi hongera kwa kujitambua, naishi na muslin 90% eneo nilipo yaani kwao kikubali ukweli labda atokee sheikh anayemjua ndipo atakubali but not otherwise!.

Yaani andiko lako ni surely ila angalia hapo juu kuna muisilamu mmoja tayari amekupiga na jiwe as umeandika tope, yaani hao huwa hawakosekani.
 
Hili suala la Bandari naona baadhi yenu mmelibeba katika namna fulani ya UDINI, kila nikimuangalia kiongozi wangu wa KIISLAM akisimama mahali analizungumzia katika upande wa UDINI...
Katika dhambi ambayo itaiandama daima CCM ni kutoweka kipaumbele cga elimu kwa mikoa yenye waislam wengi.

Mtu ywyote anayependa usawa hawezi kukubaliana na huu ubaguzi mkubwa.

Leo Iran au Saudia mataifa ya Kiislam kuna wanataaluma wengi na maendeleo makubwa ya kisayansi nanteknolojia. Sisi tumeshindwa kuwashika mkono ndugu zetu waislam hata kwa lazima ili wapate elimu dunia sambamba na weledi wao kwenye dini.

Nimechelea sana kuwabeza masheikh kwa sababu naelewa tatizo lipo kwa CCM na si lao.

Tunahitaji Katiba Mpya itakayozingatia usawa kwenye kufaidika na rasilimali za nchi.

Masheikh wanashibdwa kupambanua mambo na kugaragazwa na hoja, naona aibu mimi.

Na ole wenu watawala mnaowatumia wanagenzi wa dini katika kujifaidisha kisiasa
 
Katika dhambi ambayo itaiandama daima CCM ni kutoweka kipaumbele cga elimu kwa mikoa yenye waislam wengi.

Mtu ywyote anayependa usawa hawezi kukubaliana na huu ubaguzi mkubwa.

Leo Iran au Saudia mataifa ya Kiislam kuna wanataaluma wengi na maendeleo makubwa ya kisayansi nanteknolojia. Sisi tumeshindwa kuwashika mkono ndugu zetu waislam hata kwa lazima ili wapate elimu dunia sambamba na weledi wao kwenye dini.

Nimechelea sana kuwabeza masheikh kwa sababu naelewa tatizo lipo kwa CCM na si lao.

Tunahitaji Katiba Mpya itakayozingatia usawa kwenye kufaidika na rasilimali za nchi.

Masheikh wanashibdwa kupambanua mambo na kugaragazwa na hoja, naona aibu mimi.

Na ole wenu watawala mnaowatumia wanagenzi wa dini katika kujifaidisha kisiasa
Mnajitekenya wenyewe mnacheka wenyewe.
 
Huku Mitaani wale wakatoliki wanaouza soksi mitaani, wanaoendesha boda boda, mama ntilie, ma house girls , ma jobless n.k wananufaika vipi na hiyo miakili na mikakati ya Viongozi wao wa kiimani?

au ndio kama zile mbwembwe za Waarabu koko wa Ilala kukutajia Anko zake walioko Oman na London wakati tukiwa kwny foleni ya kusubiria Mihogo ya kukaanga tukanywe chai na Familia zetu au kwny vijiwe vya bhangi?
Unaomba upunguziwe kodi ya tende?
 
Hili suala la Bandari naona baadhi yenu mmelibeba katika namna fulani ya UDINI, kila nikimuangalia kiongozi wangu wa KIISLAM akisimama mahali analizungumzia katika upande wa UDINI...
Hoja ya Mahakama ya Kadhi inajitaftia upinzani mapema mno na kujichimbia kaburi la sahau tunapoelekea Katiba mpya ya Tanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom