Ndugu zangu Waislam mtaniwia radhi kidogo

Ndugu zangu Waislam mtaniwia radhi kidogo

Status
Not open for further replies.
Unataka kusema hata mkataba tu wanaona tu karatasi zimeandikwa lkn content hawaelewi?

Mkuu,
Kichwa cha uzi huu kingesomeka "Baadhi ya Waislamu na Wakristo....." kingependeza zaidi.
Kuna Waislamu ambao ni makini na wanakosoa mkataba huu kwa hoja
Kuna Wakristo wenye akili hoho wanaunga mkono mkataba huu, mfano ni Mzee wa Upako.
Uwe na siku njema.
Mama Amon
 
Labda kuamini Yule babu wa Kizungu anaieshi Italy ndo 'muwakilishi wa Mungu "hapa duniani ndo sio umbumbumbu...
Kuamini Vatican Wana nia njema na hawa wamatumbi wa Kyela ndo sio umbumbumbu...
Kwamba Tec wakishasema kitu lazima wasikilizwe ndo "usomi na uzalendo "...
Na kukusanya sadaka na fungu la kumi na kupeleka Vatican ndo kumkaribia Mungu ...ndo sio umbumbumbu.....

Unaweza kukuta mbumbumbu anamtukana asie mbumbumbu kuwa ndo mbumbumbu....😅
Kusikiliza ni hekima na kujibu hoja ni busara.

Udini uwekwe pembeni tujibu hoja za mkataba na siyo kushambulia wanaotetea mkataba au wanaopinga mkataba
 
Wakristo mnajipa u-smart ambao hamna, kwani waislamu wote wanaunga mkono swala la bandari how?, au wakristo wote wanapinga hii issue?
 
Wakiristo wanaabudu mtu na hawa wakiristo tulionao hapa tanzania ni wale walioonywa kwenye Ufunuo.(Uwazi)

Ufunuo wa Yohana .

1 Ufunuo wa Yesu Kristo (Mtu), aliopewa na Mungu
Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu

Aliyelishuhudia Neno la Mungu, na ushuhuda wa Yesu Kristo(Binadamu), yaani, mambo yote aliyoyaona
Aliye na masikio, basi, na ayasikie
Amka! Imarisha chochote chema kilichokubakia kabla nacho hakijatoweka kabisa. Maana, mpaka sasa, sijayaona matendo yako kuwa ni makamilifu mbele ya Mungu wangu (Inakuwaje unamwabudu Yesu ?)

"Wale wanaoshinda, watavikwa mavazi meupe kama hao. Nami sitayafuta majina yao kutoka katika kitabu cha uzima; tena nitawakiri kwamba ni wangu mbele ya Baba yangu na mbele ya malaika wake. (Inakuwaje unamwabudu Yesu. hapa ipo wazi Mungu na malaika wake ).

11 ikisema, Haya uyaonayo uyaandike katika chuo, ukayapeleke kwa hayo makanisa saba: Efeso, na Smirna, na Pergamo, na Thiatira, na Sardi, na Filadelfia, na Laodikia.

Wewe kanisa lako lipo hapo ?

Msirushie mawe watu wakati mnaishi ndani ya nyumba za vioo.

Christians had a dilemma as soon as they declared that Christ was God. If Christ is God and God the Father is God, doesn't that make two gods? And when you throw the Holy Spirit into the mix, doesn't that make three gods? So aren't Christians polytheists? Christians wanted to insist, no, they're monotheists. Well, if they're monotheists, how can all three be God?
 
Walengwa wakati ukaribu hayo ya bandari ni wanasiasa mkiyachanganya mjue hamtabaki salama.
 
Wakristo wanaiendea dini kwa kutumia akili na elimu yenyewe ya dini.

Waislamu wanaiendea dini kwa kutumia elimu ya dini na hawana elimu ya kuchanganyia kuwaongoza. Hili Ni tatizo kubwa Sana.

Waislamu wanajadili suala la bandari kwa husda dhidi ya Wakristo/kanisa. Kwamba kanisa linanufaika na kupitisha mizigo bandarini bila kulipa Kodi.

Waislamu wanajadili watoa waraka yaani TEC badala ya kujadili hoja zilizomo katika waraka na kuzijibu au kuonyesha madhaifu yake. Wamefeli kwa hili!

Waislamu wanajadili mkataba wa bandari na waraka wa Baraza la Maaskofu kwa misingi kwamba Samia Ni muislamu mwenzetu lazima timuunge mkono na tuwe upande wake. Hakuna matumizi ya akili au kuipigania haki.

Nb: Wao walioleta na wanaoupigania mkataba Lao ni moja hawana dini. Awe mpagani au mkrsto au muislamu au msabato. Agenda yao ni wao na matumbo yao na familia zao.

Ushauri:
Waislamu tujitahidi kujadili hoja, tuweke udini pembeni. Tuishi maneno ya msahafu kwamba uislam Ni dini ya HAKI.

Bahati mbaya Maaskofu wakishaongea hawarudi kukujibu.

Wanaacha Akili na ujinga vipambane.

