Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema hata mkataba tu wanaona tu karatasi zimeandikwa lkn content hawaelewi?Wakristo wanaiendea dini kwa kutumia akili na elimu yenyewe ya dini.
Waislamu wanaiendea dini kwa kutumia elimu ya dini na hawana elimu ya kuchanganyia kuwaongoza. Hili Ni tatizo kubwa Sana.
Waislamu wanajadili suala la bandari kwa husda dhidi ya Wakristo/kanisa. Kwamba kanisa linanufaika na kupitisha mizigo bandarini bila kulipa Kodi.
Waislamu wanajadili watoa waraka yaani TEC badala ya kujadili hoja zilizomo katika waraka na kuzijibu au kuonyesha madhaifu yake. Wamefeli kwa hili!
Waislamu wanajadili mkataba wa bandari na waraka wa Baraza la Maaskofu kwa misingi kwamba Samia Ni muislamu mwenzetu lazima timuunge mkono na tuwe upande wake. Hakuna matumizi ya akili au kuipigania haki.
Nb: Wao walioleta na wanaoupigania mkataba Lao ni moja hawana dini. Awe mpagani au mkrsto au muislamu au msabato. Agenda yao ni wao na matumbo yao na familia zao.
Ushauri:
Waislamu tujitahidi kujadili hoja, tuweke udini pembeni. Tuishi maneno ya msahafu kwamba uislam Ni dini ya HAKI.
Bahati mbaya Maaskofu wakishaongea hawarudi kukujibu.
Wanaacha Akili na ujinga vipambane.
Nimeona waraka sijui wa Ansari simba, ni aibu, wamejikita kuwashambulia maaskofi badala ya hoja za waraka.Ni aibu na ujinga.
Mkataba ule ni wa kisheria siyo ishu ya sheria za kiislam na waislam.
Maaskofu wameonyesha madhaifu ya mkataba na wameshauri.
Ukiona unatoa hoja kwa kumshambulia mwenzako mwenye mtazamo wake ,Jua kwamba wew Ni dhaifu kupindukia. Kwanini usiongee kile wewe unachoamini? Kuwataja TEC ni udhaifu na kukosa weledi na ukosefu shule!
Mbumbumbu ni yule anayepiga goti mbele ya sanamu na kuliombaHao ni mbumbumbuuu, wewe angalia mikoa Yao ya Tanga, Pwan,Mtwara, Lindi , kwenye suala la Elimu Iko wapi.
Watoto wa kiislam ndo hao wanaokataa sana shule, na kupenda kuolewa ,kuolewa mapema na Hawa Masheikh wenye uchu wa uchi.
Kwao, ukishameza juzuu zako tu ,basi wee ni msomi.
Hawana Uwezo wa kujadili suala la Bandari Kwa Hoja ,!!
Kkkt nao wanafuata mihemko!?..wasomi(kwa uoni wako) wote wanaunga mkono tamko la TEC!?... TEC walishapitia mikataba mingine tuliyoingia na 'wazungu'!?..waliona ni mizuri tu!?..Kama mibaya kwa nini hawakuitolea tamko au kuwatuma nyinyi kondoo wao kuja kupayuka!?Wakristo wanaiendea dini kwa kutumia akili na elimu yenyewe ya dini.
Waislamu wanaiendea dini kwa kutumia elimu ya dini na hawana elimu ya kuchanganyia kuwaongoza. Hili Ni tatizo kubwa Sana.
Waislamu wanajadili suala la bandari kwa husda dhidi ya Wakristo/kanisa. Kwamba kanisa linanufaika na kupitisha mizigo bandarini bila kulipa Kodi.
Waislamu wanajadili watoa waraka yaani TEC badala ya kujadili hoja zilizomo katika waraka na kuzijibu au kuonyesha madhaifu yake. Wamefeli kwa hili!
Waislamu wanajadili mkataba wa bandari na waraka wa Baraza la Maaskofu kwa misingi kwamba Samia Ni muislamu mwenzetu lazima timuunge mkono na tuwe upande wake. Hakuna matumizi ya akili au kuipigania haki.
Nb: Wao walioleta na wanaoupigania mkataba Lao ni moja hawana dini. Awe mpagani au mkrsto au muislamu au msabato. Agenda yao ni wao na matumbo yao na familia zao.
Ushauri:
Waislamu tujitahidi kujadili hoja, tuweke udini pembeni. Tuishi maneno ya msahafu kwamba uislam Ni dini ya HAKI.
Bahati mbaya Maaskofu wakishaongea hawarudi kukujibu.
Wanaacha Akili na ujinga vipambane.
Nimeona waraka sijui wa Ansari simba, ni aibu, wamejikita kuwashambulia maaskofi badala ya hoja za waraka.Ni aibu na ujinga.
Mkataba ule ni wa kisheria siyo ishu ya sheria za kiislam na waislam.
Maaskofu wameonyesha madhaifu ya mkataba na wameshauri.
Ukiona unatoa hoja kwa kumshambulia mwenzako mwenye mtazamo wake ,Jua kwamba wew Ni dhaifu kupindukia. Kwanini usiongee kile wewe unachoamini? Kuwataja TEC ni udhaifu na kukosa weledi na ukosefu shule!
Kama hawajapitia hivyo itakuwa marufuku kuupitia huu wa bandari?Kkkt nao wanafuata mihemko!?..wasomi(kwa uoni wako) wote wanaunga mkono tamko la TEC!?... TEC walishapitia mikataba mingine tuliyoingia na 'wazungu'!?..waliona ni mizuri tu!?..Kama mibaya kwa nini hawakuitolea tamko au kuwatuma nyinyi kondoo wao kuja kupayuka!?
mtu anafunga safari mpaka macca saudia kwenda kumpiga mawe shetani serious??Mbumbumbu ni yule anayepiga goti mbele ya sanamu na kuliomba
Daah inasikitisha sanaWaislamu wanajadili watoa waraka yaani TEC badala ya kujadili hoja zilizomo katika waraka na kuzijibu au kuonyesha madhaifu yake. Wamefeli kwa hili!
Wao wamejikita kulinda uarabu na udini badala ya vifungu vya mkatabaKuna mmoja jana alishauri waislam wajibu HOJA kwa HOJA. Looks like his wisdom fell on deaf ears
Alisemaje kwani?Christopher Hitches alikua sahihi.
Ni lini mikataba iliwekwa wazi nchi hiiKkkt nao wanafuata mihemko!?..wasomi(kwa uoni wako) wote wanaunga mkono tamko la TEC!?... TEC walishapitia mikataba mingine tuliyoingia na 'wazungu'!?..waliona ni mizuri tu!?..Kama mibaya kwa nini hawakuitolea tamko au kuwatuma nyinyi kondoo wao kuja kupayuka!?
Kkkt nao wanafuata mihemko!?..wasomi(kwa uoni wako) wote wanaunga mkono tamko la TEC!?... TEC walishapitia mikataba mingine tuliyoingia na 'wazungu'!?..waliona ni mizuri tu!?..Kama mibaya kwa nini hawakuitolea tamko au kuwatuma nyinyi kondoo wao kuja kupayuka!?
PhD inawasaidia nini kama wanakusanya sadaka yako na fungu lako la kumi na kuwapelekea Wazungu??Viongozi wa Kikiristo wengi ni Ma Dr(Phd) ila viongozi wa Kiislam wengi wana elimu ya madrasa kukariri juzuu 30.
Elimu Elimu Elimu - ENL 2015
Au kulibusu na kulichungulia jiwe jeusi pale Maka ukiambiwa ndio allah mwenyewe.Mbumbumbu ni yule anayepiga goti mbele ya sanamu na kuliomba
PhD inawasaidia nini kama wanakusanya sadaka yako na fungu lako la kumi na kuwapelekea Wazungu??
Sasa si bora hizo sadaka tunazotoa kwa kupenda kwani ni Personal kuliko kuwapa waarabu bandari zetu zote milele kwa kuamini kuwa kila mwarabu ni muislam.PhD inawasaidia nini kama wanakusanya sadaka yako na fungu lako la kumi na kuwapelekea Wazungu??