Nimeona waraka sijui wa Ansari simba, ni aibu, wamejikita kuwashambulia maaskofi badala ya hoja za waraka.Ni aibu na ujinga.

Mkataba ule ni wa kisheria siyo ishu ya sheria za kiislam na waislam.

Maaskofu wameonyesha madhaifu ya mkataba na wameshauri.

Ukiona unatoa hoja kwa kumshambulia mwenzako mwenye mtazamo wake ,Jua kwamba wew Ni dhaifu kupindukia. Kwanini usiongee kile wewe unachoamini? Kuwataja TEC ni udhaifu na kukosa weledi na ukosefu shule!
Hizi dharau ndizo zinazo sababisha Waislamu na Wakristo wazidi kudharauliana wao kwa wao na waendelee kutofautiana katika kila jambo hata katika yale ambayo hawakupaswa kutofautiana !!

Waswahili wanasemaga Vita vya panzi ni furaha ya Kunguru !! 🙏🙏
 
Muislamu ndugu yake Muislamu.
Wao hawajadili hoja bali dini
 
Kwanini usiongee kile wewe unachoamini? Kuwataja TEC ni udhaifu na kukosa weledi na ukosefu shule!
1692942915468.png
 
Kkkt nao wanafuata mihemko!?..wasomi(kwa uoni wako) wote wanaunga mkono tamko la TEC!?...
Kwani ni lazima kutoa maoni kuhusu TEC? Kwa nini usiwaze kutoa maoni kuhusu mkataba, bali unaendelea kuwaza watoa maoni kuhusu TEC? Huu ni utumwa wa fikra, maana yake ni kwamba ili wewe utoe maoni kuhusu jambo, ni lazima wenye big brain walizungumzie kwanza ndipo uje uwazungumzie (sio ulizungumzie jambo, uwazungumzie). Ina maana hauna fikra huru ili walau na wewe siku moja uwe innovator?
 
Kkkt nao wanafuata mihemko!?..wasomi(kwa uoni wako) wote wanaunga mkono tamko la TEC!?... TEC walishapitia mikataba mingine tuliyoingia na 'wazungu'!?..waliona ni mizuri tu!?..Kama mibaya kwa nini hawakuitolea tamko au kuwatuma nyinyi kondoo wao kuja kupayuka!?
Jikite kwenye hoja zao ni za kweli au uongo?
 
Wakristo mnajipa u-smart ambao hamna, kwani waislamu wote wanaunga mkono swala la bandari how?, au wakristo wote wanapinga hii issue?
Sasa hivi ni mihemko plus plus hakuna mjadala wala nini. !!
Wengine tulishaona toka mwanzoni kuwa mjadala wa Bandari utaelekea kwenye malumbano ya kidini !!
Baadhi ya watu humu huwa hawakipimi kile wanachokiandika kitakwenda kuleta picha gani kwa watu wengine wa upande mwingine !
 
Mkuu,
Kichwa cha uzi huu kingesomeka "Baadhi ya Waislamu na Wakristo....." kingependeza zaidi.
Kuna Waislamu ambao ni makini na wanakosoa mkataba huu kwa hoja
Kuna Wakristo wenye akili hoho wanaunga mkono mkataba huu, mfano ni Mzee wa Upako.
Uwe na siku njema.
Mama Amon
..
 
Mkuu,
Kichwa cha uzi huu kingesomeka "Baadhi ya Waislamu na Wakristo....." kingependeza zaidi.
Kuna Waislamu ambao ni makini na wanakosoa mkataba huu kwa hoja
Kuna Wakristo wenye akili hoho wanaunga mkono mkataba huu, mfano ni Mzee wa Upako.
Uwe na siku njema.
Mama Amon
Nimekuelewa vzr wapo waislamu weny elimu na upeo wa kudadavua mamb nadhan hoja ililenga viongoz wa dini. Kuhusu Mzee wa BAPA luse inategemea alikua kweny hali gan wakati huo, pia amekua Mzee wa fursa refer kipind cha shujaa!!
 
Nimekuelewa vzr wapo waislamu weny elimu na upeo wa kudadavua mamb nadhan hoja ililenga viongoz wa dini. Kuhusu Mzee wa BAPA luse inategemea alikua kweny hali gan wakati huo, pia amekua Mzee wa fursa refer kipind cha shujaa!!
And who is not kwa sasa katika Inji hii ??! ( fursa )
 
PhD inawasaidia nini kama wanakusanya sadaka yako na fungu lako la kumi na kuwapelekea Wazungu??
Still ubongo wako upo uchi!! Mweny ubongo timamu hawez ongea hii kitu!! Unajua dini ni taasis hata uislam sadaka lazima iende kwa wenyew arabun!! The Boss nan kakuibia ubongo wako halisi?
 
Serikali ina mihimili mitatu tu.

1. BARAZA/EXECUTIVE

2. BUNGE

3. MAHAKAMA.

TEC wala BAKWATA sio mihimili ya Serikali.

Bunge la wananchi limesha pitisha mchakato wa uwekezaji katiaka bandari.
Tuviheshimu na tuviamini vyomba vyetu vyenye mamlaka ya kutenda kwa niaba yetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom